imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Au niweke picha hapa ili ujidhihirishe badala ya kuja na povu?Hacha kutafta kiki kwa kuongea vitu vya kijinga,Au ww punga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au niweke picha hapa ili ujidhihirishe badala ya kuja na povu?Hacha kutafta kiki kwa kuongea vitu vya kijinga,Au ww punga?
Fiwa na wewe uwe mjane unawiri wivu ukuisheJanet amenawiri na anang'aa kwasasa, kuliko ilivyokuwa wakati wa utawala wa Jinamizi.
😍😍😍John P Magufuli alikua ana taste ya vitu vizuri.
Janet she's a typical African woman..
Kweli hata sundi kifaaJohn P Magufuli alikua ana taste ya vitu vizuri.
Janet she's a typical African woman..
Alikuwa mgonjwa wakati uleJanet amenawiri na anang'aa kwasasa, kuliko ilivyokuwa wakati wa utawala wa Jinamizi.
Anataka kumsilimisha kama Wahid MzinzeKatika majukwaa ya kisiasa Tanzania wiki hii pengine picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli wakati wakitoka kwenye Futari, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 15 Aprili. 2023 inaweza kuwa picha bora zaidi ya wiki.
Mbali na mavazi ya stara waliyovalia, lakini Mama Janeth Magufuli anaonekana amenawiri na mwenye tabasamu liliojaa bashasha,
Vipi Wanajamvi ninyi mnaonaje picha hii?
View attachment 2589734
Ujinga mzigoSimchukii Mama yetu wa Kitutsi.
Ni mtusi yeahUkimuangalia Kwa umakini Mama Magufuri ni kama ana sura ya KAGAME😏😏
Jimbo liko wazi hilo Mkuu, mama yuko vizuriJohn P Magufuli alikua ana taste ya vitu vizuri.
Janet she's a typical African woman..
Kuishi na zimwi nyumba moja kwa miaka thelathini si mchezoJanet amenawiri na anang'aa kwasasa, kuliko ilivyokuwa wakati wa utawala wa Jinamizi.
Sio kazi rahisi kuishi na mgonjwa wa akili.Kuishi na zimwi nyumba moja kwa miaka thelathini si mchezo
Washa WhatsApp itafunguka. Hata mimi ilikuwa hivyo hivyo, hivi sasa mambo Bam Bam.Picha haifunguki! Kulikoni?