The perfect guy
Member
- Nov 20, 2018
- 45
- 30
Hapo ni mbele, yahani kampuni ihache kuweka brand ya treni kwa mwonekano ulio mzuri waweke mbaya uwacheke😁😁😁😁😁😁😁Hiyo tereni hapo ni mbele au nyuma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ni mbele, yahani kampuni ihache kuweka brand ya treni kwa mwonekano ulio mzuri waweke mbaya uwacheke😁😁😁😁😁😁😁Hiyo tereni hapo ni mbele au nyuma?
Punguza ushamba, umejuaje kama hiyo treni ni mbaya!?? Nipe specifications zake. Tatizo lenu mnapinga kila kitu hata msiyofahamu! Ovyo kabisa.[emoji38][emoji38][emoji38]
Hapana. Sikubaliani na hoja yako. Najua jinsi Hayati alivyokuwa na taste nzuri ya vitu. Kama treni tuliyo nunua ni hii, haitakuwa imenunuliwa kwenye awamu ya tano.
Angalia vitu ambavyo Hayati Magufuli amevifanya kama Dreamliner, Design ya Meli mpya Victoria, Madaraja na kadhalika. Magufuli alikuwa na Taste nzuri na alipenda vitu vizuri. Asingependa sisi tuwe na vitu vibaya hiyo nina uhakika.
Samahani mkuu inabidi nisikubaliane na wewe kwa maelezo yako ya kwenye paragraph yako ya mwisho kuwa South Korea wana treni nyingi nzuri. Treni nzuri ambayo nimeiona ni hiyo KTX kidogo. Lakini hizo nyingingine huwezi kuzitumia kama treni za kusafirisha abilia wano safiri masafa marefu.Baada ya kufanya utafiti wa kina kuhusu ile mitungi ya chang'aa sasa naweza kuja kuchangia zaidi.
Nadhani kwenye hiyo picha unaoneka.
Kwanza nataka kusema hii kampuni ya kikorea iko vizuri, wanauzoefu wa kutosha kwenye haya mambo. Kazi walizofanya nyingi zinaonekana kwenye tovuti yao.
Sasa kwenye ile mitungi ya chang'aa nahisi kuna iwezekano mkubwa sana ikaja huku kwetu. Kwe sababu zifuatazo
1: ile mitungi Korail walidesign mahususi kwa ajili ya Turkish Railways na watu wanotujemgea hii reli ni hao hao waturuki.
2: wakorea waliwapa leseni waturuki wakitengeneze kwao. Inamaanisha kwamba ni treni za kikorea ila zinatengenizwa uturuki. Na kutokana na hali ya sasa kwa mturuki ndo mpango mzima kwenye huu mradi kuna uwezekano mkubwa wakatubambika huu uchafu.
Kwa tamati, naona kama kuna kila dalili kwamba hizo ndo zitakuwa treni zetu za "kisasa" na jinsi nchi yetu ilivyo, hakuna la kufanya kabisa.
Ila tusife moyo. Tuendelee kupiga kelele humu ndani labda mama atatusikia au haya makelele yakamgusa kadogosa na akajikamua tukapata treni zingine. Maana kitreni nzuri hao wakorea wanazo kibao. Nisisi tu wenyewe kukomaa. View attachment 1849824
Kwa hilo sita msamehe Hayati Rais wetu Magufuli kwa kumwamini mjenga madaraja Marehemu Engineer Mfugale. Marehemu Engineer Mfugale toka lini akajua kujenga Flyover? Sidhani kama hata hizo Flyover aliziona huko Ulaya. Yeye alikuwa mtu wa madaraja tu. Flyover kwake aliunderstand daraja la juu.Safi Sana. Nimeona mchango wako Kwa huo Uzi.
Ulichoelezea kwamba flyover iwe ni more or less the same na original plan ya Ile flyover ya hapo ubungo. So big up for your opinion.
However Mimi nimesema kua plan ilikuja kubadilishwa wakati wa ujenzi na hakuna aliemhoji mwendazake. Lakini sasa hivi SASA mama wa watu mnamsumbuaaaaa Kwa vitu trivial.
"Sura nzuri ya treni" ni moja ya 'specs' muhimu, kati ya hizo nyingine unazozitafuta.
Niache ushamba mimi au wewe? Mimi nazungumza hayo kama mtu mwenye uelewa wa mambo haya ya treni. Nimefanya kazi ya kutengeneza treni za Deutsche Bahn huko Ujerumani, ndiyo maana nayafahaamu hayo. Na ndiyo maana nakueleza kuwa hili dubwasha sio treni ya kusafirisha abiria kwenye karne hii yetu. Nisikilze ninacho kuambia. Na kama TRC ina wataalam, basi hao wataalam nina uhakika hawakuhusika kwenye kutoa maamuzi.Punguza ushamba, umejuaje kama hiyo treni ni mbaya!?? Nipe specifications zake. Tatizo lenu mnapinga kila kitu hata msiyofahamu! Ovyo kabisa.
Inawezekana.Baada ya kufanya utafiti wa kina kuhusu ile mitungi ya chang'aa sasa naweza kuja kuchangia zaidi.
Nadhani kwenye hiyo picha unaoneka.
Kwanza nataka kusema hii kampuni ya kikorea iko vizuri, wanauzoefu wa kutosha kwenye haya mambo. Kazi walizofanya nyingi zinaonekana kwenye tovuti yao.
Sasa kwenye ile mitungi ya chang'aa nahisi kuna iwezekano mkubwa sana ikaja huku kwetu. Kwe sababu zifuatazo
1: ile mitungi Korail walidesign mahususi kwa ajili ya Turkish Railways na watu wanotujemgea hii reli ni hao hao waturuki.
2: wakorea waliwapa leseni waturuki wakitengeneze kwao. Inamaanisha kwamba ni treni za kikorea ila zinatengenizwa uturuki. Na kutokana na hali ya sasa kwa mturuki ndo mpango mzima kwenye huu mradi kuna uwezekano mkubwa wakatubambika huu uchafu.
Kwa tamati, naona kama kuna kila dalili kwamba hizo ndo zitakuwa treni zetu za "kisasa" na jinsi nchi yetu ilivyo, hakuna la kufanya kabisa.
Ila tusife moyo. Tuendelee kupiga kelele humu ndani labda mama atatusikia au haya makelele yakamgusa kadogosa na akajikamua tukapata treni zingine. Maana kitreni nzuri hao wakorea wanazo kibao. Nisisi tu wenyewe kukomaa. View attachment 1849824
Hii vipiTreni ilinunuliwa awamu ya Magufuli. Usimsingizie mama bure.
Sio mbaya sana. Ina maxmum Speed 160 km/h ambayo average yake itakuwa 120 km/h. Kwa safari ya DAR- MORO inaweza ikatosha. DAR-DODOMA na kuendelea mpaka Mwanza au Kigoma, sishauri. Kwa Ulaya wanaziita Intercity, treni ambazo zinasimama kwenye vituo vingi na speed ndogo.
hizi ni muundo wa nini vileee??? 😂 👌😂Mim nilijua zitaletwa tren zaki sasa zenye muundo wa nyoka.
Acha kujidharau mwenyewe, kwani wewe na mzungu mnatofautiana nini? Rangi yako ndiyo inakufanya ujishushe kwenye level ya mnyama? Kakae porini basi tujue moja.Nyoka tena! Kikubwa ziwe imara na zenye mwendo mzuri, mambo ya show waachieni wazungu au Mamiss.
Pamoja na muonekano nayo ni specifications mfano magari ya surv, hatchback, saloon hizi ni specification toshaUnaelewa nini ninapoulizia specs? Maana tusichanganye mmbo mambo. Muonekano ni kitu tofauti na specs.
Mfano engines zake zikoje...zinatumia nini kama nishati? Matengenezo yake yanafuata taratibu gani? Etc
inafanana na ya TAZARA
Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!
Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.
Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?
Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?
Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.
That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?
Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?
Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?
Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.
Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!
![]()
Hyundai Rotem wins contract to deliver trains to Tanzania - Fuentitech
The 97 cars operate at a top speed of 160km / hr. Credit: HYUNDAI ROTEM COMPANY. South Korean-based company Hyundai Rotem has won a $ 295.65 million (335.4 billion won) contract from the Tanzania Railways Limited (TRC) to deliver eco-friendly rail vehicles. Under the contract, TRC will receive $...fuentitech.com
🤣🤣🤣 No way!inafanana na ya TAZARA
Lets have a look at the most expensive cars...ili tuone kama zina mvuto huuPamoja na muonekano nayo ni specifications mfano magari ya surv, hatchback, saloon hizi ni specification tosha