The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Kwanza kabisa masuala ya uchumi WA nchi hayapaswi kuwa chini ya mtu mmoja....zamani tulikuwa na Tume ya mipango ambayo waziri alikuwa sehemu ya tume hiyo...jopo la tume hiyo ndo lilikuwa linaendesha uchumi...
Mwigulu ana weakness ya kuongea Kwa kukera watu na ana history ya kutokuwa team player..
Je haya matozo anayoibuka nayo kutwa yamepitiwa na wataalam wote wa wizara husika?....
Nafikiri wakati sasa hiyo wizara ipate mtu mwingine na turudishe tume ya mipango ya Taifa ambayo waziri atakuwa anatekeleza Tu maagizo ya Tume na sio waziri kuwa ndo "muendeshaji mkuu"WA uchumi wa Taifa hasa Kama waziri huyo ana ajenda zake binafsi za kisiasa... Mwigulu atolewe hapo haraka...
Mwigulu ana weakness ya kuongea Kwa kukera watu na ana history ya kutokuwa team player..
Je haya matozo anayoibuka nayo kutwa yamepitiwa na wataalam wote wa wizara husika?....
Nafikiri wakati sasa hiyo wizara ipate mtu mwingine na turudishe tume ya mipango ya Taifa ambayo waziri atakuwa anatekeleza Tu maagizo ya Tume na sio waziri kuwa ndo "muendeshaji mkuu"WA uchumi wa Taifa hasa Kama waziri huyo ana ajenda zake binafsi za kisiasa... Mwigulu atolewe hapo haraka...