Rais Samia nae ameanza vitisho kwa waandishi kama Magufuli, inasikitisha

Rais Samia nae ameanza vitisho kwa waandishi kama Magufuli, inasikitisha

Nimesikiliza hotuba ya Rais wetu leo kwenye maadhimisho ya siku ya uhuru wa habari duniani

Kwenye hotuba hiyo ambayo rais alikuwa katika mood ya kitofauti alisikika akiwaambia waandishi wa habari kuwa, 'ukinikuna nami nitakukuna, ila ukinikwaruza nitakuparura'

Kwa tafsiri rahisi ni kuwa anawaambia waandishi kuwa wakimuandika vizuri yeye pia atawapa favor, ila walimuandika vibaya watakiona cha mtema kuni

Hiki ni kitisho kwa waandishi kuandika habari zao kwa uhuru bila hofu ya kumkwaza Rais

Nadhani angewaasa kuandika habari kwa weledi zisizoegemea upande fulani, sio kumfurahisha
Huyu alifaa zaidi kwenye taarabu sio uongozi wa nchi
 
Naskkitika tu gazeti la raia mwema kuwekwa mfukoni.
Leo hakuna gazeti lililoandika kuhusu Bei ya mafuta kupanda sana
 
Ka
Ila kwakweli awamu hii ya kwake.

Naona Magazeti yakimsifia mno

Kuliko awamu nyingine yeyote ile.

Unakuta magazeti karibia matano yanaandika almost the same title.

Sasa kama anataka waongeze kusifu itakua balaa.
Kama Waandishi wenyewe ni hawa ambao alisema huwa wanampigia simu kumsalimia na wengine kumuomba pesa kwa nini wasimsifie? Ndiyo maana huyu Balire haishi kusifia awamu hii na kuiponda awamu iliyopita.

Mama kawaumbua jana, ni aibu kubwa sana kuwa na Taifa lenye Waandishi wa hovyo namna hii, kuomba pesa kwa Rais ndiyo Uhuru wa Vyombo vya habari waliokuwa wanautaka?
 
Nimesikiliza hotuba ya Rais wetu leo kwenye maadhimisho ya siku ya uhuru wa habari duniani

Kwenye hotuba hiyo ambayo rais alikuwa katika mood ya kitofauti alisikika akiwaambia waandishi wa habari kuwa, 'ukinikuna nami nitakukuna, ila ukinikwaruza nitakuparura'

Kwa tafsiri rahisi ni kuwa anawaambia waandishi kuwa wakimuandika vizuri yeye pia atawapa favor, ila walimuandika vibaya watakiona cha mtema kuni

Hiki ni kitisho kwa waandishi kuandika habari zao kwa uhuru bila hofu ya kumkwaza Rais

Nadhani angewaasa kuandika habari kwa weledi zisizoegemea upande fulani, sio kumfurahisha
Waandishi nao wakapiga makofi kwakumshangilia sana
 
Waandishi nao wakapiga makofi kwakumshangilia sana
Ni njaa tu zinawatesa Mkuu! Hata hicho kipindi wanachosema Uhuru wa Vyombo vya Habari uliminywa "still" walikuwa wakipiga makofi.

Kama Rais kasema huwa wanampigia simu kumuomba chochote kitu usitegemee Weledi kwenye uandishi wao.
 
Nimesikiliza hotuba ya Rais wetu leo kwenye maadhimisho ya siku ya uhuru wa habari duniani

Kwenye hotuba hiyo ambayo rais alikuwa katika mood ya kitofauti alisikika akiwaambia waandishi wa habari kuwa, 'ukinikuna nami nitakukuna, ila ukinikwaruza nitakuparura'

Kwa tafsiri rahisi ni kuwa anawaambia waandishi kuwa wakimuandika vizuri yeye pia atawapa favor, ila walimuandika vibaya watakiona cha mtema kuni

Hiki ni kitisho kwa waandishi kuandika habari zao kwa uhuru bila hofu ya kumkwaza Rais

Nadhani angewaasa kuandika habari kwa weledi zisizoegemea upande fulani, sio kumfurahisha
Ameanza kwenda hovyo sasa.
 
Ka

Kama Waandishi wenyewe ni hawa ambao alisema huwa wanampigia simu kumsalimia na wengine kumuomba pesa kwa nini wasimsifie? Ndiyo maana huyu Balire haishi kusifia awamu hii na kuiponda awamu iliyopita.

Mama kawaumbua jana, ni aibu kubwa sana kuwa na Taifa lenye Waandishi wa hovyo namna hii, kuomba pesa kwa Rais ndiyo Uhuru wa Vyombo vya habari waliokuwa wanautaka?
Umeandika ukweli. Slogan ya awamu hii ni kuhonga waandishi kwa gharama yoyote. Gazeti linaloongoza kuwekwa mfukoni ni Mwananchi limekuwa zaidi ya gazeti la UHURU
Chunguza uone gazeti hili linavyotumia na serikali hii hasa linapokuja suaala la kumlinda january makamba.

Iv inakuwaje magazeti yote yanakuwa na vichwa vya habar vinavyofanana? Huku burning issue kama kupanda kwa BEI ya mafuta ikipuuzwa! Cc Pascal Mayalla
 
Umeandika ukweli. Slogan ya awamu hii ni kuhonga waandishi kwa gharama yoyote. Gazeti linaloongoza kuwekwa mfukoni ni Mwananchi limekuwa zaidi ya gazeti la UHURU
Chunguza uone gazeti hili linavyotumia na serikali hii hasa linapokuja suaala la kumlinda january makamba.

Iv inakuwaje magazeti yote yanakuwa na vichwa vya habar vinavyofanana? Huku burning issue kama kupanda kwa BEI ya mafuta ikipuuzwa! Cc Pascal Mayalla
Kupanda kwa bei ya mafuta is not a big news kwasababu it's anticipated muda mrefu kabla.
Hakuna yeyote anayemlinda january Makamba, the truth is January ni very smart upstairs

hivyo kumjengea maadui,

Hili la mafuta, January, ameisha liongelea vizuri kabisa

P
 
Rais Samia ana umagufuli na ana ukikwete pia

hana falsafa yake binafsi

mie nimemsikiliza sijaridhishwa nae

anakosema Waandishi wakiwa wanaandika watafakari kama hili litamkera Mama au laa sio sawa …hilo alipaswa amueleze Gerson Msigwa na Zuhura Yinus

Waandishi kwmy kazi yao kuna misingi ya kuzingatia ikiwemo sheria, maslahi ya Nchi na ushahidi wa wanachokiandika sio kutathmini kama Rais atafurahi au laa

Anasema ana ngozi ngumu hapo hapo anasema Waandishi wajitathnini kama habari zao zitaikera Serikali sasa hapo 'ugumu wa ngozi ' unapimwaje?

Jakaya na Mzee Ally Hassan ndio ma Rais wana Demokrasia zaid kuwahi kutokea hapa nchini na itachukua muda sana kupata wa mfanano nao
Na demo yao wamekusaidia nn au Taifa kwa ujumla
 
Kupanda kwa bei ya mafuta is not a big news kwasababu it's anticipated muda mrefu kabla.
Hakuna yeyote anayemlinda january Makamba, the truth is January ni very smart upstairs

hivyo kumjengea maadui,

Hili la mafuta, January, ameisha liongelea vizuri kabisa

P
Unajisogeza karibu, Ila Kama haupo kwenye circle yao ni kazi bure
 
Afunge, atishe yote sawa mlizidi sana kumkejeli mzee wa watu legendary John, sasa ndiyo mtulie dawa iwaingie.
 
Nimesikiliza hotuba ya Rais wetu leo kwenye maadhimisho ya siku ya uhuru wa habari duniani

Kwenye hotuba hiyo ambayo rais alikuwa katika mood ya kitofauti alisikika akiwaambia waandishi wa habari kuwa, 'ukinikuna nami nitakukuna, ila ukinikwaruza nitakuparura'

Kwa tafsiri rahisi ni kuwa anawaambia waandishi kuwa wakimuandika vizuri yeye pia atawapa favor, ila walimuandika vibaya watakiona cha mtema kuni

Hiki ni kitisho kwa waandishi kuandika habari zao kwa uhuru bila hofu ya kumkwaza Rais

Nadhani angewaasa kuandika habari kwa weledi zisizoegemea upande fulani, sio kumfurahisha
Hangaya keshalewa kilevi kiitwacho madaraka. Hawa watu wanaopata mamlaka kwa ngekewa ni shida tupu kwa kweli. N ulimbukeni flani hivi huwa unawasumbua.
 
Kupanda kwa bei ya mafuta is not a big news kwasababu it's anticipated muda mrefu kabla.
Hakuna yeyote anayemlinda january Makamba, the truth is January ni very smart upstairs

hivyo kumjengea maadui,

Hili la mafuta, January, ameisha liongelea vizuri kabisa

P

January aliondoa tozo ya shillingi mia moja kwenye mafuta ili apate sifa kwa mgongo wa rais kinyume na taratibu za kibajeti unasemaje katika hili Pascal Mayalla
 
Back
Top Bottom