residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Mkuu August ,kongole kwa mchango wako. Tanzania ni yetu sote,na Mh. Rais Samia S.H ni rais wetu sote. Tumshauri vyema ili nnchi iende vyema.Mashamba makubwa yamilikiwe na wa Tz na yale yenye kuhitaji foreign input basi yawe asilimia 51% wa tz .
Na kwenye viwanda iwepo component ya local kuwemo au shirika la umma liwe mbia
Awamu imebadilika sasa wapo wanaoshindwa kukubaliana na hali halisi.Ni akina nani wanaopoteza muda ndugu yangu Phillipo ambae sijakuona kitambo sana!!!
Kabisa mkuu, hasa sisi wana forex mama atakuwa ametupa zawadi murua kabisaAsante
Kutatua tatizo la ajira Paypal Tanzania iruhusiwe kama ilivyo kenya
Tanzania kumekuwa na tatizo kubwa la ajira. Njia moja ya kuondoa hilo tatizo ni kwa watu kutafuta kazi za kufanya online, yaani mitandaoni. Kazi zipo nyingi. Mfano, waweza pata kazi ya kutafsiri website ya kampuni au mtu kwa Kiswahili au kutafsiri kitabu. Unafanya online malipo yanakuwa kwa njia ya PayPal hata kwenye simu yako ya mkononi, hata mwajiri au mnunuzi awe Ulaya au Marekani
Pia, mtu waweza chora hata katuni, ramani za nyumba n.k ukauza online. Au, ukajitungia wimbo wako wa kienyeji binafsi nyumbani kwako bila hata kwenda studio, ukauweka kwa mfumo wa video au audio ukauuza online kwenye maduka kibao ya online.
Tatizo kwa Tanzania haijaruhusu matumizi ya kupokea pesa kwa njia ya PayPal ambapo mtu aki-click tu kununua bidhaa yako, pesa yako inaingia chapchap kwenye PayPal account yako.
Kenya walisharuhusu; vijana wengi hushinda mitandaoni wakitengeneza pesa wakiuza bidhaa zao, viwe vichekesho, michezo ya kuigiza n.k ambavyo huviuza online. Wanaweka clip zao kwenye maduka ya online mtu ananunua anamlipa online kupitia Paypal.
Kuna shughuli nyingi za ujasiliamali online. Kikwazo kwa nchi yetu ni upataji wa pesa wa kazi yako au mauzo yako online. Bado tuko enzi za mawe tukiamini minjia ya kizamani ya kupokea hela. Na hivyo kuifanya nchi yetu kuwa ni ya kulipa zaidi pesa za kigeni na si ya kupokea pesa za kigeni.
Serikali ikiruhusu upokeaji pesa kupitia PayPal itafanya vijana wengi waingie mitandaoni kutafuta pesa.
Biashara za online zaweza kufungua Watanzania wengi kupata pesa toka nje, sababu ni juhudi ya mtu binafs na ubunifu wake i tu auze nini. Waweza kujirekodi unarukaruka kama ngedere ukiimba hovyohovyo tu bila hata vyombo halafu ukaita wimbo Crazy Monkey Song ukauweka online na ukauza. Wapo watu wana pesa wanapenda vituko wananunua.
Taasisi za elimu nazo ziweke kwenye mitaala ujasiliamali wa online wasibakie tu kufundisha ujasiriamali wa kuzurura tu juani wa kimachinga.
Tumepiga kelele mno humu
Source:Kupunguza tatizo la ajira serikali iruhusu huduma ya kupokea pesa kupitia PayPal
📌📌Huyu atatupeleka sehemu ambayo hatutakaa tuinuke tena.
Kuboost Uchumi kwa hali ya Corona hii huwezi fanikiwaKuboost uchumi kutoka 4.9% lazima afanye hivyo anavyofanya la sivyo hali itakuwa mbaya, watu watashindwa kufanya purchasing ya product zinazozalishwa na hivyo kuathiri viwanda na uchumi kwa ujumla
Sera za mwendazake zilikuwa ngumu sana kutoboa maana zilikuwa za kukusanya tu hii inaitwa Contractionary fiscal policy mama bila shaka atatembea na expansionary
Jamaa unachanganya mafile, nahisi huna mb umeingia jf kwa kutumia freebasics, kwenye clip maza kazungumza kufungua nchi(free market) hayo ni mambo ya uchumi sio siasa babu, maza hajaongelea mambo ya chadema au ccm wala covid19 Sawa? Kama uchumi umeletwa kwenye jukwaa sio kosa letu, tujadili contents zilizomo hata kama zingefunguliwa jukwaa la michezo.uchumi unaujadili hapa jukwaa la siasa!!!!na hutaki siasa zijadiliwe hapa.unatumia pombe zilio expire???
kama hujui kupigwa na ccm kukoje,huna uwezo wa kujua wanapokupa faida ccm.
Kwani mlipokua na Nduli Magufuli mkawa mnatufanyia mateso ya kila aina , kutesa na kuua watanzania , mlijiuliza hili.?!kwani wasukuma wanaishi burundi???
au ndio hujanjwa chai mpaka saa hizi!!!
Amani, haki, furaha, uhuru, hizi sio tunu za taifa? JPM was never better on any of them.Kikubwa tu aangalie tunu za taifa
JPM was better on that, siku jamii ikigundua anatupeleka shimoni
Epushia mbali, mama atatukanwa sana
Kwa kweli tumeshuhudia Vi-wonder juu ya Vi-wonder.2015-2020 nchi ilikuwa kwenye Drama Era
1. Vichwa vya train vyaokotwa bandarini
2. MO aokotwa na Dereva Tax
3. Mashangazi wa mtwara
4. Noah kwa kila mtanzania. Tumeibiwa mno!!!
mliteswa na kuuwawa na bado uko unanenepa hapa!!!!Kwani mlipokua na Nduli Magufuli mkawa mnatufanyia mateso ya kila aina , kutesa na kuua watanzania , mlijiuliza hili.?!
Kwanini unahisi na kukariri, tufanye kazi na tuwashirikishe wawekezaji wenye mitaji mikubwa tukijifungia ndani hatuwezi kufika popote.Kama hatukuwahi kuinuka, basi tutakwenda chini zaidi.
Maana anayoyafanya leo, JK aliyafanya miaka 10 na nchi ikawa ya hovyo kabisa.
Inawezekana mkuu maana kiasi sasa hivi masharti yameanza kulegezwa hasa kwa upatikanaji wa chanjo kuliko awali, lakini la pili kuna sheria ambazo zilikuwa kikwazo sana kwa wawekezaji plus uncertainity ya viongozi hivyo wengi hawakuwa wanajua wakiwekeza kesho itakuaje na mengineyo haya yalipelekea kwa kiasi kushusha uwekezaji na capital outflow kwa mama kuanza kuonyesha matumaini let's hope soKuboost Uchumi kwa hali ya Corona hii huwezi fanikiwa
... kama tulivyoimbishwa na Jiwe!Mungu atupe uhai, tutakuja imba wimbo mmoja siku hizo.
safari za ndege zinapimwa kwa masaa.safari za nje kafanya mbili tu. tyr mnasema nyingi?
mna comment kwa hisia kiliko ihalisia
Hapana Phillipo,Awamu imebadilika sasa wapo wanaoshindwa kukubaliana na hali halisi.
labda wa mali.Umasikini unaonekana umekita mizizi kwenu.
Tulia wewe fumbua macho zama za ujima zishaenda zake kaa kwa kutulia tujenge nchi kisayansiHuyu atatupeleka sehemu ambayo hatutakaa tuinuke tena.