Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeelewa sana. Sasa yeye Kama ni afisa wa TRA anashindwa vipi kupelekea malalamiko ofisini? Sheria ndiyo Kila kitu aache uchonganishi.Umeelewa mada?
Kupeleka ofisini kunamzuia yeye kuleta mada hapa? Kama ndivyo Basi Jukwaa lifungwe maana kila kitu kilichopo humu kina sehemu ya kupeleka kwa mujibu wa sheria na taratibuNimeelewa sana. Sasa yeye Kama ni afisa wa TRA anashindwa vipi kupelekea malalamiko ofisini? Sheria ndiyo Kila kitu aache uchonganishi.
Ng'ombe au sio?! 😊TRA ngombe tu kama unaweza kumkwepa mkwepe
Asiseme Sasa anapata usumbufu.Kupeleka ofisini kunamzuia yeye kuleta mada hapa? Basi Jukwaa lifungwe maana kila kitu kilichopo huku kina sehemu ya kupeleka kwa mujibu wa sheria
Tafadhali usimchagulie jinsi ya kueleza scenario yakeAsiseme Sasa anapata usumbufu.
Ukiweza kuwakwepa wakwepe tu ,ningekua mimi huyo dogo na makofi juuNg'ombe au sio?! 😊
Aache umbeyaTafadhali usimchagulia jinsi ya kueleza
Natamani mimi ndo ningekuwa Abdullahim
Sasa hapo ndiyo umeonyesha rangi yako. Nakushauri Ficha upumbavuAache umbeya
Wewe umewahi kuwakwepa?! Na umewahi kubahatika kumuwasha mmoja wao makofi au ulishawahi kufanikiwa kuwawasha makofi kisha ukaenda zako?!Ukiweza kuwakwepa wakwepe tu ,ningekua mimi huyo dogo na makofi juu
Mbona unamtetea mpaka unatoka mapovu? Kwani wa wewe umo katika wizi huo?Sasa mkuu MBNA Inaonekana Kama Wew imekuuma Sana shida nn, Fanya kazi zako acha maisha ya watu utaishi vzuri mambo ya umbea umbea Achana nazo unadhan wahusika hawajui?
NakuheshimuSasa hapo ndiyo umeonyesha rangi yako. Nakushauri Ficha upumbavu
AsanteNakuheshimu