SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Hata marehemu wenu alikuwa na PhD fekiVyeti feki wapo kazini kueneza vipropaganda vya kumchafua Magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata marehemu wenu alikuwa na PhD fekiVyeti feki wapo kazini kueneza vipropaganda vya kumchafua Magufuli
Jifunze kutumia neno "my" ....my beloved...[emoji23] Ulimchukia sana our beloved late president
Jifunze kutumia neno "my" ....my beloved....[emoji23] Ulimchukia sana our beloved late president
Ndo mana nimesema hacha kutafta kiki kwa kuongea mambo ya hovyo,Mama Janeth alipewa tuzo sio ya kujipodoa kipindi cha Jpm,ni kwa sababu mama alikuwa anapambana kumweka katika hali ya kusimama na kutoa kauli za kuongoza taifa.Au niweke picha hapa ili ujidhihirishe badala ya kuja na povu?
Unaweza kujua sababu ya kuwa hivyo? Kwa sababu toka akiwa na mumewe hela zilikuwepo na vyakula vilikuwepo, sasa unadhani kilikosekana nini au nini alishindwa kufanya wakati hadi kikafanya asinawiri?Janet amenawiri na anang'aa kwasasa, kuliko ilivyokuwa wakati wa utawala wa Jinamizi.
Ina maana hakuwa kwenye furaha katika ndoa yake na hali hiyo ni tokea akiwa mwalimu na mumewe hajawa rais au baada ya mumewe kuwa rais?Hata kwenye ziara zake huyu mama alionekana hana furaha kabisa,yaan yupo yupo tu,sahv anafurahia maisha
Unatumia itel itafungukajePicha haifunguki! Kulikoni?
walikuwa wameshaachana kimwili ila walibaki kuwa wanandoa kwenye makaratasi,walianza kuwa karibu kwasababu ya jamaa kupata urais ikamlazimu huyo mama kufata utaratibu maana rais hawez kuwa ikulu bila mkeIna maana hakuwa kwenye furaha katika ndoa yake na hali hiyo ni tokea akiwa mwalimu na mumewe hajawa rais au baada ya mumewe kuwa rais?
Mngependa sana waungane kumtukana JPM lakini haiwezi kutokea,Janet amenawiri na anang'aa kwasasa, kuliko ilivyokuwa wakati wa utawala wa Jinamizi.
Mgonjwa wa akili kalala.Mngependa sana waungane kumtukana JPM lakini haiwezi kutokea,
Mama Janeth amenona zake anafuraha uhuru wake umerejea.Mtanikumbuka!
Kama Mwamba baada ya Kulamba AsaliMama Janeth amenona zake anafuraha uhuru wake umerejea.
Yupo wapi siku hizi?Aliolewa maana mjomba alizaa naye mtoto mmojaKweli hata sundi kifaa