Rais Samia nakuomba lifumue jeshi la Uhamiaji na taasisi zake

Rais Samia nakuomba lifumue jeshi la Uhamiaji na taasisi zake

Mkuu unakiwanja hata 20 × 20 huko kwenu?, hapo unapoishi hakuna hata serikali ya mtaa? Mpaka uanzishe nyuzi za aina moja asubuhi na jioni? Unalaumu vyombo vya usalama, wewe pia unayo haki ya kupeleka taarifa sehem zinahusika kama unayoyasema yana ukweli. Mtu hawezi kuwa ana 3 months nchin akapewa uraia hata angekuwa toka nitoke na MO.
Sio Nina kiwanja tu Nina mashamba makubwa tu
Ninalolisema hapa hujui ukubwa wake na uhalisia wake
Huko Uhamiaji Kuna tatizo kubwa tu
 
Sio Nina kiwanja tu Nina mashamba makubwa tu
Ninalolisema hapa hujui ukubwa wake na uhalisia wake
Huko Uhamiaji Kuna tatizo kubwa tu
Mkuu ikiwa kama wewee unaujua udhaifu na upungufu wa Immigration TZ kuliko wao na unaanzisha hizi mada continously basi una shida, kuhusu wewee kuwa na mashamba its hard to believe ikiwa unaweza sema wahamiaji wanamiliki ardhi ikiwa I'm sure you don't have their status of Immigration, yaani wewee uwe na taarifa zote and no one else has???
 
Mkuu ikiwa kama wewee unaujua udhaifu na upungufu wa Immigration TZ kuliko wao na unaanzisha hizi mada continously basi una shida, kuhusu wewee kuwa na mashamba its hard to believe ikiwa unaweza sema wahamiaji wanamiliki ardhi ikiwa I'm sure you don't have their status of Immigration, yaani wewee uwe na taarifa zote and no one else has???
Nimekwambia uhalisia haupo kama unavodhani
Mizizi ya wahamiaji haramu mkoa wa Kagera na Kigoma ni mkubwa mno
Hapa nipo kupaza Sauti kusaidia mamlaka za juu ambazo hazipati taarifa halisi kuliona na kulifanyia kazi
 
Hivi hao wanyarwanda wako huko kwenu tu daslam huku mikoani haatuwaoni
Ukiwaona unawajua mkuu? Ukweli hali ni mbaya sana niliwahi leta uzi hapa kuwa inakuwaje wafanyabiashara wa nchi jirani wanenda hadi mashambani kununua mazao.Watu wakasema mimi sio mkulima na nina waonea wivu wkulima niwaache wafaidike........Mimi huwa bnalima nynya na wateja wangu ni wanyarwanda wanakuja hadi shambani,wakenya na waganda vilevile hadi wanakambi na wengi wao hata passport hawana.

Yaani mtusi anakuja hajui hata kiingereza wala kiswahili na hawazi kabisa. warundi huku ni wengi vibaya mno kule kijiujni familia ninazo zofahamu zina warundi si chini6 na wanajiita waha uzuri waha wanajuana na warundi.Kipindi cha JK walisombwa sana wameenza kurudi kipindi cha jpm kwa uchache sana basi baada ya mama kuingia sasa hivi ni holela tu.waganda wanakuja hadi kijijini kununua mpunga na wanakuwa na kambi kabisa na wengine wanaoa na kuishi hapahapa nchini bila uraia wa nchi.

Kwa sasa tunaeza puzia haya lakini hapo badae tutajuta sana.

Wewe huwezi enda rwanda pale ukajenga hata kenya tu pale huwezi nunua ardhi ovyo ovyo kama wanavyonunua wao huku nenda mara na shinyanga uone wakenye wanavyo nunua ardhi hapa nchini.Ninacho kisema hapa nina uhakika nacho 1,000,000%
 
Ukiwaona unawajua mkuu? Ukweli hali ni mbaya sana niliwahi leta uzi hapa kuwa inakuwaje wafanyabiashara wa nchi jirani wanenda hadi mashambani kununua mazao.Watu wakasema mimi sio mkulima na nina waonea wivu wkulima niwaache wafaidike........Mimi huwa bnalima nynya na wateja wangu ni wanyarwanda wanakuja hadi shambani,wakenya na waganda vilevile hadi wanakambi na wengi wao hata passport hawana.

Yaani mtusi anakuja hajui hata kiingereza wala kiswahili na hawazi kabisa. warundi huku ni wengi vibaya mno kule kijiujni familia ninazo zofahamu zina warundi si chini6 na wanajiita waha uzuri waha wanajuana na warundi.Kipindi cha JK walisombwa sana wameenza kurudi kipindi cha jpm kwa uchache sana basi baada ya mama kuingia sasa hivi ni holela tu.waganda wanakuja hadi kijijini kununua mpunga na wanakuwa na kambi kabisa na wengine wanaoa na kuishi hapahapa nchini bila uraia wa nchi.

Kwa sasa tunaeza puzia haya lakini hapo badae tutajuta sana.

Wewe huwezi enda rwanda pale ukajenga hata kenya tu pale huwezi nunua ardhi ovyo ovyo kama wanavyonunua wao huku nenda mara na shinyanga uone wakenye wanavyo nunua ardhi hapa nchini.Ninacho kisema hapa nina uhakika nacho 1,000,000%
Uko wapi mkuu?,
 
Ukiwaona unawajua mkuu? Ukweli hali ni mbaya sana niliwahi leta uzi hapa kuwa inakuwaje wafanyabiashara wa nchi jirani wanenda hadi mashambani kununua mazao.Watu wakasema mimi sio mkulima na nina waonea wivu wkulima niwaache wafaidike........Mimi huwa bnalima nynya na wateja wangu ni wanyarwanda wanakuja hadi shambani,wakenya na waganda vilevile hadi wanakambi na wengi wao hata passport hawana.

Yaani mtusi anakuja hajui hata kiingereza wala kiswahili na hawazi kabisa. warundi huku ni wengi vibaya mno kule kijiujni familia ninazo zofahamu zina warundi si chini6 na wanajiita waha uzuri waha wanajuana na warundi.Kipindi cha JK walisombwa sana wameenza kurudi kipindi cha jpm kwa uchache sana basi baada ya mama kuingia sasa hivi ni holela tu.waganda wanakuja hadi kijijini kununua mpunga na wanakuwa na kambi kabisa na wengine wanaoa na kuishi hapahapa nchini bila uraia wa nchi.

Kwa sasa tunaeza puzia haya lakini hapo badae tutajuta sana.

Wewe huwezi enda rwanda pale ukajenga hata kenya tu pale huwezi nunua ardhi ovyo ovyo kama wanavyonunua wao huku nenda mara na shinyanga uone wakenye wanavyo nunua ardhi hapa nchini.Ninacho kisema hapa nina uhakika nacho 1,000,000%
Nikija kuwapopoa hapa Uhamiaji wanasema Nina chuki ila hawajui uhalisia wa hali ulivo mtaani
Yaani hawa wahamiaji haramu ni wengi na wapo hawana wasiwasi kabisa
Haiwezekani watu waliopewa dhamana wawajibike
 
Uko wapi mkuu?,
Nenda Kagera, Kigoma, Shinyanga au Tabora huko Wanyarwanda wanamiliki ardhi na vibali hawana wala hawawazi na wanakaribishana na ndugu zao wanakuja wakijua kiswahili kidogo wanaenda Dar
 
Nimekwambia uhalisia haupo kama unavodhani
Mizizi ya wahamiaji haramu mkoa wa Kagera na Kigoma ni mkubwa mno
Hapa nipo kupaza Sauti kusaidia mamlaka za juu ambazo hazipati taarifa halisi kuliona na kulifanyia kazi
Ukienda Burundi ndio utajua nchi yetu Iko wazi namna Gani. Raia wa kule wanamiliki kadi za kupiga kura za tanzania wanajiita watanzania.


Wengine wana Hadi kadi za Ccm wanasema ukiwa na kadi ya Ccm huulizwi tanzania.


Inasikitisha sana
 
Ukienda Burundi ndio utajua nchi yetu Iko wazi namna Gani. Raia wa kule wanamiliki kadi za kupiga kura za tanzania wanajiita watanzania.


Wengine wana Hadi kadi za Ccm wanasema ukiwa na kadi ya Ccm huulizwi tanzania.


Inasikitisha sana
Tutayawek bayana mauchafu Yao waamue kuyafanyia kazi au kupuuza shauri yao
 
Nenda Kagera, Kigoma, Shinyanga au Tabora huko Wanyarwanda wanamiliki ardhi na vibali hawana wala hawawazi na wanakaribishana na ndugu zao wanakuja wakijua kiswahili kidogo wanaenda Dar
Kwa mambo haya Sidhani kama tunakosekana kwenye top 10 ya nchi za ovyo kabisa duniani
 
Hao wanaojiita usalama wa taifa wana kazi moja tu ya kudeal na wakosoaji
 
Back
Top Bottom