imenisaidia uwepo wa JF ambao nimepata bahati ya ku share jukwaa la Siasa na akili kubwa kama wewe
Na demo yao wamekusaidia nn au Taifa kwa ujumla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na demo yao wamekusaidia nn au Taifa kwa ujumla
Pascal kuwa kiongozi sio lelemama....kuongelea jambo bila kutafuta utatuzi ni upuuzi...Kupanda kwa bei ya mafuta is not a big news kwasababu it's anticipated muda mrefu kabla.
Hakuna yeyote anayemlinda january Makamba, the truth is January ni very smart upstairs
hivyo kumjengea maadui,January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President
Watch Clouds 360 Degrees Live , January Makamba yuko Live. January Makamba, akiongea, anaonekana yuko very intelligent upstairs kwa sababu anaonyesha ana think kabla ya kuongea. Kuna baadhi ya viongozi wetu, I doubts kama wana think kabla hawajaongea ndio maana kiwango cha upayukaji kwa awamu...www.jamiiforums.com
Hili la mafuta, January, ameisha liongelea vizuri kabisa
P
Ameanza kwenda hovyo sasa.
Wengine wetu tulishambuliwa na kukashifiwa kwa kuikosoa serikali ya Kikwete !!Rais Samia ana umagufuli na ana ukikwete pia
hana falsafa yake binafsi
mie nimemsikiliza sijaridhishwa nae
anakosema Waandishi wakiwa wanaandika watafakari kama hili litamkera Mama au laa sio sawa …hilo alipaswa amueleze Gerson Msigwa na Zuhura Yinus
Waandishi kwmy kazi yao kuna misingi ya kuzingatia ikiwemo sheria, maslahi ya Nchi na ushahidi wa wanachokiandika sio kutathmini kama Rais atafurahi au laa
Anasema ana ngozi ngumu hapo hapo anasema Waandishi wajitathnini kama habari zao zitaikera Serikali sasa hapo 'ugumu wa ngozi ' unapimwaje?
Jakaya na Mzee Ally Hassan ndio ma Rais wana Demokrasia zaid kuwahi kutokea hapa nchini na itachukua muda sana kupata wa mfanano nao
Hivyo ndivyo wanavyojua wachumia tumbo wengi !!!Kwa hiyo kujua thamani ya Afrika ni kuandika habari za kumfurahisha rais?
Inafikirisha sana !!Pascal kuwa kiongozi sio lelemama....kuongelea jambo bila kutafuta utatuzi ni upuuzi...
Kwa kifupi wafanya biashara wameiweka serikali mfukoni...very Sad indeed...
Ila kitaeleweka tu....muda ni mwalimu mzuri sana
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Hivyo ndivyo wanavyojua wachumia tumbo wengi !!!
Hiyo ndio shida tuliyonayo !!We si umemuona Balile jana! Huyu bwana ni mjinga sana! Alikuwa anamsifia Jiwe jana anaongea vingine! Unafikiri Rais hajajua walivyo vichwa panzi! Na Samia alivyo mnafiki anawaambia hata wakipungukiwa mfukoni wanaweza kupiga simu akawawezesha!
Usiweke kisingizio hapa. Wewe unaonyesha wala sio msomaji/mnunuzi wa magazeti!Sijanunua gazette mwaka with 6 huu. Sijaona namala za nguvu ya hoza ndani ya magazeti miaka 6 sasa.
So hii ni bifu na waandishi?Afunge, atishe yote sawa mlizidi sana kumkejeli mzee wa watu legendary John, sasa ndiyo mtulie dawa iwaingie.
Wengine wetu tulishambuliwa na kukashifiwa kwa kuikosoa serikali ya Kikwete !!
Wakubwa katika Africa ni ngumu sana kuvumilia freedom of expression !! Huo Ndio ukweli !! Na utakuta hapo watu wanaweza kunyanyaswa na kudhalilishwa na wale wanaojipendekeza kwa wakubwa bila hata ya kutumwa kufanya hivyo !! Kauli za wakubwa Mara nyingi zinatafsiriwa vibaya na wale wachumia tumbo wanaojipendekeza !! Baadaye lawama ni lazima zitaenda kwa wakubwa maana itaonekana kama wao ndio waliobariki huo uovu !!So hii ni bifu na waandishi?
Good answer. Short and clear.Good to know this, I'm just doing my job, sijiweki karibu na wala siko kwenye circle ya yeyote!.
P
Not bifu bali ni vile anaona mnaanza kutumia uhuru vibaya, ndiposa anatumia issue ya picha, sinema mbaya za watoto as kuongea.So hii ni bifu na waandishi?
Kutumia vizuri ndio kuisifu serikali?Not bifu bali ni vile anaona mnaanza kutumia uhuru vibaya, ndiposa anatumia issue ya picha, sinema mbaya za watoto as kuongea.