FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Na mimi nimetumia haki yangu kusema. Au sina haki hiyo?Hapana, sivyo unavyosema
na ametumia haki yake kutoa maoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi nimetumia haki yangu kusema. Au sina haki hiyo?Hapana, sivyo unavyosema
na ametumia haki yake kutoa maoni.
SWadaktaNa mimi nimetumia haki yangu kusema. Au sina haki hiyo?
Hawa waliukana uanajeshi na hawakuwa na contacts kule.......jifunze kitu kutoka West AfricaKikwete hadi kawa Rais. Lowassa hadi kawa Waziri Mkuu. Kinana hadi kawa Makamu Mwenyekiti CCM. Makamba hadi kawa Katibu Mkuu CCM.
Marehemu Komba na wengine hadi wamekuwa Wabunge na Mawaziri. Je, kuna tatizo wamefanya? Mi nadhani mjadala huu una lengo la kuamsha mashetani yaliyolala.
Sasa unataka hayo mambo yajirudie safari hii wafanikiwe?Nilikuwepo na nnaikumbuka. Ni heri wangefanikiwa siku ile, hii nchi iendeshwe kijeshi.
Wakuwalaumu ni Waislam wawili waliozuwia tukio lile, Kitwana Kondo na Kanal Kashmir.
Kikwete mbona ni mwanajeshi na kaiendesha nchi vizuri kuliko Rais mwengine yeyote:Sasa unataka hayo mambo yajirudie safari hii wafanikiwe?
Nyie washauri wa mama Abdul mpeni onyo kuwa asicheze na sharubu za wanajeshi ni hatari!!
Kikwete ni mwanajeshi wa uniform (political commissar) sio mwanajeshi wa mapambano!!Kikwete mbona ni mwanajeshi na kaiendesha nchi vizuri kuliko Rais mwengine yeyote:
View attachment 2881887
Kweli hata ajifarague vipiA woman is always a woman
🙄🤔Wachukuwe tu, si jeshi letu, kwani la kukodi?
Tatizo nini?