Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Anataka magazeti yote yaandike "MAMA ANAUPIGA MWINGI"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu alifaa zaidi kwenye taarabu sio uongozi wa nchiNimesikiliza hotuba ya Rais wetu leo kwenye maadhimisho ya siku ya uhuru wa habari duniani
Kwenye hotuba hiyo ambayo rais alikuwa katika mood ya kitofauti alisikika akiwaambia waandishi wa habari kuwa, 'ukinikuna nami nitakukuna, ila ukinikwaruza nitakuparura'
Kwa tafsiri rahisi ni kuwa anawaambia waandishi kuwa wakimuandika vizuri yeye pia atawapa favor, ila walimuandika vibaya watakiona cha mtema kuni
Hiki ni kitisho kwa waandishi kuandika habari zao kwa uhuru bila hofu ya kumkwaza Rais
Nadhani angewaasa kuandika habari kwa weledi zisizoegemea upande fulani, sio kumfurahisha
Kama Waandishi wenyewe ni hawa ambao alisema huwa wanampigia simu kumsalimia na wengine kumuomba pesa kwa nini wasimsifie? Ndiyo maana huyu Balire haishi kusifia awamu hii na kuiponda awamu iliyopita.Ila kwakweli awamu hii ya kwake.
Naona Magazeti yakimsifia mno
Kuliko awamu nyingine yeyote ile.
Unakuta magazeti karibia matano yanaandika almost the same title.
Sasa kama anataka waongeze kusifu itakua balaa.
Waandishi nao wakapiga makofi kwakumshangilia sanaNimesikiliza hotuba ya Rais wetu leo kwenye maadhimisho ya siku ya uhuru wa habari duniani
Kwenye hotuba hiyo ambayo rais alikuwa katika mood ya kitofauti alisikika akiwaambia waandishi wa habari kuwa, 'ukinikuna nami nitakukuna, ila ukinikwaruza nitakuparura'
Kwa tafsiri rahisi ni kuwa anawaambia waandishi kuwa wakimuandika vizuri yeye pia atawapa favor, ila walimuandika vibaya watakiona cha mtema kuni
Hiki ni kitisho kwa waandishi kuandika habari zao kwa uhuru bila hofu ya kumkwaza Rais
Nadhani angewaasa kuandika habari kwa weledi zisizoegemea upande fulani, sio kumfurahisha
Ni njaa tu zinawatesa Mkuu! Hata hicho kipindi wanachosema Uhuru wa Vyombo vya Habari uliminywa "still" walikuwa wakipiga makofi.Waandishi nao wakapiga makofi kwakumshangilia sana
Ameanza kwenda hovyo sasa.Nimesikiliza hotuba ya Rais wetu leo kwenye maadhimisho ya siku ya uhuru wa habari duniani
Kwenye hotuba hiyo ambayo rais alikuwa katika mood ya kitofauti alisikika akiwaambia waandishi wa habari kuwa, 'ukinikuna nami nitakukuna, ila ukinikwaruza nitakuparura'
Kwa tafsiri rahisi ni kuwa anawaambia waandishi kuwa wakimuandika vizuri yeye pia atawapa favor, ila walimuandika vibaya watakiona cha mtema kuni
Hiki ni kitisho kwa waandishi kuandika habari zao kwa uhuru bila hofu ya kumkwaza Rais
Nadhani angewaasa kuandika habari kwa weledi zisizoegemea upande fulani, sio kumfurahisha
InasikitishaAmeanza kwenda hovyo sasa.
No! Nazungumzia responsible journalism. Na hii alisisitiza kwa Afrika nzima.Kwa hiyo kujua thamani ya Afrika ni kuandika habari za kumfurahisha rais?
Mimi nazungumzia kitu kingine ambacho Samia kasemaNo! Nazungumzia responsible journalism. Na hii alisisitiza kwa Afrika nzima.
Umeandika ukweli. Slogan ya awamu hii ni kuhonga waandishi kwa gharama yoyote. Gazeti linaloongoza kuwekwa mfukoni ni Mwananchi limekuwa zaidi ya gazeti la UHURUKa
Kama Waandishi wenyewe ni hawa ambao alisema huwa wanampigia simu kumsalimia na wengine kumuomba pesa kwa nini wasimsifie? Ndiyo maana huyu Balire haishi kusifia awamu hii na kuiponda awamu iliyopita.
Mama kawaumbua jana, ni aibu kubwa sana kuwa na Taifa lenye Waandishi wa hovyo namna hii, kuomba pesa kwa Rais ndiyo Uhuru wa Vyombo vya habari waliokuwa wanautaka?
Kupanda kwa bei ya mafuta is not a big news kwasababu it's anticipated muda mrefu kabla.Umeandika ukweli. Slogan ya awamu hii ni kuhonga waandishi kwa gharama yoyote. Gazeti linaloongoza kuwekwa mfukoni ni Mwananchi limekuwa zaidi ya gazeti la UHURU
Chunguza uone gazeti hili linavyotumia na serikali hii hasa linapokuja suaala la kumlinda january makamba.
Iv inakuwaje magazeti yote yanakuwa na vichwa vya habar vinavyofanana? Huku burning issue kama kupanda kwa BEI ya mafuta ikipuuzwa! Cc Pascal Mayalla
Na demo yao wamekusaidia nn au Taifa kwa ujumlaRais Samia ana umagufuli na ana ukikwete pia
hana falsafa yake binafsi
mie nimemsikiliza sijaridhishwa nae
anakosema Waandishi wakiwa wanaandika watafakari kama hili litamkera Mama au laa sio sawa …hilo alipaswa amueleze Gerson Msigwa na Zuhura Yinus
Waandishi kwmy kazi yao kuna misingi ya kuzingatia ikiwemo sheria, maslahi ya Nchi na ushahidi wa wanachokiandika sio kutathmini kama Rais atafurahi au laa
Anasema ana ngozi ngumu hapo hapo anasema Waandishi wajitathnini kama habari zao zitaikera Serikali sasa hapo 'ugumu wa ngozi ' unapimwaje?
Jakaya na Mzee Ally Hassan ndio ma Rais wana Demokrasia zaid kuwahi kutokea hapa nchini na itachukua muda sana kupata wa mfanano nao
Unajisogeza karibu, Ila Kama haupo kwenye circle yao ni kazi bureKupanda kwa bei ya mafuta is not a big news kwasababu it's anticipated muda mrefu kabla.
Hakuna yeyote anayemlinda january Makamba, the truth is January ni very smart upstairs
hivyo kumjengea maadui,January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President
Watch Clouds 360 Degrees Live , January Makamba yuko Live. January Makamba, akiongea, anaonekana yuko very intelligent upstairs kwa sababu anaonyesha ana think kabla ya kuongea. Kuna baadhi ya viongozi wetu, I doubts kama wana think kabla hawajaongea ndio maana kiwango cha upayukaji kwa awamu...www.jamiiforums.com
Hili la mafuta, January, ameisha liongelea vizuri kabisa
P
Good to know this, I'm just doing my job, sijiweki karibu na wala siko kwenye circle ya yeyote!.Unajisogeza karibu, Ila Kama haupo kwenye circle yao ni kazi bure
Hangaya keshalewa kilevi kiitwacho madaraka. Hawa watu wanaopata mamlaka kwa ngekewa ni shida tupu kwa kweli. N ulimbukeni flani hivi huwa unawasumbua.Nimesikiliza hotuba ya Rais wetu leo kwenye maadhimisho ya siku ya uhuru wa habari duniani
Kwenye hotuba hiyo ambayo rais alikuwa katika mood ya kitofauti alisikika akiwaambia waandishi wa habari kuwa, 'ukinikuna nami nitakukuna, ila ukinikwaruza nitakuparura'
Kwa tafsiri rahisi ni kuwa anawaambia waandishi kuwa wakimuandika vizuri yeye pia atawapa favor, ila walimuandika vibaya watakiona cha mtema kuni
Hiki ni kitisho kwa waandishi kuandika habari zao kwa uhuru bila hofu ya kumkwaza Rais
Nadhani angewaasa kuandika habari kwa weledi zisizoegemea upande fulani, sio kumfurahisha
Kupanda kwa bei ya mafuta is not a big news kwasababu it's anticipated muda mrefu kabla.
Hakuna yeyote anayemlinda january Makamba, the truth is January ni very smart upstairs
hivyo kumjengea maadui,January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President
Watch Clouds 360 Degrees Live , January Makamba yuko Live. January Makamba, akiongea, anaonekana yuko very intelligent upstairs kwa sababu anaonyesha ana think kabla ya kuongea. Kuna baadhi ya viongozi wetu, I doubts kama wana think kabla hawajaongea ndio maana kiwango cha upayukaji kwa awamu...www.jamiiforums.com
Hili la mafuta, January, ameisha liongelea vizuri kabisa
P
Hili nimeliandikia makala, let me don't pre empty.January aliondoa tozo ya shillingi mia moja kwenye mafuta ili apate sifa kwa mgongo wa rais kinyume na taratibu za kibajeti unasemaje katika hili Pascal Mayalla