Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipa Kodi Kama ndo weweNimegundua hii bongo kuna watu wana nongwa sana.
Nongwa tuu.Huyu dogo habari zake zinazidi kutaradari;
Pamoja hayo yote inasemekana kuwa huyu dogo anasafr na Maza safar zote hasa nje ya nchi na analipwa per diem, accommodation and other cost kama mwajiriwa wa serikali jambo ambalo sio sawa. Mama we are informing u kuwa hiyo sio sawa, tafuta namna sahihi ya mwanao kupata namna nyingine ya stahiki, hizi zitakuja back fire in few yrs to come...plz....
Umeona watoto rais wa kwanzaWanataka waje kumcheka Mama yake akitoka madarakani Kua mtoto wa Raisi hakua na akili, Abdul endelea kupiga Hela nyingi zaidi ya hizo piga hela piga Hela hachana na wenye wivu
Mama akitoka madarakani na ukiwa hauna hela watakucheka
Nampongeza sana.Kuna kila dalili mtoto wa mzee mwinyi anamiliki vitalu vya uchimbaji wamafuta na gas kule ntolya mtwara
Kaa kimya mkuu. Hata mwanasheria hataweza kukusaidia. Kwani nani anampa leseni ya kukutetea wewe?Kuna kitu nilitaka niandike kuhusu huyo sababu mimi mwenyewe ni mfanya biashara hiyo hiyo ya matairi kama yeye ila nimekumbuka mwanasheria wangu sijamlipa miezi mitatu mshahara wake
Huyo mtoto nae itakuwa zero upstairs yani mtoto wa Rais unauza matairi,haoni wenzake wakina ridhiwani wanamiloki vituo vya mafuta kila Mkoa
Mbona ya joseph huyasemi?Yale yale ya Riziwani yamejirudia tena.
Unaona sifa kulaghai TRAYaani mtoto wa Rais anafanya biashara ya kimasikini ya kuuza matajiri na bado mnaletwa nongwa...
Mlitaka awe kama mtoto wa Museven ndo mridhike ?punguzeni nongwa .
Hapo kkoo wafanya biashara wote wanacheza michezo na watu wa TRA
Nimeshangaa sana na kustaajabishwa pia.wewe ni mhenga mwenzangu hapa jf, tuna miaka mingi ndani ya platform hii.
ila ulichoandika ni kama kijana wa 20s aliyejiunga na jf mwaka jana.
Huyo mtoto nae itakuwa zero upstairs yani mtoto wa Rais unauza matairi,haoni wenzake wakina ridhiwani wanamiloki vituo vya mafuta kila Mkoa
Ukisoma comment za watu wengi humu ni kwamba nchi hii watu tushazoea uvunjivu wa sheria kiasi kwamba as long as una cheo basi ni haki yako kufanya chochote. Halafu watu hawa hawa baadaye utasikia wanasifia kuheshimu sheria katika nchi za wenzetu. Afrika bwana.
Mimi narudia kusema, shida ya nchi hii sio katiba bali ni utayari wa kuheshimu hata hiyo katiba. Kama mawazo na fikra za wananchi wenyewe ndio kwamba mtoto wa raisi anaweza fanya chochote, au anaweza kupewa exclusive right ya kuagiza hata matairi, hata ije katiba mpya hakuna kitakachobadilika. TRA yenyewe ina mamlaka ya kukusanya kodi kutoka kwa wafanyabiashara ila simu moja tu inawazuia kufanya hivyo.
Hadi winga anapiga,ila inasemekana sio mtoto wa Samia bali ni mtoto wa mzee Amer,Samia alifanya kumlea tu kama mtoto wa kambo.Na mimi nimeshangaa,yaani kumbe anakimbiza mwenge kariakoo kama sisi?na bado masikini wavivu wanapiga mayowe