DOKEZO Rais Samia, Mwanao Abdulhalim Amer adaiwa kuwapa tabu sana maofisa wa TRA kutekeleza majukumu yao Kariakoo

DOKEZO Rais Samia, Mwanao Abdulhalim Amer adaiwa kuwapa tabu sana maofisa wa TRA kutekeleza majukumu yao Kariakoo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Status
Not open for further replies.
Halafu hiyo familia ya Samia wanavyojifanya waswahilina na wapenda haki,inakuaje wanaruhusu mambo kama haya kwa sababu sio mara ya kwanza kusikia habari za huyo kijana wake hapo kariakoo akisumbuana na maofisa wa TRA?
Anakwepa Kodi sababu mama yupo jumba jeupe?
Sisi tunalipa Kodi na tozo juu na tunahimizwa kufanya hivyo au sio?

Ila TRA Tanzania pale MAPATO House fanyeni maboresho ya huduma yaan foleni ni kero na issue ya mifumo sijui kufanya nini kusumbuana tu mifumo mizinguo yaan ningekua mimi nawakwepa tu kwani nini?
 
Yaani mtoto wa Rais anafanya biashara ya kimasikini ya kuuza matajiri na bado mnaletwa nongwa...
Mlitaka awe kama mtoto wa Museven ndo mridhike ?punguzeni nongwa .
Hapo kkoo wafanya biashara wote wanacheza michezo na watu wa TRA
Ndugu lipa Kodi kwa maendeleo ya nchi. Mbona wafanya bisashara wengine wanalipa. Hakuna aliye juu ya sheria. Kama anataka kula matunda ya nchi, ale kwa mshahara wa mama
 
Yaani mtoto wa Rais anafanya biashara ya kimasikini ya kuuza matajiri na bado mnaletwa nongwa...
Mlitaka awe kama mtoto wa Museven ndo mridhike ?punguzeni nongwa .
Hapo kkoo wafanya biashara wote wanacheza michezo na watu wa TRA
Na mimi nimeshangaa,yaani kumbe anakimbiza mwenge kariakoo kama sisi?na bado masikini wavivu wanapiga mayowe
 
Abdullahim Amer ni jina la mtoto wa kiume wa Rais Samia.

Huyu kijana ana biashara ya kuuza matairi ya magari pale livingstone Kariakoo. Toka mama yake aingie madarakani amekua tatizo sana kwa maofisa wa TRA wanaojaribu kutekeleza majukumu yao pale Kariakoo kwa sababu anafanya biashara pasipokufuata taratibu na miongozo ya nchi yetu hatoi risiti kwa wateja wake wala yeye mwenyewe hajali hilo anashirikiana na kampuni za wachina kukwepa kodi.

Mfano tukio la hivi karibuni ni la bwana Abdulhalim kununua mzigo wa matairi kwenye kampuni flani ya wachina iko Mikocheni inaitwa Hiview international co ltd bila risiti ule mzigo kufika Kariakoo maofisa wa TRA wakaukamata kwa sababu haukua na risiti wala invoice WALA DOCUMENT yoyote. So baada ya masaa kama mawili hivi ya kuzozana pale, wale maofisa wakapigiwa simu kutoka juu wakaambiwa wauachie huo mzigo haraka sana kwani ni wa mtoto wa mheshmiwa.

Kuna kesi nyingi za aina hiyo ambazo huyu kijana amekua akizifanya na anapokua anatafutwa na vyombo husika basi hutumia jina la mama ake kujinasua. Sijasema kwamba Rais Samia anahusika na huu upuuzi wa mwanae ila jina lake kutumika kumnasua kila akipata majanga inaleta mashaka sana kwani haya mambo wananchi wa kawaida wanayaona live na yanaleta mkanganyiko sana pale Kariakoo.

Kwa hiyo mama Samia najua humu kuna machawa wako wengi tu, jaribu kukaa na mwanao umrekebishe, hizo vurugu zake hapo Kariakoo zinawapa shida sana maofisa kutekeleza majukumu yao.
Bi.tozo anatuharibia hii nchi yetu.
 
Yaani mtoto wa Rais anafanya biashara ya kimasikini ya kuuza matajiri na bado mnaletwa nongwa...
Mlitaka awe kama mtoto wa Museven ndo mridhike ?punguzeni nongwa .
Hapo kkoo wafanya biashara wote wanacheza michezo na watu wa TRA
Kwani anauza matairi used? Kama ni mapya basi hiyo siyo biashara ya kimaskini bwashee.
 
Abdullahim Amer ni jina la mtoto wa kiume wa Rais Samia.

Huyu kijana ana biashara ya kuuza matairi ya magari pale livingstone Kariakoo. Toka mama yake aingie madarakani amekua tatizo sana kwa maofisa wa TRA wanaojaribu kutekeleza majukumu yao pale Kariakoo kwa sababu anafanya biashara pasipokufuata taratibu na miongozo ya nchi yetu hatoi risiti kwa wateja wake wala yeye mwenyewe hajali hilo anashirikiana na kampuni za wachina kukwepa kodi.

Mfano tukio la hivi karibuni ni la bwana Abdulhalim kununua mzigo wa matairi kwenye kampuni flani ya wachina iko Mikocheni inaitwa Hiview international co ltd bila risiti ule mzigo kufika Kariakoo maofisa wa TRA wakaukamata kwa sababu haukua na risiti wala invoice WALA DOCUMENT yoyote. So baada ya masaa kama mawili hivi ya kuzozana pale, wale maofisa wakapigiwa simu kutoka juu wakaambiwa wauachie huo mzigo haraka sana kwani ni wa mtoto wa mheshmiwa.

Kuna kesi nyingi za aina hiyo ambazo huyu kijana amekua akizifanya na anapokua anatafutwa na vyombo husika basi hutumia jina la mama ake kujinasua. Sijasema kwamba Rais Samia anahusika na huu upuuzi wa mwanae ila jina lake kutumika kumnasua kila akipata majanga inaleta mashaka sana kwani haya mambo wananchi wa kawaida wanayaona live na yanaleta mkanganyiko sana pale Kariakoo.

Kwa hiyo mama Samia najua humu kuna machawa wako wengi tu, jaribu kukaa na mwanao umrekebishe, hizo vurugu zake hapo Kariakoo zinawapa shida sana maofisa kutekeleza majukumu yao.
Wacha atumie Fursa
 
Ni aibu na fedheha, Mama akipata ujumbe huu anapaswa kesho tu kutoa amri kwenye vyombo husika kudeal naye ili ajinasue naye, HII NI KASHFA KUBWA..
 
Shida vyombo vilivyowekwa kusimamia hilo ndipo shida ilipo. Hapo unakuta kamishena wa TRA anawaza tukimfungia biashara kesho mama yake anaweza kuniondoa.
Ila hii nchi ina mambo mengi ya ajabu. Hapo nyuma kuna mfanyabiashara mmoja mkubwa alikuwa ameingiza bidhaa zishaisha muda wake na kaziweka supermarket.
Kuna jamaa alikuwa anafanya humo humo supermarket akamchoma kwa TFDA ambayo sasa ni TMDA kwa kuwapigia simu. Mara ghafla maafisa hao wakafika pale wakawakomba wahusika. Huyo mfanyabiashara akapewa taarifa, akapiga simu moja tu, wale maafisa wakaambiwa nani kawatuma wawarudishe wafanyakazi haraka sana.
Mfanyabiashara huyo hakuishia hapo, ndani ya dakika chache alikuwa ashapewa namba ya nani aliyetoa taarifa na akagundua ni mfanyakazi wake.
Akampigia simu akamwambia yani wewe ndiye wakunichoma mimi. Jamaa alianza kuishi kwa mashaka ikambidi aende mwenyewe kumwomba msamaha na kumpa sababu ya kwanini alifanya hivyo.
Nchi hii ndio maana watu wanafumba macho maana jamaa angeweza kumfanyia kitu kibaya maana ni mfanyabiashara mkubwa sana.
Huo ndio ujinga wa mwafrika.Hii species ni shida tupu duniani.
 
wq... sikufaham na ndio kwanza naskia jina lako leo. Ila piga kaz
Naskia hapo kkoo usiqQ1ku shimon ni nchi na ina watu,aliwah kusema jamaa mmoj hapa anakuaga na mada za uloz ulozq1
Wewe fanya kaz labda umewatibulia biashara yao wanaona wachina wanakupa tenda sana.
 
Sawa kila mtu hula kwa urefu wa kamba yake. Hayo ndio malupulupu yake kuwa mtoto wa rais. Africa hicho kitu kidogo sana. Hata ningekuwa mimi ningetumia hiyo nafasi kwa nchi hizi za Africa. Tena huyo haijatumia vizuri hiyo nafasi ya kuwa mtoto wa mheshimiwa. Hiyo mizigo kwa sasa ilitakiwa awe anapambana na TRA pale bandarini ana kontena 10,15. Mimi nisingehangaika na huto tutyre twa hapo hapo dar. Ilikuwa aanze kuchapisha tyre zake nje. Bado namuona kinda kwenye mambo hayo.
Wewe rejea Ri-1 katengeneza hela, maisha kupitia nafasi kama hiyo na bado anapiga mkwanja kupitia hiyo,hajazubaa. Ni tajiri kwa sasa
Mwingine Mtoto wa rais wa zamani Angola ni mwanamke tajiri Africa.
Wewe unataka baadae waanze kutanga tanga na kuongea ongea kama watoto wa kiongozi wa kwanza humu

Wanataka waje kumcheka Mama yake akitoka madarakani Kua mtoto wa Raisi hakua na akili, Abdul endelea kupiga Hela nyingi zaidi ya hizo piga hela piga Hela hachana na wenye wivu

Mama akitoka madarakani na ukiwa hauna hela watakucheka
 
Yaani mtoto wa Rais anafanya biashara ya kimasikini ya kuuza matajiri na bado mnaletwa nongwa...
Mlitaka awe kama mtoto wa Museven ndo mridhike ?punguzeni nongwa .
Hapo kkoo wafanya biashara wote wanacheza michezo na watu wa TRA

Nimeshangaa sana mtoto wa rais kuwa na fremu k/koo,biashara bila magumashi kutoboa ngumu.......Huyo mtoto wa sir100 ilitakiwa arun bizness kubwa kubwa na si retail.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom