Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

acha ujinga wewe muonekanao unakusaidia nini cha msing ni speed na mazingira ya ndani
Hata ndani unafikiri ukisafiri kwa mda mrefu utajisikia vizuri. Jinsi unavyoiona nje usifikiri ndani itakuwa vingine. Nashanga leo bado tunaletewa wagons zenye fans au mapangaboi ndani. Tumekuwa masokwe sisis?

Namwomba Mkurugenzi wa TRC atuonyeshe Requirement Dokument walio wapa Hyundai-Rotem ili tujue ni treni ya aina gani na equipment gani tuzitegemee. Kama itakuwa na mapanga boi kama hizi tulizo nazo na hazina Air condition kwenye compartments, basi lazima tuli-volt. Hiyo itakuwa ni fedheha kwetu kama binadam.

Mkurugenzi Kadogosa tunataka Requirement Document tuione ili tuweze kurekebisha mambo mapema sana.
 
Sio mbaya sana. Ina maxmum Speed 160 km/h ambayo average yake itakuwa 120 km/h. Kwa safari ya DAR- MORO inaweza ikatosha. DAR-DODOMA na kuendelea mpaka Mwanza au Kigoma, sishauri. Kwa Ulaya wanaziita Intercity, treni ambazo zinasimama kwenye vituo vingi na speed ndogo.
Kabisa serikali badala ya kuhangaika na kujenga ma sanamu wangeangalia namna ya kuweka SGR Dar Arusha na mchepuko kwenda voi taveta hizi intercity zingerisisha sana usafiri zingepunguza ajali halafu ni faster na sefer zaidi kuliko mabasi au mnasemaje ?

Screenshot_20210712_162438.jpg


Screenshot_20210712_162355.jpg


Screenshot_20210712_162526.jpg


Screenshot_20210712_162249.jpg
 
Kila kitu Magu alikuwa kamaliza. Soma hapa: South Korean firm to supply SGR trains to Tanzania Samia hahusiki kabisa!
Yaani wewe unasoma THE CITZEN na kuliamini kweli? If that´s the case, naomba jichimbie kaburi na ujifukie. Utakuwa umeptwa na wakati.
Trump alikuambiaje kuhusu Journalists. FAKE NEWS! Vyombo vyote vya habari na majournalists wote duniani wamekwisha nunuliwa na Malobyists wa uchumi kama hujui.
 
Kabisa serikali badala ya kuhangaika na kujenga ma sanamu wangeangalia namna ya kuweka SGR Dar Arusha na mchepuko kwenda voi taveta hizi intercity zingerisisha sana usafiri zingepunguza ajali halafu ni faster na sefer zaidi kuliko mabasi au mnasemaje ?

View attachment 1850646

View attachment 1850647

View attachment 1850648

View attachment 1850649
Yeaaaaah! Hivi ndiyo vitu mkuu. Tuko pamoja. Ndiyo dream yangu na nina uhakika ilikuwa dream ya Hayati Magufuli pia kutuletea watanzania kitu kama hivi. Jamaa ananunua Dreamliner, ndege ya kisasa duniani ashindwe kuleta treni za uhakika? Sita amini hata mara moja.
 
Design unaiangalia ukiwa nje tu, ukishaingia ndani hutakumbuka tena hiyo design, muhimu kufika uendako, kama ch... tu, ukishaivaa hata iwe nzuri vipi huwezi jidai nayo, zaidi ya furaha ya kisaikolojia tu.
Kama muhimu ni kufika kwa nini tutupe mabilioni kwa mabilioni si tubaki na ya zamani maana si tunafika?
 
Hiyo train aliyonunua mama ina uwezo wa kwenda Dar to Dodoma in three hours; hiko ndio serikali ilichoahidi kwenye train ya umeme.

Mengine ni preference zako which has nothing to do with the government promises.

Sio kila kitu kupinga tu.
Hatujapinga High-speed train, bali tunataka vitu vya vinavyo kwenda na wakati. Hili dude la kisoviet hatulitaki.
 
Mkuu yani watu wanashangaza sasa, wanataka train ya bullet iwekwe kwenye kireli chetu, pia zile train technolojia yake ni ghali sana na ziko sehemu chache duniani. Hiyo train mimi naona nzuri sana na zinatumiaka sehemu kibao
Sawa kwa kusafirisha mizigo na kubeba wanyama, lakini sio binadam.
 
Yeaaaaah! Hivi ndiyo vitu mkuu. Tuko pamoja. Ndiyo dream yangu na nina uhakika ilikuwa dream ya Hayati Magufuli pia kutuletea watanzania kitu kama hivi. Jamaa ananunua Dreamliner, ndege ya kisasa duniani ashindwe kuleta treni za uhakika? Sita amini hata mara moja.
Speed 130-150km/h Dar chuga masaa manne ndani hakuna kelele hakuna mtikisiko unakula mziki na kinywaji unaweza kuchajinsimu au laptop yako hakuna uchovu unafanya biashara unarudi dar siku hiyo hiyo
 
Speed 130-150km/h Dar chuga masaa manne ndani hakuna kelele hakuna mtikisiko unakula mziki na kinywaji unaweza kuchajinsimu au laptop yako hakuna uchovu unafanya biashara unarudi dar siku hiyo hiyo
Nakuambia😁😁😁
 
Wanakupa kile kinachoendana na uwezo wako wa kiuchumi. Tube train haiwezi kutumia reli ya 1.435 M hii ni kwa ajili ya Boxcab (Diesel/Electric Locomotives) tu na ndio itakayonunuliwa na TRC. Tube trains kwa Afrika bado tutasubiri sana.
Mpe shule huyo mkuu...Kuna watu wanakimbilia kulalamika tu bila kujua ukweli wa mambo ulivyo..
 
Hapana. Basi tusubiri mpaka hapo tutakapo kuwa na uwezo ndiyo tununue treni zinazo kwenda na wakati. Kila mara kuyaangalia madudu kama haya tumechoka. Haya madubwasha tunayo mengi sana ukijumlisha na yale ya TAZARA.
Hata tukisubiri, bado mtasema tena kwanini tumejenga reli wakati tukijua hatuna uwezo wa kuleta Treni....

Kuanzia ulipo, sio sawa na kubakia ulipo.. hayo matreni ya kiduanzi ndio yataweza leta hela ya kununua hayo matreni ya kisasa.
 
Mpe shule huyo mkuu...Kuna watu wanakimbilia kulalamika tu bila kujua ukweli wa mambo ulivyo..

Mi navyojua hayo yatakuwa ya kusafirishia ng'ombe Na mkaa.
Mimi kwa maoni yangu nadhani wasi wasi wa mtoa mada unatokana na historia ya Tz katika maswala ya miundo mbinu. Baada ya kuona picha ya treni iliyochapishwa na jinsi ambavyo hali ya manunuzi huko nyuma kwa kweli mtu yeyote mwenye kujali bila ya kufikiri zaidi atadhani ndicho kinachokuja of which inawezekana pia kuwa ni kweli ndivyo vinavyoletwa. Sasa kama umeamua kujitutumua kuvaa suti kipindi hiki basi hakikisha unavaa suti iliyokamilika siyo suti nzuri kisha chini unamalizia na yeboyebo yani ujenge reli nzuri kama inavyojengwa vituo vizuri sana uimarishe upatikanaji wa nguvu ya uendeshaji kisha umalizie na train kuu kuu. Hata mimi nina wasiwasi sana na waliopewa wajibu wa kusimamia manunuzi kama ni kamati zile za kipigaji na hivi mwanzilishi wa mradi wenyewe hayupo aiseee wanaweza kuingia mkataba wakatuletea vitu vya ajabu sana badala ya kuendelea tukajikuta tunaharibu hata rail yenyewe
 
Back
Top Bottom