Maneno Meier
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 2,467
- 1,697
- Thread starter
- #141
Hii sio treni ya masafa marefu na ya High speed. Hii treni ni ya mitaani mjini kama tram.Hii nayo ni hyundai rotem..View attachment 1848748
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sio treni ya masafa marefu na ya High speed. Hii treni ni ya mitaani mjini kama tram.Hii nayo ni hyundai rotem..View attachment 1848748
Ingawa katika Hali ya kawaida hii ya kwetu tunayotarajia kununua imekaa vibaya kwa kweli. View attachment 1848552View attachment 1848553View attachment 1848554
Sent using Jamii Forums mobile app
This is itMm nadhani treni inategemea na reli yake, labla hiyo itakayoletwa ndio inaendana na reli yetu
Hahahahhah mkuu unazingua sana 😂😂😂😂😂😂😂Sasa mkuu utafanyaje Kama serikali umeamua sikiliza watu primitive,kwamba badala ya kwenda mbele twaludi nyuma,twende na Bata mzinga
Ng’ombe akivuka mtaokota vipande tu maana ile itampasua! Hizo zinaitwa bullet trains mkuu ni hatari sanaMkuu kwa speed ya 350km/hr utaweza ku operate hiyo treni kwenye hii reli yetu ya SGR? au kuna namna njia yake inatengenezwa ili kuepusha maafa kwa raia na mifugo, maana ng'ombe kuvuka reli ni jambo la kawaida sana huku kijijini kwetu.....
Hapana MKUU utafanyaje Sasa , twende na Bata Mzinga, kitu Dunia ya kwanza Yani😃Hahahahhah mkuu unazingua sana 😂😂😂😂😂😂😂
Hawazitaki, wakati wananchi wanaumia na mradi wa reli, bora tuumie ila basi maumivu yaende raha, hawataki Sasa.Ng’ombe akivuka mtaokota vipande tu maana ile itampasua! Hizo zinaitwa bullet trains mkuu ni hatari sana
Wanataka treni za bata mzinga hizi 😅😝😝😝😂😂😂😂Hawazitaki, wakati wananchi wanaumia na mradi wa reli, bora tuumie ila basi maumivu yaende raha, hawataki Sasa.
Snake [emoji581] iko gud.Ingawa katika Hali ya kawaida hii ya kwetu tunayotarajia kununua imekaa vibaya kwa kweli. View attachment 1848552View attachment 1848553View attachment 1848554
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahaaa mkuu black sniper kwamba waamuzi ni sisi wana jamiiforums...Ni eco-friendly na ni nzuri
Muonekano wake sio mzuri lakini ziko vizuri
Kampuni ni maarufu na ni kubwa hata [emoji631] wana kitengo huko
Siemens walisemekana wanataka kununua hii kampuni ila ikakanushwa
Train zao wameuza sehemu nyingi duniani ikiwamo Australia, turkey na kwingine
Kama vipi zikija tujifunzie hizo ili tutoe copy na bora zaidi
Hizi ni baadhi za trains zao ila tuwaambie watume hizo za juu au mnasemaje maana maamuzi ni sisi tuliomo humu View attachment 1848745
hahahahaaa mkuu black sniper kwamba waamuzi ni sisi wana jamiiforums...
hahaahaha tena anasema "rais samia usituchezee akili hatutokuvumilia!" JF idumu milele..Sasa nisemeje maana kila kitu wataalamu na waamuzi wa mwisho utafikiri wamo humu [emoji23][emoji23]
Imagine mtu anampa Amri Rais
hahaahaha tena anasema "rais samia usituchezee akili hatutokuvumilia!" JF idumu milele..
Wewe usiye na "kiherehere" tuonyeshe "zenyewe" ni zipi?Shida wa Tz mna viherehere mnoooo nani kwan kawaambia izi ndio zenyewe ?
Umeongea kitalam...hivi kulikua hakuna uwezekano Ile reli iliyokuwepo ikaongezwa kua sgr kuliko kilichofanyika kujenga mpya?Wanakupa kile kinachoendana na uwezo wako wa kiuchumi. Tube train haiwezi kutumia reli ya 1.435 M hii ni kwa ajili ya Boxcab (Diesel/Electric Locomotives) tu na ndio itakayonunuliwa na TRC. Tube trains kwa Afrika bado tunasubiri sana.