Je Rais wetu mhe. Mama Samia ataweza kweli kuyafanya anayotaka kuyafanya? Let us wait and see...Mama aachane na mitandao na asithubutu kuishi kwenye kivuli cha Jiwe mpuuzi.
Tumia vipawa vyako, simamia unachokiamini ila hao wa mitandaoni wakivuka mipaka watie adabu Rais ni wewe tuu hakuna wa kukupangia
Hata Jiwe tulitukana Sana
Kwa nini unakua na hoja mgando? Mambo ya kutufanya tuishi kijima tumeyachoka. Acha mama achape kazi. Kila mtu na sera zake. Kama wewe ulinufaika na sera za ngunguli, zimeshapita hii ni awamu nyingine.Huyu atatupeleka sehemu ambayo hatutakaa tuinuke tena.
ulitaka izo safar aende kwa miguu au kwa gari ...na je hizo safar kaenda kwa ajili yake au nchi .naona una wivu wa kike uliopitilizakabisa,kashapanda ndege km nyingi kuliko miaka yote jpm amehudumu hapo.
Ni vizuri umekubali maafisa wengi wa TRA NI WEZI!Ndio maana na kwambia tatizo ni mifumo haipo, lakini tax officer akija offisini kwako kukagua anajua umepita wapi na umekwepa wapi , sasa anachofanya yeye au wewe ni kumwambia hii 100m badala ya kwenda serikakini tugawane wewe upate na yeye apate, sasa hapi ataacha kujenga.
Na issue ya withholding tax ni hivyo hivyo mfumo haujakamilika au watu wanafanya makusudi kwa faida zao.
Sasa hapo effective leader or efficient one atapigia kelele mifumo itengenezwe ili hayo mapungufu yasiwepo .
Basi utakuwa na akili fupi sana .Nimesoma comments za watu tofauti humu baadhi wakiamini mabomba yatamwaga maziwa
Wizi unaanzia na wafanya biashara kutaka kukwepa kodi na watu wa TRA kushirikiana nao kukamilisha hilo jambo , ukizungumzia wizi , utakuta ni sehemu nyingi kuanzia kwa wana siasa kulea mambo hayoNi vizuri umekubali maafisa wengi wa TRA NI WEZI!
Upo mama D???Umeandikaaaaa
Haya polee
That's the wrong notion.Wizi unaanzia na wafanya biashara kutaka kukwepa kodi na watu wa TRA kushirikiana nao kukamilisha hilo jambo , ukizungumzia wizi , utakuta ni sehemu nyingi kuanzia kwa wana siasa kulea mambo hayo
Hapana hawatengenezi za kupikaThat's the wrong notion.
Ni sawa na kusema wafanyakazi wote wa TRA ni wezi.
Ila ni ukweli usiopingika kuwa wafanyakazi wa TRA bila kusema Neno, wanatengeneza Audits za kupika ili ku solicit rushwa.
Hayo mambo yameleta faida gani kwa nchi?Mama kwa miezi miwili hii amefanya mambo mengi yaliyomshinda JPM kwa miaka mitano.
Nipo 1954Upo mama D???
Rudini Kijijini mkachunge Mifugo Mama Samia hataki mchezo na MatagaNipo 1954
Habari ya siku tele?
SafiNipo 1954
Habari ya siku tele?
Meko hakusafiri si kwasababu hakupenda,tatizo ung'eng'e hajui,kwakweli tulipata raisi wa hovyo sanakabisa,kashapanda ndege km nyingi kuliko miaka yote jpm amehudumu hapo.
Rudini Kijijini mkachunge Mifugo Mama Samia hataki mchezo na Mataga
Polepole kafukuzwa sasa utafanya kazi gani au utaanza kudanga?We nawe unademkia ngoma usoijua
Hebu tuliza mzuka
Kama hakuhamia Kenya wakati wa utawala dhalimu wa marehemu, ahame sahizi kwa sababu gani?Wewe unayeichukia CCM na kuendelea kuishi nayo ndio unasubiri kutapiwa
Hamia Kenya
Polepole kafukuzwa sasa utafanya kazi gani au utaanza kudanga?