Mimi nimsaidie Bi Tozo kujinasua, kwa sababu zipi hasa?
Sioni chochote katika uongozi wake kwa nchi hii kinachoweza kunisukuma nimsaidie huyu kiongozi, kwa maana amejipambanua wazi kabisa kuwa hana uchungu wowote na maslahi mpana ya nchi hii na wananchi wake..