KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Za wakenya ni kama hilo hilo boksi wanalonunua TRC mkuu, hawana lolote la kutucheka juu yake.Eti! Na wakati hizi treni tunanunua 4 show! Wakinunua mbaya, sijui tutaweka wapi sura zetu mbele ya wakenya!
Kwani mna dau gani?Ingawa katika Hali ya kawaida hii ya kwetu tunayotarajia kununua imekaa vibaya kwa kweli. View attachment 1848552View attachment 1848553View attachment 1848554
Sent using Jamii Forums mobile app
Nacho jua mimi ni kwamba Bombadier Q400 pamoja na kuwa zilikuwa na proplers, mashirika mengi ya ndege walikuwa na ndege zile. Faida ya zile ndege ni kwamba katika conditions tulizo kuwa nazo wakati ule wa viwanja vya ndege, Bombadier Q400 zilikuwa zimetengenezwa kwa madhumuni hayo.Lkn Mzee alizinunua bombardier akina Zito walimkosoa kuwa ni ndege ambazo zishapitwa na wakati sana na kweli naskia zilikuwa zinakorofisha kila siku...
Ok let us say mama ndo kanunua basi awe makini isiwe ikawa amewatuma wahuni tu watu wa dili wamechikichia hela ndo kutuletea hili kontena na reli ya kisasa!!![emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Eeh! Nadhani cku hiyo itafanywa siku ya mapumziko (national holiday) huko Kenya! πππZa wakenya ni kama hilo hilo boksi wanalonunua TRC mkuu, hawana lolote la kutucheka juu yake.
Watafurahi tu kwamba sisi hatukuweza kupata nzuri zaidi.
SUKUMA GANG ni majitu majinga sana.Hiki kizazi kimejaa watu wapumbavu sana. Hiyo tender ilipita wakati wa Magufuli na mnataka kumlaumu Rais wa sasa ili mfiche madhambi ya mungu wenu aliyekufa kwa Covid.
Tafuteni lini hiyo tender ilikuwa awarded kwa hao Hyundai ndio muelewe.
ZaHapa umenikumbsha zile 'expansion joints'
160 km/h kwa kuanzia zinatosha kwa watanzania. 250 km/h watanzania wataogopa kusafiri nazo. Wataanza kutapika kwenye treni nzima.Eti km 160/hour yaani wakati zipo za 250 km/hour
Hapa kuna upigaji hapa yatakuwa kama Yale ya mwendokasi siku moja kazi siku ya pili garage!!
Really? Are you serious? π€£π€£π€£Mkuu nadhani utakuwa umeogopa tu hapo mbele, mfuniko haujafungwa hapo ukifungwa utaipenda sana na hizo nyaya hazitaonekana.
Hiyo mbona nzuri
Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!
Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.
Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?
Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?
Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.
That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?
Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?
Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?
Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.
Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!
Hyundai Rotem wins contract to deliver trains to Tanzania - Fuentitech
The 97 cars operate at a top speed of 160km / hr. Credit: HYUNDAI ROTEM COMPANY. South Korean-based company Hyundai Rotem has won a $ 295.65 million (335.4 billion won) contract from the Tanzania Railways Limited (TRC) to deliver eco-friendly rail vehicles. Under the contract, TRC will receive $...fuentitech.com
Iko siku pengine utafanikiwa. Usikate tamaa. Utakuja kuwa wa kwanza.Hii I wish ije niwe wa kwanza kuitumia
Kisa zina rangi ya Yanga ndio maana ukasema ni mbaya?
Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!
Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.
Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?
Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?
Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.
That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?
Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?
Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?
Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.
Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!
Hyundai Rotem wins contract to deliver trains to Tanzania - Fuentitech
The 97 cars operate at a top speed of 160km / hr. Credit: HYUNDAI ROTEM COMPANY. South Korean-based company Hyundai Rotem has won a $ 295.65 million (335.4 billion won) contract from the Tanzania Railways Limited (TRC) to deliver eco-friendly rail vehicles. Under the contract, TRC will receive $...fuentitech.com
Mlisema haiwezekani
Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!
Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.
Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?
Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?
Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.
That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?
Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?
Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?
Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.
Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!
Hyundai Rotem wins contract to deliver trains to Tanzania - Fuentitech
The 97 cars operate at a top speed of 160km / hr. Credit: HYUNDAI ROTEM COMPANY. South Korean-based company Hyundai Rotem has won a $ 295.65 million (335.4 billion won) contract from the Tanzania Railways Limited (TRC) to deliver eco-friendly rail vehicles. Under the contract, TRC will receive $...fuentitech.com
Si hiyo picha umeiona manufacturer aliyo ibandika? Wahusika wanapaswa kutusibitishia kwamba sio hiyo. Bila hilo sisi hatuwezi jua.Shida wa Tz mna viherehere mnoooo nani kwan kawaambia izi ndio zenyewe ?
Labda tutakachoendelea kuwalingia ni kwamba za kwao ni za 'diesel' huku yetu ikiwa ni ya umeme, na ikienda kasi zaidi km 160 kwa saa kuliko ya kwao!Eeh! Nadhani cku hiyo itafanywa siku ya mapumziko (national holiday) huko Kenya! πππ
Kwa design ya Station yetu ya Tanzanite na ile ya Morogoro so far, tuache masihala vilabuni. Hiyo treni haiendani kabisaa na mandhali yake.Muanzisha mada ni sawa na baba yako kasema anataka kunua gari . Mshahara wa dingi unajua ni lakin nane kwa mwezi. Halafu unaonyeshwa gari anayotaka kununua ni IST, wewe unaanza unalalamika kwanini hakununua Royce Royce Phantom. π. Pengine hiyo dizaini wewe unadhani ni bora ina gharama zaidi, lazima ujipime kwa saizi yako. Huwezi kujenga nyumba ya milioni 200 na ukaweka fenicha za m 200 halafu ukaanza ukapangisha hiyo nyumba kwa laki sita kwa mwezi, wakati ungetumia m 100 na bado ukapata hiyo laki sita.
Kwa Bullet treni inawezekana hiyo reli yetu ikawa kweli haijawa well equipt. Lakini sio kwa High speed treni za 250km/h. Treni za mwendo huu ile reli yetu inaitika bila matatizo.nadhani ina tegemea na kiwango cha ubora wa reli ndio kina panga speed hizo za aina ya nyoka ni bullet train hizo hatuna uwezo nazo na ni nchi chache sana wanazo!
Jamaa hayuko Serious kwa kweli si tuliambiwa ni umeme kwenda mbele[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu acha masihala bwana. Mambo ya mfuta yanakujaje?
Mwee! Wakileta treni zenye sura mbaya, wananchi watakosa mzuka wa kuzipanda. Ni bora walete chache lakini ziwe 'kisu'.Labda tutakachoendelea kuwalingia ni kwamba za kwao ni za 'diesel' huku yetu ikiwa ni ya umeme, na ikienda kasi zaidi km 160 kwa saa kuliko ya kwao!
Bado tutakuwa na ubavu kidogo wa kuwazodoa.
Hata kama. Hiyo sio treni kabisa ya masafa marefu kwa karne hii ya 21. Karne hii ya digital era nasi tuna taka tusafiri na vitu vya uhakika. Na sio unasafiri na chombo ambacho ukifika mwisho wa safari huko hoi kwa malele na kadhalika. No hatuwezi kukubali tuburuzwe hivyo!Zina nafuu kuliko zile na Jirani yetu wa kaskazini
No way. Basi wewe hukutambua taste ya Hayati Magufuli! Hayati Magufuli alikuwa anapenda vitu vizuri!Acheni kupotosha , hii mikataba ilishaingiwa toka awamu wa tano,