Rais Samia na Mama Janeth Magufuli, picha bora ya wiki

Rais Samia na Mama Janeth Magufuli, picha bora ya wiki

walikuwa wameshaachana kimwili ila walibaki kuwa wanandoa kwenye makaratasi,walianza kuwa karibu kwasababu ya jamaa kupata urais ikamlazimu huyo mama kufata utaratibu maana rais hawez kuwa ikulu bila mke
Kwahiyo waliwahi kutengana au muda wote huo wamekuwa wakiishi pamoja na kuachana?
 
Mngependa sana waungane kumtukana JPM lakini haiwezi kutokea,
Njoo huku kusini utaona kumbe kuna tofauti ya watanzania wa jamii forum na wa huku wanaoishi maisha ya uhalisia ambao hawafake chechote uone ni kwanamna gani watu wanamkumbuka jpm balaa
 
Katika majukwaa ya kisiasa Tanzania wiki hii pengine picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na Mama Janeth Magufuli wakati wakitoka kwenye Futari, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 15 Aprili. 2023 inaweza kuwa picha bora zaidi ya wiki.

Mbali na mavazi ya stara waliyovalia, lakini Mama Janeth Magufuli anaonekana amenawiri na mwenye tabasamu liliojaa bashasha,

Vipi Wanajamvi ninyi mnaonaje picha hii?
View attachment 2589734
Kila mtu akifurahi anakuwa mzuri!!
 
Back
Top Bottom