Rais Samia nakuomba umuondoe Mzee Kikwete kwenye nafasi ya Chancellor wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Rais Samia nakuomba umuondoe Mzee Kikwete kwenye nafasi ya Chancellor wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Sio kwa ubaya wala chuki na Rais Mstaafu Kikwete hapana mimi nakupenda na heshima yako ipo pale pale. Lakini Mkuu naomba uachie hiyo nafasi kwani wewe sio mtu sahihi kushika cheo kama hicho.

Toka umeteuliwa hiyo nafasi mkuu kila mtu alijua kuwa UDSM inaenda kufa na kweli chuo chetu pendwa ndiyo basi tena umekiua. Baadhi wanajua wewe ni recruiter hapo UDSM na hiyo nafasi upo nayo very strategic.

Mimi nilijua wewe na vice chancellor wako mgeachia madaraka baada ya ile video ya mwanafunzi kufanyiwa black mail na kumuonyesha akijiekeza chupa lakini hamkujali kwasababu hamna moral authority yoyote.

Mama Samia tafadhali sana mpangie Mheshimiwa Kikwete majukumu mengine naomba sana na hapo UDSM wawekwe watu ambao ni EDUCARE and EDUCERE. Tazama mwanafunzi bora amechaguliwa msanii mpiga kinanda? What a shame;

Jenerali Ulimwengu amezungumza kwa uchungu sana sema kwa nafasi yake hawezi kusema tatizo ni Kikwete hapo chuoni. Ni bora Mheshimiwa Rais ikikufaa uondoe siasa na elimu ya juu kwani vyuoni tunazalisha wajinga na wazinzi tuu tazama watoto wa filed makazini hawajui kitu.

Au ni kweli mnaanda watoto wenu wawe watawala na watoto wetu wawe watumwa? Chuo cha UDSM kimekuwa extended high school hakuna cha maana pale zaidi ya mavazi ya kipumbavu na kuzunguka zunguka changanyikeni na savey pamoja na mlimani city.

Tunaomba utuwekee watu ambao ni serious tena watu wakawaida tuu ambao sio OCCULTISTS.
Kwani JK ndiyo DVC Academic wa UDSM? JK bado yupo yupo sana, kama humtaki hamia Burundi
 
Kuna pahala Vyuo vyetu Vikuu vinafeli, TCU pia imeshindwa kuleta tija na hivyo inabidi ijitathmini uwepo wake. Watoto wa Vyuo wamekuwa Wahuni kupindukia, Ubora wa Elimu ni zero, product zao ni kichekesho mpaka unabaki kusema Heeeeeeeeee
Ndo maana wakirudi mtaani wanakaa kusubiri ajira na si kujitegemea.
 
udsm imekuwa kama shule ya kata.

Hakuna midahalo.

Hakuna ushauri

Hakuna kukosoa hata kushauri

Hata hiyo mikataba yao ilitakiwa ichambuliwe pale.
 
Tatizo la mfumo wa elimu ni kama duka la reja reja ukianza kulichezea hutajua kama ndio linapotea ila final unajikuta umebaki na bakara zikiwa tupu bila bidhaa
Mfumo wa elimu umechezewa mda mrefu sana Sasa matokeo yameanza kuonekana
 
Kikwete sio mtendaji wa UDSM yeye ni ceremonial tuuu.....Prof Anangisye ndio ana kazi sasa kujibu hoja hizo....
Pengine hajui hata kama kuna hiyo course hapo chuo 😀 😀 😀 wadili na hao maprofesa uchwaraaa waliopo chuoni kwao
 
Hoja ya Jenerali Ulimwengu ni kwa vyuo vikuu vyote na elimu ya juu na sio Udsm pekee.

Ikiwa uongozi wa Kikwete umeshusha ubora wa elimu chuo kikuu Cha Dar es salaam, hivyo vingine vimeimarika?

Kama vimeimarika basi mna haki ya kumsema J.K ila kama vimeanguka navyo, hizi lawama kwa mtu mmoja ni chuki binafsi au roho mabaya ya nyoka?

Je ubora wa mijadala, fikra tunduizi, akili bandia, suluhisho la mikwamo ya kiuchumi limeimarika kwenye vyuo vingine?

Chuo kikuu kama Udom, Mweka, Kampala University, Moshi Cooperative, Mwenge University, Stella Maris Mtwara, Teofilo Kisanji University, Mbeya science na Tekinolojia vimeimarika au ni kidato Cha kumi?

Taasisi za elimu ya juu kama IFM, TIA,AIAA, DMI, DIT,ISW, WI, NIT vimeboreka?

Kama bado ni tatizo la nchi nzima kuhusu kushuka kwa ubora wa elimu ya vyuo vikuu ? au uongozi mbovu wa Kikwete UDSM?
 
Sina uhakika na Mh Kikwete anavyo tumikia wadhifa wake wa Chancellor hapo UDSM. Nadhani yote yalio semwa ni kazi ya uongozi wa chuo sio level ya Chancellor.
Kuwa na mtu kama Mh Kikwete kuna faida sana UDSM kwa uzoefu, mtandao alionao na ushawishi alionao yote haya yanaweza kuifadi sana UDSM.
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Kwa kweli Jakaya Kikwete kafeli pakubwa panahitaji kufumuliwa pale UDSM chuo changu kabisa nimepita pale na nna degree yao moja walinipa
Walilupa pole sana hukustahili ulipewa tu. Hawa ndio wale wale wasioweza kujibeba anakuambia digirii alipewa😂😂😂
 
Sio kwa ubaya wala chuki na Rais Mstaafu Kikwete hapana mimi nakupenda na heshima yako ipo pale pale. Lakini Mkuu naomba uachie hiyo nafasi kwani wewe sio mtu sahihi kushika cheo kama hicho.

Toka umeteuliwa hiyo nafasi mkuu kila mtu alijua kuwa UDSM inaenda kufa na kweli chuo chetu pendwa ndiyo basi tena umekiua. Baadhi wanajua wewe ni recruiter hapo UDSM na hiyo nafasi upo nayo very strategic.

Mimi nilijua wewe na vice chancellor wako mgeachia madaraka baada ya ile video ya mwanafunzi kufanyiwa black mail na kumuonyesha akijiekeza chupa lakini hamkujali kwasababu hamna moral authority yoyote.

Mama Samia tafadhali sana mpangie Mheshimiwa Kikwete majukumu mengine naomba sana na hapo UDSM wawekwe watu ambao ni EDUCARE and EDUCERE. Tazama mwanafunzi bora amechaguliwa msanii mpiga kinanda? What a shame;

Jenerali Ulimwengu amezungumza kwa uchungu sana sema kwa nafasi yake hawezi kusema tatizo ni Kikwete hapo chuoni. Ni bora Mheshimiwa Rais ikikufaa uondoe siasa na elimu ya juu kwani vyuoni tunazalisha wajinga na wazinzi tuu tazama watoto wa filed makazini hawajui kitu.

Au ni kweli mnaanda watoto wenu wawe watawala na watoto wetu wawe watumwa? Chuo cha UDSM kimekuwa extended high school hakuna cha maana pale zaidi ya mavazi ya kipumbavu na kuzunguka zunguka changanyikeni na savey pamoja na mlimani city.

Tunaomba utuwekee watu ambao ni serious tena watu wakawaida tuu ambao sio OCCULTISTS.
Vipi hali ya vyuo vingine? Kama viko vizuri basi viongozi watatoka huko. Kama navyo ni vibovu, basi unakoelekeza tatizo siko.
 
Kile alichobaini na kukisema MH TWAHA JENERALI ULIMWENGU ni kitu kinachopaswa KILIHAMSHE TAIFA kama kauli ile itapita kimya basi tujue tumekwisha.

Maneno aliyoyasema Mwamba huyu katika UANDISHI wa habari ni maneno mazito yenye kuturudisha kwenye kumbukumbu nyingi za kujivunia UZALISHAJI wa vijana wengi WASOMI wenye maono makubwa kwa Taifa Lao

Je, hivi sasa tuko hivyo? TUNARIDHIKA na hali hiyo. Iko wapi ile MIDAHALO iliyokuwa ikiitishwa pale na kualika wahusika mbalimbali KUELIMISHA na kujibu HOJA.

NAKUMBUKA umaarufu mkubwa wa Marehemu MTIKILA naye alianzia pale baada ya kujenga hoja na kujibu maswali WANAFUNZI walimshangilia na kumbeba juu, juu wiki iliyofuata alikuwa pale JANGWANI wananchi wakajiuliza huyu ni nani, mpaka wanafunzi watata na wasomi wamekubali hoja zake kiasi cha kumbeba juu juu, akiwa JANGWANI aliwasha moto mkali neno GABACHOLI likazaliwa.

Marehemu DR JOHN POMBE MAGUFULI akiwa waziri katika serikali ya awamu ya 3, alipita pale chuoni na kukuta MDAHALO serikali ikiwa inashambuliwa na muendesha mdahalo akauliza kama kuna kiongozi wa serikali kwenye ule UKUMBI.

RIP MAGUFULI hakuwa mualikwa ukumbi ulikuwa umejaa, yy kasimama anachungulia kama wanafunzi wengine lkn DIRA ikamuulika na kumpeleka mbele ya UKUMBI na kujibu HOJA.

RIP MAGUFULI alijibu kila HOJA kwa ufasaha mkubwa mpaka wanafunzi walimshangilia mno, mwisho wakatamka wao waliamini WANASIASA ni waongowaongo lkn kumbe wana vitu vikubwa kwa maendeleo ya nchi.

Hiyo ni mifano midogo ya kutaka TUFUFUE chuo chetu, kiwe moto WATU TUNAO, CHUO KIPO, WANAFUNZI WAPO !!
Alale salama huyu mwamba. Moja ya watu wa kulaumiwa sana kwa kuifikisha yudii na vyuo vingine vya umma hapa vilipo ni huyu mwamba. Kwa sababu hakupenda kukosolewa, wakati wake wataaluma ni either aliwapa rushwa ya uteuzi ama aliwashughulikia kwa kutumia Dola wote waliotoa mawazo tofauti na yeye.
 
Sio kwa ubaya wala chuki na Rais Mstaafu Kikwete hapana mimi nakupenda na heshima yako ipo pale pale. Lakini Mkuu naomba uachie hiyo nafasi kwani wewe sio mtu sahihi kushika cheo kama hicho.

Toka umeteuliwa hiyo nafasi mkuu kila mtu alijua kuwa UDSM inaenda kufa na kweli chuo chetu pendwa ndiyo basi tena umekiua. Baadhi wanajua wewe ni recruiter hapo UDSM na hiyo nafasi upo nayo very strategic.

Mimi nilijua wewe na vice chancellor wako mgeachia madaraka baada ya ile video ya mwanafunzi kufanyiwa black mail na kumuonyesha akijiekeza chupa lakini hamkujali kwasababu hamna moral authority yoyote.

Mama Samia tafadhali sana mpangie Mheshimiwa Kikwete majukumu mengine naomba sana na hapo UDSM wawekwe watu ambao ni EDUCARE and EDUCERE. Tazama mwanafunzi bora amechaguliwa msanii mpiga kinanda? What a shame;

Jenerali Ulimwengu amezungumza kwa uchungu sana sema kwa nafasi yake hawezi kusema tatizo ni Kikwete hapo chuoni. Ni bora Mheshimiwa Rais ikikufaa uondoe siasa na elimu ya juu kwani vyuoni tunazalisha wajinga na wazinzi tuu tazama watoto wa filed makazini hawajui kitu.

Au ni kweli mnaanda watoto wenu wawe watawala na watoto wetu wawe watumwa? Chuo cha UDSM kimekuwa extended high school hakuna cha maana pale zaidi ya mavazi ya kipumbavu na kuzunguka zunguka changanyikeni na savey pamoja na mlimani city.

Tunaomba utuwekee watu ambao ni serious tena watu wakawaida tuu ambao sio OCCULTISTS.
Kumuondoa italigharimu taifa pesa nyingi sana kuliko akiachwa, gharama zitatokana na kuweka matangazo nchi zote duniani ili aweze kujua kuwa ameondolewa, lile tangazo la popote alipo litamvunjia heshima, najua unadhani yuko Msoga kumbe huenda yuko ueskimoni akiangalia mazingira.
 
Sio kwa ubaya wala chuki na Rais Mstaafu Kikwete hapana mimi nakupenda na heshima yako ipo pale pale. Lakini Mkuu naomba uachie hiyo nafasi kwani wewe sio mtu sahihi kushika cheo kama hicho.

Toka umeteuliwa hiyo nafasi mkuu kila mtu alijua kuwa UDSM inaenda kufa na kweli chuo chetu pendwa ndiyo basi tena umekiua. Baadhi wanajua wewe ni recruiter hapo UDSM na hiyo nafasi upo nayo very strategic.

Mimi nilijua wewe na vice chancellor wako mgeachia madaraka baada ya ile video ya mwanafunzi kufanyiwa black mail na kumuonyesha akijiekeza chupa lakini hamkujali kwasababu hamna moral authority yoyote.

Mama Samia tafadhali sana mpangie Mheshimiwa Kikwete majukumu mengine naomba sana na hapo UDSM wawekwe watu ambao ni EDUCARE and EDUCERE. Tazama mwanafunzi bora amechaguliwa msanii mpiga kinanda? What a shame;

Jenerali Ulimwengu amezungumza kwa uchungu sana sema kwa nafasi yake hawezi kusema tatizo ni Kikwete hapo chuoni. Ni bora Mheshimiwa Rais ikikufaa uondoe siasa na elimu ya juu kwani vyuoni tunazalisha wajinga na wazinzi tuu tazama watoto wa filed makazini hawajui kitu.

Au ni kweli mnaanda watoto wenu wawe watawala na watoto wetu wawe watumwa? Chuo cha UDSM kimekuwa extended high school hakuna cha maana pale zaidi ya mavazi ya kipumbavu na kuzunguka zunguka changanyikeni na savey pamoja na mlimani city.

Tunaomba utuwekee watu ambao ni serious tena watu wakawaida tuu ambao sio OCCULTISTS.
Kumuondoa italigharimu taifa pesa nyingi sana kuliko akiachwa, gharama zitatokana na kuweka matangazo nchi zote duniani ili aweze kujua kuwa ameondolewa, lile tangazo la popote alipo litamvunjia heshima, najua unadhani yuko Msoga kumbe huenda yuko ueskimoni akiangalia mazingira.
 
Sio kwa ubaya wala chuki na Rais Mstaafu Kikwete hapana mimi nakupenda na heshima yako ipo pale pale. Lakini Mkuu naomba uachie hiyo nafasi kwani wewe sio mtu sahihi kushika cheo kama hicho.

Toka umeteuliwa hiyo nafasi mkuu kila mtu alijua kuwa UDSM inaenda kufa na kweli chuo chetu pendwa ndiyo basi tena umekiua. Baadhi wanajua wewe ni recruiter hapo UDSM na hiyo nafasi upo nayo very strategic.

Mimi nilijua wewe na vice chancellor wako mgeachia madaraka baada ya ile video ya mwanafunzi kufanyiwa black mail na kumuonyesha akijiekeza chupa lakini hamkujali kwasababu hamna moral authority yoyote.

Mama Samia tafadhali sana mpangie Mheshimiwa Kikwete majukumu mengine naomba sana na hapo UDSM wawekwe watu ambao ni EDUCARE and EDUCERE. Tazama mwanafunzi bora amechaguliwa msanii mpiga kinanda? What a shame;

Jenerali Ulimwengu amezungumza kwa uchungu sana sema kwa nafasi yake hawezi kusema tatizo ni Kikwete hapo chuoni. Ni bora Mheshimiwa Rais ikikufaa uondoe siasa na elimu ya juu kwani vyuoni tunazalisha wajinga na wazinzi tuu tazama watoto wa filed makazini hawajui kitu.

Au ni kweli mnaanda watoto wenu wawe watawala na watoto wetu wawe watumwa? Chuo cha UDSM kimekuwa extended high school hakuna cha maana pale zaidi ya mavazi ya kipumbavu na kuzunguka zunguka changanyikeni na savey pamoja na mlimani city.

Tunaomba utuwekee watu ambao ni serious tena watu wakawaida tuu ambao sio OCCULTISTS.
Chuo kimekuwa cha kihuni tu hivi sasa
 
Sio kwa ubaya wala chuki na Rais Mstaafu Kikwete hapana mimi nakupenda na heshima yako ipo pale pale. Lakini Mkuu naomba uachie hiyo nafasi kwani wewe sio mtu sahihi kushika cheo kama hicho.

Toka umeteuliwa hiyo nafasi mkuu kila mtu alijua kuwa UDSM inaenda kufa na kweli chuo chetu pendwa ndiyo basi tena umekiua. Baadhi wanajua wewe ni recruiter hapo UDSM na hiyo nafasi upo nayo very strategic.

Mimi nilijua wewe na vice chancellor wako mgeachia madaraka baada ya ile video ya mwanafunzi kufanyiwa black mail na kumuonyesha akijiekeza chupa lakini hamkujali kwasababu hamna moral authority yoyote.

Mama Samia tafadhali sana mpangie Mheshimiwa Kikwete majukumu mengine naomba sana na hapo UDSM wawekwe watu ambao ni EDUCARE and EDUCERE. Tazama mwanafunzi bora amechaguliwa msanii mpiga kinanda? What a shame;

Jenerali Ulimwengu amezungumza kwa uchungu sana sema kwa nafasi yake hawezi kusema tatizo ni Kikwete hapo chuoni. Ni bora Mheshimiwa Rais ikikufaa uondoe siasa na elimu ya juu kwani vyuoni tunazalisha wajinga na wazinzi tuu tazama watoto wa filed makazini hawajui kitu.

Au ni kweli mnaanda watoto wenu wawe watawala na watoto wetu wawe watumwa? Chuo cha UDSM kimekuwa extended high school hakuna cha maana pale zaidi ya mavazi ya kipumbavu na kuzunguka zunguka changanyikeni na savey pamoja na mlimani city.

Tunaomba utuwekee watu ambao ni serious tena watu wakawaida tuu ambao sio OCCULTISTS.
Chuo kimekuwa cha kihuni tu hivi sasa
 
Huu uzi kila mtu ni product ya UDSM
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Subirini mletewe wakina zuchu na wakata mauno wengine mjirushe nao

Ova
 
wasomi wetu wa siku hizi haswa UD wengi wao ni mbumbuu ndio maana wanafeli sana mitihani, wengi wao wanatafuta digirii za kuchapa uhuni...........na ukahaba. Hakuna wasomi pale ovyo kabisa
WanafunI huko sahvi muda wote wanajadili habari za udaku...

Ova
 
Back
Top Bottom