Rais Samia na Lissu, mwanzo mzuri kwa Watanzania, ndicho tulichokifanya hapa Kenya

Rais Samia na Lissu, mwanzo mzuri kwa Watanzania, ndicho tulichokifanya hapa Kenya

Comparing oranges with lemons. You can't compare Miguna's stature to that of Lissu, can you?.

Vipi kuhusu yule Chris Msando wa IEBC aliyeuwawa na kukatwa kiganja cha mkono ili kikatumike kuibia kura? Na vipi kuhusu yule, na yule, na....
 
Vipi kuhusu yule Chris Msando wa IEBC aliyeuwawa na kukatwa kiganja cha mkono ili kikatumike kuibia kura? Na vipi kuhusu yule, na yule, na....
Nikumbushe mwaka gani huo. Which year?.
 
Hamna lisilozungumzika, miaka ya leo uongozi hautaki ubabe, chuki, majungu na upigaji kifua ngumi na mikwara.... mama Samia anaendelea kuweka sawa mambo mengi sana. Leo Kenya na Tanzania biashara baina yetu inapaa kweli kweli, ujinga na utoto wa kuchomeana vifaranga umesahaulika...

Hapa Kenya rais Uhuru alifanya jitihada zote za kuhakikisha uhasama wa kisiasa umepungua kwa kupatana na kufanya mazungumzo na wapinzani.
==============================

lisu-ic-data.jpg


Dar es Salaam. President Samia Suluhu Hassan and leading opposition figure Tundu Lissu held brief discussions today in Brussels, Belgium.

Lissu who is the Vice Chairman of opposition political party Chadema had made prior requests to meet the Head of State who is also the chairman of the ruling party- CCM.

According to a statement issued by the Director of Presidential Communications, Zuhura Yunus on Wednesday, the discussions, albeit brief, focused on pertinent issues.


“During their talks the two discussed various issues of interests to the welfare of the United Republic of Tanzania,” reads the statement in part.
Sawa, ila kuna jaji Tigana, ni pumbavu fulani na mchumia tumbo leo limeharibu uhusiano huo kwenye kesi ya Mheshimiwa Mbowe kwa kutoa maamuzi ya kijinga akidhani anamfurahisha Rais Samia. Jinga kabisa hili jaji.
 
Back
Top Bottom