Rais Samia: Nagusa na Kubadili Mawaziri wote isipokuwa Biteko, anafanya kazi nzuri

Rais Samia: Nagusa na Kubadili Mawaziri wote isipokuwa Biteko, anafanya kazi nzuri

Nimeshangazwa kuona Raisi wangu mpendwa akipokewa na Ngoma za Kirundi hapo Runzewe.

Hivi Wasumbwa Wasubi hawana Utamaduni, au ni pombe ndizo zimewachukua mpaka wanakuwa wavivu?

Jionee mwenyewe👇
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Runzewe mkoa wa Geita, leo tarehe 16 Oktoba, 2022



Kwanza nawashukuru, nimeingia Geita jana asubuhi sana, tumefungua hospitali ya kanda pale chato, lakini tukafungua kiwanda cha kuchenjua dhahabu itakayouzwa duniani kote, pia kituo cha umeme.

Langu mimi ni kuwahakikishia, mimi pamoja na wasaidizi wangu wakiwemo mawaziri, wabunge tupo kuitumikia Tanzania. Tupo kumtumikia mtanzani, kuleta maendeleo na kujenga Tanzania yetu.

Ombi langu kwenu, bakini na amani. Tunzeni amani na utulivu kwenye maeneo yetu, twendeni tukachape kazi, kila mtu kwa kazi anayoifanya, kila mmoja achangie maendeleo ya nchi yetu.

Sisi ni wakusanyaji wa fedha ili tulete maendeleo kwenu, hatukusanyi tusibebe sisi, hapana. ndo pesa mnazosikia mama amemwaga, mama amemwaga, ni kwa sababu tumekusanya kutoka kwenu. Tuchape kazi ili tulete maendeleo.

Nawashukuru kwa zawadi zote mlizonimiminia, ili vijana wangu waweze kufanya kazi saa 24, na ili serikali iweze kukusanya mapato ya kutosha, naleta taa za barabarani.

Mmenipa kijana mzuri sana (Waziri Wa madini Doto Biteko) aliyenyanyua sekta ya madini kutoka kuchangia asilimia 4 ya pato la taifa, sasa inachangia karibia asilimia 8. Ndo maana mnaona nawagusa wote nawabadilisha, lakini Biteko yupo hapohapo. Kwa sababu anafanya kazi nzuri sana, anaichangia Tanzania vizuri sana, mtihani wake ni hadi 2025, asipofikia asilimia 10 (ya mapato) atakuwa amewaangusha wananchi wa Bukombe. Akifikisha asilimia 10, Biteko oyee.

Hivi wale waliokuwa wanamsagia sumu Biteko humu JF wa hali gani huko waliko? Ikiwemo yule mchumia tumbo wa Twitter ?nimeamini serikali haiendeshwi na mitandao , ina machinery yake ...
 
Wasumbwa na wasubi haya makabira wanawake zao wamebarikiwa mawowowo na urefu kama watutsi
 
Hivi wale waliokuwa wanamsagia sumu Biteko humu JF wa hali gani huko waliko? Ikiwemo yule mchumia tumbo wa Twitter ?nimeamini serikali haiendeshwi na mitandao , ina machinery yake ...
Biteco atakuja kuwa Rais wa hii nchi.minaona kabisa ni Rais miaka ijayo.
 
Biteco atakuja kuwa Rais wa hii nchi.minaona kabisa ni Rais miaka ijayo.
System ikimkubali hata haina haja ya kutabiri lakini isipomkubali hata awe mchapakazi bora kwa kiwango cha juu zaidi haitawezekana kamwe kuwa Rais, rejea kuhusu Waziri aliyetolewa sekta ya ardhi hivi karibuni.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Runzewe mkoa wa Geita, leo tarehe 16 Oktoba, 2022



Kwanza nawashukuru, nimeingia Geita jana asubuhi sana, tumefungua hospitali ya kanda pale chato, lakini tukafungua kiwanda cha kuchenjua dhahabu itakayouzwa duniani kote, pia kituo cha umeme.

Langu mimi ni kuwahakikishia, mimi pamoja na wasaidizi wangu wakiwemo mawaziri, wabunge tupo kuitumikia Tanzania. Tupo kumtumikia mtanzani, kuleta maendeleo na kujenga Tanzania yetu.

Ombi langu kwenu, bakini na amani. Tunzeni amani na utulivu kwenye maeneo yetu, twendeni tukachape kazi, kila mtu kwa kazi anayoifanya, kila mmoja achangie maendeleo ya nchi yetu.

Sisi ni wakusanyaji wa fedha ili tulete maendeleo kwenu, hatukusanyi tusibebe sisi, hapana. ndo pesa mnazosikia mama amemwaga, mama amemwaga, ni kwa sababu tumekusanya kutoka kwenu. Tuchape kazi ili tulete maendeleo.

Nawashukuru kwa zawadi zote mlizonimiminia, ili vijana wangu waweze kufanya kazi saa 24, na ili serikali iweze kukusanya mapato ya kutosha, naleta taa za barabarani.

Mmenipa kijana mzuri sana (Waziri Wa madini Doto Biteko) aliyenyanyua sekta ya madini kutoka kuchangia asilimia 4 ya pato la taifa, sasa inachangia karibia asilimia 8. Ndo maana mnaona nawagusa wote nawabadilisha, lakini Biteko yupo hapohapo. Kwa sababu anafanya kazi nzuri sana, anaichangia Tanzania vizuri sana, mtihani wake ni hadi 2025, asipofikia asilimia 10 (ya mapato) atakuwa amewaangusha wananchi wa Bukombe. Akifikisha asilimia 10, Biteko oyee.

Kuna mpuuzi fulani alikuja na Tetesi uchwara.
 
Sekta ya madini mchango wake usiwe less than 35% hii 8-10% bado ni utoporo tuseme madini bado yanatoroshwa kwa wingi kwenda nje ya Nchi? Mama awe macho na wasaidizi wake wanamzunguka
 
Biteko yupo vizuri sana na anafanya kazi yake vizuri sana
Anafanya Kazi kwenye wizara nyeti,huko zaidi ya kutatua migogoro ya wachimbaji wadogo kuna nini cha ziada?

Fanya Kazi kwenye sekta nyeti ndio tukupime kama Afya ,maji,Tamisemi,Barabara na Wizara ya mambo ya Ndani.
 
Back
Top Bottom