nygax
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,370
- 865
Mkuu sometime tunarelax kidogo kwa kucheka maana humu ndani tunakaziana sana.Really? Are you serious? 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sometime tunarelax kidogo kwa kucheka maana humu ndani tunakaziana sana.Really? Are you serious? 🤣🤣🤣
Kabisaa!Ndio sielewi hapo ilikuwaje kuwaje bora wangeleta ya 250km/h tu mchezo uishe
"Sura nzuri ya treni" ni moja ya 'specs' muhimu, kati ya hizo nyingine unazozitafuta.Nataka kujua specs sio sura nzuri ya treni.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji106]Mkuu sometime tunarelax kidogo kwa kucheka maana humu ndani tunakaziana sana.
Ok. Sawa. Nisamehe kama siku-checki vizuri. Nitalifuatilia.Pitia Google utaona hii tender ukishakuwa awarded mwaka jana
EeeeNHeee!Kabisa mkuu. Lile jamaa lilikuwa Genius.
Nikuambie siri! Ulaya jamaa akizungumza kitu kwenye Media zao karibu zote za kimataifa unaipata.
Leo hata Journalist wa ZDF au ARD ya wajerumani ukimwuuliza Samia Suluhu Hassan ni nani, hauta pata jibu.
Hayati Rais Magufuli alikuwa simba wa Afrika. Usifanye mchezo. Kwa upande mwingine ameisaidia sana Tanzania kujulikana hasa kwa Wajerumani. Wajerumani wengi kabla ya Magufuli walikuwa hawaijui Tanzania. Nchi iliyo kuwa ikisifika ni Kenya tu kidogo Uganda.
Sasa haku music wowote wa habari unatoka Afrika. Watu wamepooza ile mbaya. Hata waafrika wenzetu wankutoka nchi nyingine wako kimya wakimsikitikia Hayati.
Enzi ya Hayati Magufuli ukienda kwenye mkusanyiko wa waafrika ukijiintroduce wewe mwenyewe kuwa unatoka Tanzani utasikia "Magulification of Afrika".
Aisee! Wewe acha tu. Tumempoteza mwamba.
Kivipi tena? Wewe una matatizo yoyote ya kiakili? Nitajileteaje mimi mwenyewe taarifa wakati kila kitu kiko kwenye Website ya Hyundai? Can you tell me how it works? Ina maana mimi nimetunga? Helloooow!Sasa tulia utapokea taarifa sahihi sio kujiletea taarifa mwenyewe
Inawezekana, lakini sio hii!Treni ilinunuliwa awamu ya Magufuli. Usimsingizie mama bure.
Hyundai tena? Iuloze serikali yako na watendaji wa TRC.Kwani Hyundai wenyewe wanasemaje?
Kazitumie kwanza kuwaondoa ujinga ndugu zako kule kijijiniWewe ni chizi.
Ndiyo, fedha ninazo za kukuondoa ukichaa kichwani mwako.
Hamna shida. Nina appreciate mawazo yako![emoji120]Ww utakuwa ni mlegacy wa mwendazake
Hata useme nini. Haiingii akilini.Tumekuwa Taifa la pingapinga! Ndiyo maana CHADEMA tunaitwa nyumbu!
Unataka kukimbia kabla hujatembea?Dah nguvu zimeniishia! Km hayo ma design ya karne ya 19 ndo Kodi zetu zinaenda nunua! Moto wangu hauna amani kabisa! Nilikuwa na matumaini makubwa sana! Kuona vitu vya kisasa Kama kule China, Europe! Mtoa mada nimekata tamaa km wewe!
Kumbuka uongozi umebadrika, sahv ni samia mda ule ni maguNakumbuka hata mwendo kasi tulionyesha tata flani huku mtandaoni, tukakata tamaa lakini Mashine ziliposhuka tuona wenyewe. Nadhan hiyo imewekwa kama sample tu. Lakini Mashine zenyewe zitakuwa suprise
Umbali wa Dar na Dodoma ni kilometre 445 roughly.Mkuu hapo hapana! Nakataa katakata. Hata kama design zinapisha au kutofautiana, likini sio kwenye hii. Treni gani hii kwenye karne ya 21? Masihala tuyaache huko vijijini.
Kama nchi tumeamua kugharamikia SGR tutashindwaje Kuwa na hizo bullet Kama nchi kwani zinauzwa triillo kwaniKwani tunahitaji trains ngapi na bei yake ni bilioni au trilioni ngapi?
Kama tunajenga SGR ya matrilio ya pesa, kwa nini tushindwe kuleta treni 10 za hadhi hiyo ya mabilioni ya pesa?
Umewajibu kwa waledi sana ubarikiwa mkuu ,Kwani tunahitaji trains ngapi na bei yake ni bilioni au trilioni ngapi?
Kama tunajenga SGR ya matrilio ya pesa, kwa nini tushindwe kuleta treni 10 za hadhi hiyo ya mabilioni ya pesa?
Nzuri nzuri tuDah nguvu zimeniishia! Km hayo ma design ya karne ya 19 ndo Kodi zetu zinaenda nunua! Moto wangu hauna amani kabisa! Nilikuwa na matumaini makubwa sana! Kuona vitu vya kisasa Kama kule China, Europe! Mtoa mada nimekata tamaa km wewe!