Rais Samia muondoe ofisini haraka huyu jamaa wa EWURA

Na Mwigulu mchumi first class, Dola $ inazidi kupaa.
Kwenye tozo alisema tuhamie Burundi.
 
Haya yote yalitarajiwa baada ya bi tozo kukirudisha serikalini kikosi cha vijana wapigaji.
Tukae kwakutulia. Wameambiwa "WALE KWA UREFU WA KAMBA"
Huu sio urefu wa kamba tena. Ni wizi hadi vya jirani, unyang'anyi sio ulaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…