Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Chibonge... Chibonge mama mtu mbadiAtie neno kidogo kuhusu Magendo ya Vitenge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chibonge... Chibonge mama mtu mbadiAtie neno kidogo kuhusu Magendo ya Vitenge.
Vizuri ?Kwasisi maderava huwa tunapaita "Shamba la nyege" ni sehemu nzuri ya kupumzika na Vidada vya Kisubi.
Runzewe hadi Kigali mitaa yangu hiyo.Kumbe ndo maana wewe huwa wa ovyo kwa vile umeishi Runzewe
Una ugonjwa wa akili?Runzewe ndiyo wapi huko? Ni jamhuri ya watu wa Rwanda?
Kunyeni milimani Kama kawaida mkuu.Huyu Aweso hana jipya Mwanza mjini maji tatizo sugu kila uchwao yeye ananing'i nia kwenye vieteee daily
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Runzewe mkoa wa Geita, leo tarehe 16 Oktoba, 2022
Kwanza nawashukuru, nimeingia Geita jana asubuhi sana, tumefungua hospitali ya kanda pale chato, lakini tukafungua kiwanda cha kuchenjua dhahabu itakayouzwa duniani kote, pia kituo cha umeme.
Langu mimi ni kuwahakikishia, mimi pamoja na wasaidizi wangu wakiwemo mawaziri, wabunge tupo kuitumikia Tanzania. Tupo kumtumikia mtanzani, kuleta maendeleo na kujenga Tanzania yetu.
Ombi langu kwenu, bakini na amani. Tunzeni amani na utulivu kwenye maeneo yetu, twendeni tukachape kazi, kila mtu kwa kazi anayoifanya, kila mmoja achangie maendeleo ya nchi yetu.
Sisi ni wakusanyaji wa fedha ili tulete maendeleo kwenu, hatukusanyi tusibebe sisi, hapana. ndo pesa mnazosikia mama amemwaga, mama amemwaga, ni kwa sababu tumekusanya kutoka kwenu. Tuchape kazi ili tulete maendeleo.
Nawashukuru kwa zawadi zote mlizonimiminia, ili vijana wangu waweze kufanya kazi saa 24, na ili serikali iweze kukusanya mapato ya kutosha, naleta taa za barabarani.
Mmenipa kijana mzuri sana (Waziri Wa madini Doto Biteko) aliyenyanyua sekta ya madini kutoka kuchangia asilimia 4 ya pato la taifa, sasa inachangia karibia asilimia 8. Ndo maana mnaona nawagusa wote nawabadilisha, lakini Biteko yupo hapohapo. Kwa sababu anafanya kazi nzuri sana, anaichangia Tanzania vizuri sana, mtihani wake ni hadi 2025, asipofikia asilimia 10 (ya mapato) atakuwa amewaangusha wananchi wa Bukombe. Akifikisha asilimia 10, Biteko oyee.
Biteko ni Kiongozi aliyelelewa na kufundishwa nini maana ya uongozi ndani ya Chama na ndani ya Serikali ndiyo Maana Mhe.Rais Mama Samia Suluhu ameendelea kumuamini katika sekta ya Madini.Biteko unaupiga mwingi sana hongera.
Kule watu wanaambukizana ukimwi kama vile wanashea mtandao kwa wifiHahahaha ila vina k tamu sana ila wanasema kuna ukimwi sana
USSR
Biteco atakuja kuwa Rais wa hii nchi.minaona kabisa ni Rais miaka ijayo.Hivi wale waliokuwa wanamsagia sumu Biteko humu JF wa hali gani huko waliko? Ikiwemo yule mchumia tumbo wa Twitter ?nimeamini serikali haiendeshwi na mitandao , ina machinery yake ...
System ikimkubali hata haina haja ya kutabiri lakini isipomkubali hata awe mchapakazi bora kwa kiwango cha juu zaidi haitawezekana kamwe kuwa Rais, rejea kuhusu Waziri aliyetolewa sekta ya ardhi hivi karibuni.Biteco atakuja kuwa Rais wa hii nchi.minaona kabisa ni Rais miaka ijayo.
Tegeshea kin***yeo chakoKunyeni milimani Kama kawaida mkuu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Runzewe mkoa wa Geita, leo tarehe 16 Oktoba, 2022
Kwanza nawashukuru, nimeingia Geita jana asubuhi sana, tumefungua hospitali ya kanda pale chato, lakini tukafungua kiwanda cha kuchenjua dhahabu itakayouzwa duniani kote, pia kituo cha umeme.
Langu mimi ni kuwahakikishia, mimi pamoja na wasaidizi wangu wakiwemo mawaziri, wabunge tupo kuitumikia Tanzania. Tupo kumtumikia mtanzani, kuleta maendeleo na kujenga Tanzania yetu.
Ombi langu kwenu, bakini na amani. Tunzeni amani na utulivu kwenye maeneo yetu, twendeni tukachape kazi, kila mtu kwa kazi anayoifanya, kila mmoja achangie maendeleo ya nchi yetu.
Sisi ni wakusanyaji wa fedha ili tulete maendeleo kwenu, hatukusanyi tusibebe sisi, hapana. ndo pesa mnazosikia mama amemwaga, mama amemwaga, ni kwa sababu tumekusanya kutoka kwenu. Tuchape kazi ili tulete maendeleo.
Nawashukuru kwa zawadi zote mlizonimiminia, ili vijana wangu waweze kufanya kazi saa 24, na ili serikali iweze kukusanya mapato ya kutosha, naleta taa za barabarani.
Mmenipa kijana mzuri sana (Waziri Wa madini Doto Biteko) aliyenyanyua sekta ya madini kutoka kuchangia asilimia 4 ya pato la taifa, sasa inachangia karibia asilimia 8. Ndo maana mnaona nawagusa wote nawabadilisha, lakini Biteko yupo hapohapo. Kwa sababu anafanya kazi nzuri sana, anaichangia Tanzania vizuri sana, mtihani wake ni hadi 2025, asipofikia asilimia 10 (ya mapato) atakuwa amewaangusha wananchi wa Bukombe. Akifikisha asilimia 10, Biteko oyee.
Watoto wa igogo,kigoto vinyeo vishazoea kunyea milimani? 😄😄Tegeshea kin***yeo chako
Fedha tulizoziona ni zile Za COVID 19, fedha Za bajeti ya serikali 2022/23 hazitafika na hazialiyekuwa
Mpigaji tu.Biteko Bado hujamfahamu, kuwa mpole Muda utajibu
Anafanya Kazi kwenye wizara nyeti,huko zaidi ya kutatua migogoro ya wachimbaji wadogo kuna nini cha ziada?Biteko yupo vizuri sana na anafanya kazi yake vizuri sana
Nikuulize ww wa Nyambiti utakuwa na jibuWatoto wa igogo,kigoto vinyeo vishazoea kunyea milimani? 😄😄