Rais Samia nakuomba uisikilize clip hii ya Ngurumo, kuna kitu cha msingi utakigundua

Rais Samia nakuomba uisikilize clip hii ya Ngurumo, kuna kitu cha msingi utakigundua

Leta uelewa wako wewe kibibi ili tulinganishe na hao unaowaita wajinga, "Watanzania"

 
faiza, mnalikaribisha jeshi kuwa na hisia za kuutaka urais, kuitaka siasa, kuutaka ukuu and the like...ndio ujumbe mkuu wa ndiko/clip hiyo.
Utamaduni /tabia /matamanio yanajengwa!
 
Nimemsikiliza, anajifanya anajuwa kumbe hajuwi.

Ni ujinga wa Mtanzania huo.
Yaani wewe mtu mzima unajifanya punguani huelewi athari ya kuyahusisha majeshi na siasa!
Si unasema ulikuwepo mwaka 1964 Askari jeshi walipogoma Collto baracks siku hizi Lugalo; ulikiona Kisanga chake!!
Jeshi si la kulifanyia mzaha kwasababu hao mnaowanyanyasa kwa ufisadi wenu mpaka maisha yanakuwa magumu ni mama, baba, dada,kaka, wajomba wa hao Askari jeshi! Itafika mahala watawaambia nyie watawala kuwa “ kama mbwai na iwe Mbwai “!
 
Back
Top Bottom