Nimemsikiliza, anajifanya anajuwa kumbe hajuwi.Listen please
Mods naomba muiache kuna ujumbe mzito
View: https://www.youtube.com/watch?v=crfnMEP-jC0
Mbona kuna ujumbe mkubwa sana kwenye clip hiyo! angalia viewers......wengi tu in a short timeNimemsikiliza, anajifanya anajuw kumbe hajuwi.
Ni ujinga wa Mtanzania huo.
haya liingize jeshi kutamani kutawala! ndiyo rai yake!Nimemsikiliza, anajifanya anajuw kumbe hajuwi.
Ni ujinga wa Mtanzania huo.
Leta uelewa wako wewe kibibi ili tulinganishe na hao unaowaita wajinga, "Watanzania"Nimemsikiliza, anajifanya anajuw kumbe hajuwi.
Ni ujinga wa Mtanzania huo.
Leta uelewa wako wewe kibibi ili tulinganishe na hao unaowaita wajinga, "Watanzania"
faiza, mnalikaribisha jeshi kuwa na hisia za kuutaka urais, kuitaka siasa, kuutaka ukuu and the like...ndio ujumbe mkuu wa ndiko/clip hiyo.Tanzania tuna Adui mmoja tu, Ujinga, nyingine zote ni porojo za ujinga wetu tu
Hili la adui ujinga nimeliandika mara nyingi hapa JF kwenye posts tofauti. Kwa miaka mingi sasa huwa nauliza na kujiuliza "hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?" Kuuliza kwangu siyo kwa kukisia au kwa kebehi au kejeli, ni swali la ukweli kabisa. Kilichonisukuma kuandika haya, ni yote...www.jamiiforums.com
Wachukuwe tu, si jeshi letu, kwani la kukodi?faiza, mnalikaribisha jeshi kuwa na hisia za kuutaka urais, kuitaka siasa, kuutaka ukuu and the like...ndio ujumbe mkuu wa ndiko/clip hiyo.
Utamaduni /tabia /matamanio yanajengwa!
Bibi kizee uliwahi kuolewa kweli?Wachukuwe tu, si jeshi letu, kwani la kukodi?
Tatizo nini?
haya bwana nimekupata, lkn nina uhakika ingelisemwa kupindua wakati wa magufuli usingeliandika hivi ungekasirika sana.......Wachukuwe tu, si jeshi letu, kwani la kukodi?
Tatizo nini?
Anainadi tabia yake wakati wa magufuli/kile ambacho watu wanamtuhumu...kupoteza watu....ingelikuwa awamu ya tano kwa chuma.....angeliwamaliza/wangelimkoma.....ujumbe mbaya sanaIla makonda😌
" Mkiwaingiza kwenye siasa,hamtawachomoa ila watawachomoa nyinyi" usidharau huu ujumbe. Wewe ndiyo mtanzania mjingaNimemsikiliza, anajifanya anajuwa kumbe hajuwi.
Ni ujinga wa Mtanzania huo.
Naomba niiweke sentensi yako hii pale mwanzo...ujumbe mzito" Mkiwaingiza kwenye siasa,hamtawachomoa ila watawachomoa nyinyi" usidharau huu ujumbe. Wewe ndiyo mtanzania mjinga
Yaani wewe mtu mzima unajifanya punguani huelewi athari ya kuyahusisha majeshi na siasa!Nimemsikiliza, anajifanya anajuwa kumbe hajuwi.
Ni ujinga wa Mtanzania huo.
Either umeambiwa ukweli ama una uccm ndani yako,mwenye akili hawezi sema maneno hayoNimemsikiliza, anajifanya anajuwa kumbe hajuwi.
Ni ujinga wa Mtanzania huo.
Unazeeka Na Ujinga wako wa Ujanani.Tanzania tuna Adui mmoja tu, Ujinga, nyingine zote ni porojo za ujinga wetu tu
Hili la adui ujinga nimeliandika mara nyingi hapa JF kwenye posts tofauti. Kwa miaka mingi sasa huwa nauliza na kujiuliza "hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?" Kuuliza kwangu siyo kwa kukisia au kwa kebehi au kejeli, ni swali la ukweli kabisa. Kilichonisukuma kuandika haya, ni yote...www.jamiiforums.com