Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

Lkn Mzee alizinunua bombardier akina Zito walimkosoa kuwa ni ndege ambazo zishapitwa na wakati sana na kweli naskia zilikuwa zinakorofisha kila siku...

Ok let us say mama ndo kanunua basi awe makini isiwe ikawa amewatuma wahuni tu watu wa dili wamechikichia hela ndo kutuletea hili kontena na reli ya kisasa!!![emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Nacho jua mimi ni kwamba Bombadier Q400 pamoja na kuwa zilikuwa na proplers, mashirika mengi ya ndege walikuwa na ndege zile. Faida ya zile ndege ni kwamba katika conditions tulizo kuwa nazo wakati ule wa viwanja vya ndege, Bombadier Q400 zilikuwa zimetengenezwa kwa madhumuni hayo.

Zitto kibaraka yule atajuaje mambo ya technic. Hata mambo ya uchumi yennyewe hajui. Taarifa nyingi anazipata kwa kusoma magazeti na vitabu ambavyo vimepitwa na wakati. Kwa kifupi hajui kitu na wala hana uelewa wowote wa technic.

Inawezekana. Lakini mtu wa kumbana hapa ni Mkurugenzi wa TRC Mh. Kadogosa. Yeye atakuwa anajua fika nini kinaendelea kwenye hiyo zabuni.
 
Hapa umenikumbsha zile 'expansion joints'
Za
Eti km 160/hour yaani wakati zipo za 250 km/hour

Hapa kuna upigaji hapa yatakuwa kama Yale ya mwendokasi siku moja kazi siku ya pili garage!!
160 km/h kwa kuanzia zinatosha kwa watanzania. 250 km/h watanzania wataogopa kusafiri nazo. Wataanza kutapika kwenye treni nzima.
 

Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!

Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.

Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?

Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?

Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.

That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?

Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?

Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?

Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.

Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!

Hiyo mbona nzuri
 

Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!

Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.

Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?

Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?

Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.

That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?

Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?

Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?

Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.

Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!

Kisa zina rangi ya Yanga ndio maana ukasema ni mbaya?
Siku zote jikune pale unapojifikia mkuu
 

Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!

Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.

Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?

Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?

Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.

That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?

Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?

Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?

Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.

Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!

Mlisema haiwezekani
 
Mama Raisi Samia zimeibuka lawama mitandaoni uu ya aina ya treni inayodaiwa kuwa ndio serikali ya Tanzania imeiagiza.

Picha ya treni hiyo inasambaa mitandaoni huku serikali yako ikilaumiwa na baadhi ya watu kunnua treni zenye muonekano wa kizamani(hazina mvuto kulinganisha na hizi za kisasa).

Binafsi sitaki kuamini serikali yako iliyoingia madarakani miezi michache iliopita, ndio inahusika na manunuzi haya kama kweli yapo, hivyo nakushauri utoke hadharani na uwaeleze watanzania ukweli.

Wale wale wanapinga Katiba Mpya na uwazi wa mikataba, ndio wamekuwa wa kwanza kulalamika.

MATGA, hasa SUKUMA GANG, ni Corona virus wenye umbo la kibinadamu .
 
Muanzisha mada ni sawa na baba yako kasema anataka kunua gari . Mshahara wa dingi unajua ni lakin nane kwa mwezi. Halafu unaonyeshwa gari anayotaka kununua ni IST, wewe unaanza unalalamika kwanini hakununua Royce Royce Phantom. 😃. Pengine hiyo dizaini wewe unadhani ni bora ina gharama zaidi, lazima ujipime kwa saizi yako. Huwezi kujenga nyumba ya milioni 200 na ukaweka fenicha za m 200 halafu ukaanza ukapangisha hiyo nyumba kwa laki sita kwa mwezi, wakati ungetumia m 100 na bado ukapata hiyo laki sita.
Kwa design ya Station yetu ya Tanzanite na ile ya Morogoro so far, tuache masihala vilabuni. Hiyo treni haiendani kabisaa na mandhali yake.
 
nadhani ina tegemea na kiwango cha ubora wa reli ndio kina panga speed hizo za aina ya nyoka ni bullet train hizo hatuna uwezo nazo na ni nchi chache sana wanazo!
Kwa Bullet treni inawezekana hiyo reli yetu ikawa kweli haijawa well equipt. Lakini sio kwa High speed treni za 250km/h. Treni za mwendo huu ile reli yetu inaitika bila matatizo.
 
Labda tutakachoendelea kuwalingia ni kwamba za kwao ni za 'diesel' huku yetu ikiwa ni ya umeme, na ikienda kasi zaidi km 160 kwa saa kuliko ya kwao!

Bado tutakuwa na ubavu kidogo wa kuwazodoa.
Mwee! Wakileta treni zenye sura mbaya, wananchi watakosa mzuka wa kuzipanda. Ni bora walete chache lakini ziwe 'kisu'.
Treni watakazo nunua wahakikishe zimekaa kama kichwa cha panya. Yani ziwe na mdomo mrefu kuleta muonekano wa Bullet train. Wakileta hizi za hovyo hovyo, kwa jinsi wabongo wanavyojua kuongea, wenyewe watazirudisha huko Korea.
images.png
 
Zina nafuu kuliko zile na Jirani yetu wa kaskazini
Hata kama. Hiyo sio treni kabisa ya masafa marefu kwa karne hii ya 21. Karne hii ya digital era nasi tuna taka tusafiri na vitu vya uhakika. Na sio unasafiri na chombo ambacho ukifika mwisho wa safari huko hoi kwa malele na kadhalika. No hatuwezi kukubali tuburuzwe hivyo!
 
Back
Top Bottom