DOKEZO Rais Samia, Mwanao Abdulhalim Amer adaiwa kuwapa tabu sana maofisa wa TRA kutekeleza majukumu yao Kariakoo

DOKEZO Rais Samia, Mwanao Abdulhalim Amer adaiwa kuwapa tabu sana maofisa wa TRA kutekeleza majukumu yao Kariakoo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Status
Not open for further replies.
Abdullahim Amer ni jina la mtoto wa kiume wa Rais Samia.
Huyu kijana ana biashara ya kuuza matairi ya magari pale livingstone kariakoo.
Toka mama yake aingie madarakani amekua tatizo sana kwa maofisa wa tra wanaojaribu kutekeleza majukumu yao pale kariakoo kwa sababu anafanya biashara pasipokufuata taratibu na miongozo ya nchi yetu.hatoi risiti kwa wateja wake wala yeye mwenyewe hajali hilo.anashirikiana na kampuni za wachina kukwepa kodi.
Mfano tukio la hivi karibuni ni la bwana abdulhalim kununua mzigo wa matairi kwenye kampuni flani ya wachina iko mikocheni inaitwa Hiview international co ltd bila risiti.ule mzigo kufika kariakoo maofisa wa tra wakaukamata kwa sababu haukua na risiti wala invoice WALA DOCUMENT yoyote.so baada ya masaa kama mawili hivi ya kuzozana pale.wale maofisa wakapigiwa simu kutoka juu wakaambiwa wauachie huo mzigo haraka sana kwani ni wa mtoto wa mheshmiwa.
kuna kesi nyingi za aina hiyo ambazo huyu kijana amekua akizifanya na anapokua anataitiwa na vyombo husika basi hutumia jina la mama ake kujinasua.
sijasema kwamba Rais Samia anahusika na huu upuuzi wa mwanae ila jina lake kutumika kumnasua kila akipata majanga inaleta mashaka sana kwani haya mambo wananchi wa kawaida wanayaona live na yanaleta mkanganyiko sana pale kariakoo.
Kwa hiyo mama Samia najua humu kuna machawa wako wengi tu,jaribu kukaa na mwanao umrekebishe,hizo vurugu zake hapo kariakoo zinawapa shida sana maofisa kutekeleza majukumu yao.
Ilishasemwa kuwa CCM ni ukoo wa panya, kila mtu ni mwizi. Huyu kijana na mwingine anayefanya biashara ya kuingiza madawa ya binadamu ni Ridhiwan wa awamu ya sita
 
Nchi yetu bado sana kukua. Haya mambo yalitakiwa hata ukihisiwa umekwepa kodi lazima mtu awajibike.
Sijui lini tutafika huko
Kuna biashara unaweza kufanya na kulipa kodi zote na ukatajirika. Mtu anaeweza kuleta makontena 100 ya vitu na anauzia watu jumla ndani na nje ya nchi hata akipata 5% net profit margin kwa volume zake anakuwa tajiri tu.
 
Watoto wa viongozi wengine ni wakimya, wana nidhamu na ni wastaarab mno! Hawana haja ya mabavu wala kujikweza na kufanya mambo eti kwa sababu BABA au MAMA ni RAIS au mtu fulani. Waafrika sisi ni watu wa hovyo sana kwakweli 😔😔😔

Tatizo la watoto wa viongozi kusumbua si hapa tu kwa mataifa ya Afrika hata Zimbabwe... watoto wa hayati mzee Mugabe walikuwa wasumbufu mno! Sijui ni ulimbukeni au weusi wa akili kama rangi zetu au nini! 🤔🤔🤔😔😔😔

Na katika haohao watoto wa viongozi wapo ambao wako very! Very! Very! Disciplined... mfano Mheshimiwa Rais mstaafu mzee Kikwete ana kijana wake anaitwa "ALLY KIKWETE" aisee yule kijana mungu ambariki. Ni wa kipekee sana! Na nafkiri atakuja kuwa kiongozi mkubwa baadae. VERY CALM AND DISCIPLINED!... VERY KINDHEARTED! MUNGU AMUONGOZE YULE KIJANA.

Tujirekebishe jamani. Tuige mifano na tuache ulimbukeni.
 
Mkuu shida sio kufanya biashara. Ni jinsi anavyofanya kwa mujibu wa mtoa mada.. wafanyabiashara wengine kufanya magumashi haihalalishi yeye kufanya magumashi hasa ukijua nafasi ya familia yake.
Kaandika kimajungu Sana...
Kama kweli hao TRA wameambiwa wasimguse ...sasa usumbufu wanapata kutoka wapi na washaagizwa wasimguse?..

Na kama kuna agizo kama Hilo je haoni kuja mitandaoni ndo kuzidi kuwaweka pabaya hao TRA Kkoo?
Si wanaweza hata kuhamishwa Kwa kuvujisha Jambo Hilo?
Bottom line naona hapa kuna majungu tu ya kumchafua mtu..
Usikute hata hao TRA Kkoo ndo hawajui kuna mtoto wa Rais kkoo anaeuza matairi
 
Kuuza matairi ni biashara ya kimasikini?!
Halafu kwa nini ujilinganishe na vilaza wasiostaarabika ambao ambao hawajui maana ya utumishi wa umma badala ya walioendelea na wa kupigiwa mfano katika uongozi?!
Yaani mtoto wa Rais anafanya biashara ya kimasikini ya kuuza matajiri na bado mnaletwa nongwa...
Mlitaka awe kama mtoto wa Museven ndo mridhike ?punguzeni nongwa .
Hapo kkoo wafanya biashara wote wanacheza michezo na watu wa TRA
 
Inasikitisha sana kuwa na taifa lililojaa watu wa aina hii.
Ukisoma comment za watu wengi humu ni kwamba nchi hii watu tushazoea uvunjivu wa sheria kiasi kwamba as long as una cheo basi ni haki yako kufanya chochote. Halafu watu hawa hawa baadaye utasikia wanasifia kuheshimu sheria katika nchi za wenzetu. Afrika bwana.
Mimi narudia kusema, shida ya nchi hii sio katiba bali ni utayari wa kuheshimu hata hiyo katiba. Kama mawazo na fikra za wananchi wenyewe ndio kwamba mtoto wa raisi anaweza fanya chochote, au anaweza kupewa exclusive right ya kuagiza hata matairi, hata ije katiba mpya hakuna kitakachobadilika. TRA yenyewe ina mamlaka ya kukusanya kodi kutoka kwa wafanyabiashara ila simu moja tu inawazuia kufanya hivyo.
 
Ukisoma comment za watu wengi humu ni kwamba nchi hii watu tushazoea uvunjivu wa sheria kiasi kwamba as long as una cheo basi ni haki yako kufanya chochote. Halafu watu hawa hawa baadaye utasikia wanasifia kuheshimu sheria katika nchi za wenzetu. Afrika bwana.
Mimi narudia kusema, shida ya nchi hii sio katiba bali ni utayari wa kuheshimu hata hiyo katiba. Kama mawazo na fikra za wananchi wenyewe ndio kwamba mtoto wa raisi anaweza fanya chochote, au anaweza kupewa exclusive right ya kuagiza hata matairi, hata ije katiba mpya hakuna kitakachobadilika. TRA yenyewe ina mamlaka ya kukusanya kodi kutoka kwa wafanyabiashara ila simu moja tu inawazuia kufanya hivyo.

Naunga mkono hoja [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Yaani mtoto wa Rais anafanya biashara ya kimasikini ya kuuza matajiri na bado mnaletwa nongwa...
Mlitaka awe kama mtoto wa Museven ndo mridhike ?punguzeni nongwa .
Hapo kkoo wafanya biashara wote wanacheza michezo na watu wa TRA

Umeongea ukweli mkuu, wachina hawatoi risiti kwa bidhaa zao za kariakoo. Unawalipa point A wanakupa memo ya kichina unaipeleka point B ilipo store ya mzigo na hawakupi risiti.

Kwann hao maafisa wa tra wasianze na hao wachina waliomuuzia Abbulahm mzgo bila risiti? Au na hao wachina ni watoto wa mama Samia? Tumesikia upande wako wa story, bado wa Abdullahim, kama vipi mpelekeni polisi mama yake aje amtoe kwa dhamana..
Umesikia wapi mtoto wa rais anarukiwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom