DOKEZO Rais Samia, Mwanao Abdulhalim Amer adaiwa kuwapa tabu sana maofisa wa TRA kutekeleza majukumu yao Kariakoo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Status
Not open for further replies.
Mama asijue yanayofanywa na mwanae?

Matukio ya mara moja. Sawa. Inapokuwa mara kadhaa, hilo ni wazi mama anahusika na anaruhusu.

Tuache utetezi usiokuwa na mantiki.
 
Kwani ndiyo mtoto wa kwanza rais
Kufanya mambo hayo
Kwa nchi za kiafrika hiyo kawaida tu
Hamjazoea tu

Ova
 
Yaani mtoto wa Rais anafanya biashara ya kimasikini ya kuuza matajiri na bado mnaletwa nongwa...
Mlitaka awe kama mtoto wa Museven ndo mridhike ?punguzeni nongwa .
Hapo kkoo wafanya biashara wote wanacheza michezo na watu wa TRA
Hakuna mfanyabiashara nchi hii anae lipa kodi 100% mengine n wivu tu

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Kwani ndiyo mtoto wa kwanza rais
Kufanya mambo hayo
Kwa nchi za kiafrika hiyo kawaida tu
Hamjazoea tu

Ova
Kwa hiyo nasi tunaye Teodoro Nguema Obiang wetu kama, yule wa Equatorial Guinea?

Na ulivyo mpuuzi, hiyo ndiyo sifa inayokuvutia wewe!
 

Haya kama Chawa wa Mama, tumekusikia, tutalifanyia kazi, ila sikubaliani kwamba labda hatoi risiti ukitaka kusema halipi kodi, hilo sio rahisi kwa Tanzania ya leo

Wewe sema umeamua kumchomea tu kwa Mama yake, kwa Tanzania ya leo kodi kukwepa ni ngumu sana.
 
nasikitisha sana nchi kuwa na watu wenye mawazo ya aina hii!
Ndiyo nimesema..., na watu wa aina hii ndio maadui wa nchi wakubwa.

Sheria zinatungwa ili zifanye kazi gani; na ni watu gani wanaotakiwa kuheshimu hizo sheria na wawepo wasiohusika nazo?
 
Yaani mtoto wa Rais anafanya biashara ya kimasikini ya kuuza matajiri na bado mnaletwa nongwa...
Mlitaka awe kama mtoto wa Museven ndo mridhike ?punguzeni nongwa .
Hapo kkoo wafanya biashara wote wanacheza michezo na watu wa TRA
Kwa hiyo wewe The Boss unaona sawa wafanyabiashara kucheza michezo na TRA.Yeye kama mtu mzima na mtoto wa Rais alitakiwa awe mfano mzuri.
 
Sheria nchi hii zimetungwa kwa ajili ya kajamba nani hao ndiyo watabanwaa

Ova
 
Kwa hiyo nasi tunaye Teodoro Nguema Obiang wetu kama, yule wa Equatorial Guinea?

Na ulivyo mpuuzi, hiyo ndiyo sifa inayokuvutia wewe!
Africa ndiyo ilivyo nashangaa nyie mnaona jambo geni

Ova
 
Ngoja tuone mwisho wake , Je havuti bangi kweli ?
 
Hao maafisa wa TRA walivyotukuzwa humu daah, acha na wao wanyanyaswe kidogo maana wanavyotunyanyasa sisi tusiokuwa Na pakukimbilia sio poa, dogo wakomeshe hao wanatuonea sanaa sisi hoe hae
 
Acheni wivu wa ajabu mtoto wa Rais apaswi kusumbuliwa kwa namna yoyote .
 
Sheria nchi hii zimetungwa kwa ajili ya kajamba nani hao ndiyo watabanwaa

Ova
Kuna mambo ya kufanyia utani. Tatizo ni kutojuwa ni yapi yanayohusu utani wakati unapotoa maoni.

Kuna mambo mengi sana sikukubaliana na aliyokuwa akifanya marehemu Magufuli; lakini nadhani nchi hii inahitaji sana uongozi wa aina ile, vinginevyo tutakuwa ni taifa la kipumbavu pumbavu tu, kwa aina ya baadhi ya raia wetu walivyo.
 
Husuda zimewajaa hao TRA. % za kodi ni kubwa na wamekua wanafanya kazi kwa kuwaaibisha wafanyabiashara. Wafundishwe maadili kwanza
 
Acha chuki binafsi, zingatia kupata faida kiasi kwenye biashara yako, Huyu kijana hana tamaa ya kuuza bei ghali ya kupata faida za kufuru, hapendi makuu, yeye huridhika na kiduchu apatacho, chuki zako haziwezi kukufikisha popote mtoa mada.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…