Rais Samia nakuomba lifumue jeshi la Uhamiaji na taasisi zake

Rais Samia nakuomba lifumue jeshi la Uhamiaji na taasisi zake

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Tumekuwa tukilaumu jeshi la police Kwa kukosa weledi na rushwa
Sasa kwa uozo ulio jeshi la Uhamiaji ni ndo mkubwa zaidi,
Kuna uzembe na rushwa sana

1. Kuhusu wachezaji wanne wa Singida Black Star kupewa uraia bila vigezo na kinyume cha Sheria
Uhamiaji mnafanya hivi Kwa faida ya nani? Hamjui sheria
Inakuwaje mtu amekuja Tanzania ndani ya miezi 6 awe raia
Uraia wa TANZANIA umekuwa rahisi hivo?
Kuna tatizo Rais Samia chungulia huko

2. Kuna Raia wengi wa Kigeni
Inakuwaje TANZANIA Sasa imekuwa kama shamba la bibi
Raia wengi wa Rwanda wapo nchini na wanapata haki zote za raia ikiwemo kumiliki ardhi, kupiga kura, kugombea n. K
Uhamiaji mmelala mno

3Ukiritimba kwenye kutoa pasi za kusafiria
Hapa usipotoa chochote utasota hadi Dili lako la nje life

Mambo ni mengi ila mamlaka jaribu kuchunguza huko Uhamiaji
 
Tumekuwa tukilaumu jeshi la police Kwa kukosa weledi na rushwa
Sasa kwa uozo ulio jeshi la Uhamiaji ni ndo mkubwa zaidi,
Kuna uzembe na rushwa sana

1. Kuhusu wachezaji wanne wa Singida Black Star kupewa uraia bila vigezo na kinyume cha Sheria
Uhamiaji mnafanya hivi Kwa faida ya nani? Hamjui sheria
Inakuwaje mtu amekuja Tanzania ndani ya miezi 6 awe raia
Uraia wa TANZANIA umekuwa rahisi hivo?
Kuna tatizo Rais Samia chungulia huko

2. Kuna Raia wengi wa Kigeni
Inakuwaje TANZANIA Sasa imekuwa kama shamba la bibi
Raia wengi wa Rwanda wapo nchini na wanapata haki zote za raia ikiwemo kumiliki ardhi, kupiga kura, kugombea n. K
Uhamiaji mmelala mno

3Ukiritimba kwenye kutoa pasi za kusafiria
Hapa usipotoa chochote utasota hadi Dili lako la nje life

Mambo ni mengi ila mamlaka jaribu kuchunguza huko Uhamiaji
Duh
 
Tumekuwa tukilaumu jeshi la police Kwa kukosa weledi na rushwa
Sasa kwa uozo ulio jeshi la Uhamiaji ni ndo mkubwa zaidi,
Kuna uzembe na rushwa sana

1. Kuhusu wachezaji wanne wa Singida Black Star kupewa uraia bila vigezo na kinyume cha Sheria
Uhamiaji mnafanya hivi Kwa faida ya nani? Hamjui sheria
Inakuwaje mtu amekuja Tanzania ndani ya miezi 6 awe raia
Uraia wa TANZANIA umekuwa rahisi hivo?
Kuna tatizo Rais Samia chungulia huko

2. Kuna Raia wengi wa Kigeni
Inakuwaje TANZANIA Sasa imekuwa kama shamba la bibi
Raia wengi wa Rwanda wapo nchini na wanapata haki zote za raia ikiwemo kumiliki ardhi, kupiga kura, kugombea n. K
Uhamiaji mmelala mno

3Ukiritimba kwenye kutoa pasi za kusafiria
Hapa usipotoa chochote utasota hadi Dili lako la nje life

Mambo ni mengi ila mamlaka jaribu kuchunguza huko Uhamiaji
 

Attachments

  • IMG-20250123-WA0003.jpg
    IMG-20250123-WA0003.jpg
    76.7 KB · Views: 3
Hii nchi na yenyewe kwa sasa imeshakuwa kichwa cha mwendawazimu. Kwa hali hii, wacha watu wengine waendelee kumkumbuka Magufuli.
 
na bado huyu bibi anataka agombee tena..mambo ya hovyo yanatendeka yupo tu kama hayupo yaani una madaraka lakini huna mamlaka..ile sehemu ya kuonyesha mamlaka na nguvu yake eti yeye anaomba.. utasikia "nawaomba kina kassim mkalitazame tuone tunafanyaje,na hili nalo mkaliangalie..kwa jinsi nchi ilivyojaa majizi ni mwendo wa kwenda nao jino kwa jino tu..inatakiwa mnene wa nchi lazima uogopwe na kuheshimiwa na hao wahuni wanaotumia nafasi zao vibaya lazima wajiulize mara nne nne kabla hajafanya upuuzi wao..tofauti na sasa wanajiamini kufanya watakalo kisa maza anaenda nao kwa kuwaomba na kuwabembeleza kama anavolea familia yake nyumbani..rais kama hutishi wala huogopewi wanini sasa kwenye taifa.!
 
Mkuu unakiwanja hata 20 × 20 huko kwenu?, hapo unapoishi hakuna hata serikali ya mtaa? Mpaka uanzishe nyuzi za aina moja asubuhi na jioni? Unalaumu vyombo vya usalama, wewe pia unayo haki ya kupeleka taarifa sehem zinahusika kama unayoyasema yana ukweli. Mtu hawezi kuwa ana 3 months nchin akapewa uraia hata angekuwa toka nitoke na MO.
 
Kuna jamaa mkenya aliniulizia kuhusu kununua kiwanja dar,nikamuambia yeye si raia aruhusiwi,akaniambia mbona siku hizi wananunua tu hamna shida!
Rushwa rushwa rushwa, yaani uraia unanunuliwa kama dukani. Na hiyo taasis inanuka rushwa, mpaka pale airport. Ni omba omba balaa
 
Tumekuwa tukilaumu jeshi la police Kwa kukosa weledi na rushwa
Sasa kwa uozo ulio jeshi la Uhamiaji ni ndo mkubwa zaidi,
Kuna uzembe na rushwa sana

1. Kuhusu wachezaji wanne wa Singida Black Star kupewa uraia bila vigezo na kinyume cha Sheria
Uhamiaji mnafanya hivi Kwa faida ya nani? Hamjui sheria
Inakuwaje mtu amekuja Tanzania ndani ya miezi 6 awe raia
Uraia wa TANZANIA umekuwa rahisi hivo?
Kuna tatizo Rais Samia chungulia huko

2. Kuna Raia wengi wa Kigeni
Inakuwaje TANZANIA Sasa imekuwa kama shamba la bibi
Raia wengi wa Rwanda wapo nchini na wanapata haki zote za raia ikiwemo kumiliki ardhi, kupiga kura, kugombea n. K
Uhamiaji mmelala mno

3Ukiritimba kwenye kutoa pasi za kusafiria
Hapa usipotoa chochote utasota hadi Dili lako la nje life

Mambo ni mengi ila mamlaka jaribu kuchunguza huko Uhamiaji
😂🤔🤔🤔
 
Tumekuwa tukilaumu jeshi la police Kwa kukosa weledi na rushwa
Sasa kwa uozo ulio jeshi la Uhamiaji ni ndo mkubwa zaidi,
Kuna uzembe na rushwa sana

1. Kuhusu wachezaji wanne wa Singida Black Star kupewa uraia bila vigezo na kinyume cha Sheria
Uhamiaji mnafanya hivi Kwa faida ya nani? Hamjui sheria
Inakuwaje mtu amekuja Tanzania ndani ya miezi 6 awe raia
Uraia wa TANZANIA umekuwa rahisi hivo?
Kuna tatizo Rais Samia chungulia huko

2. Kuna Raia wengi wa Kigeni
Inakuwaje TANZANIA Sasa imekuwa kama shamba la bibi
Raia wengi wa Rwanda wapo nchini na wanapata haki zote za raia ikiwemo kumiliki ardhi, kupiga kura, kugombea n. K
Uhamiaji mmelala mno

3Ukiritimba kwenye kutoa pasi za kusafiria
Hapa usipotoa chochote utasota hadi Dili lako la nje life

Mambo ni mengi ila mamlaka jaribu kuchunguza huko Uhamiaji
Una ushahidi kuhusu hili la wachezaji kupewa uraia?
 
Back
Top Bottom