Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

Mbona linafanana na "mitungi ya chang'aa" ya majirani yanayotumia diesel!

Ila kwenye hiyo link hawajaelezea ni model ipi italetwa maana hao Hyundai Rotem Wana design kibao tu.

Kama ni hiyo juu ikipakwa "marangi" ya TRL na akina Kadogosa,itakuwa madude ya kunyamazishia Watoto.

BTW: Nimefarijika kuona hiyo 160Km/h kumbe siyo fix.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu umenifanya nicheke sana. Asante kwa mchango wako wa kufurahisha. [emoji120]
 
Nimeishia kwenye kuburudisha macho.. nikaona utakuwa hauna tofauti na vile wanawake huchagua magari kwa kuangalia rangi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]...

Wanaume lazima aulizie engine, Mama Samia kakushinda kwenye hili mkuu.
 
Wenye connection na Mr. Kadogosa, mwambieni tunataka vitu vizuri vya dizaini hiyo au zaidi. TUNATAKA BULLET
ITX-Saemaeul.jpg
 
Ni eco-friendly na ni nzuri
Muonekano wake sio mzuri lakini ziko vizuri
Kampuni ni maarufu na ni kubwa hata [emoji631] wana kitengo huko
Siemens walisemekana wanataka kununua hii kampuni ila ikakanushwa

Train zao wameuza sehemu nyingi duniani ikiwamo Australia, turkey na kwingine
Kama vipi zikija tujifunzie hizo ili tutoe copy na bora zaidi

Hizi ni baadhi za trains zao ila tuwaambie watume hizo za juu au mnasemaje maana maamuzi ni sisi tuliomo humu
IMG_1632.jpg
 
Acheni kupotosha , hii mikataba ilishaingiwa toka awamu wa tano,
Mkataba haukuingiwa kuleta maboksi badala ya treni za kisasa zinazotumia umeme. Umbo lililopo kwenye picha ni wazi haina uwezo wa kusafiri kwa kasi kwa kutokuwa na mizania ya upana na urefu lakini hata kukata upepo bila ukinzani hatarishi..

Usikimbilie kudai kuna upotoshaji
 

Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!

Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.

Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?

Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?

Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.

That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?

Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?

Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?

Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.

Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!

Hii nayo ni hyundai rotem..
images%20(14).jpg
 
LKN kwenye hiyo website hamna sehemu wamesema wateleta hiyo ya kwenye picha
Ndiyo hicho kitu ambacho tunategemea kuto tokea. Ikiwa hivi, mbona hatari. Mimi nilikwisha jigamba kwa marafiki zangu caucasians kuwa na sisi masokwe tutakuwa na kitu kama chao kikitereza kwenye reli yetu. Kwa mwonekano huu naomba wasijue. Maana watanicheka sana.

Ile station ya Tanzanite kwa kusema kweli ni kiboko hata huko makwao juu hawana na wala hawategemei kuwa nayo.
Wameipenda sana na walimsifu sana Hayati Magufuli wakati wa uhai wake.
 
Ni eco-friendly na ni nzuri
Muonekano wake sio mzuri lakini ziko vizuri
Kampuni ni maarufu na ni kubwa hata [emoji631] wana kitengo huko
Siemens walisemekana wanataka kununua hii kampuni ila ikakanushwa

Train zao wameuza sehemu nyingi duniani ikiwamo Australia, turkey na kwingine
Kama vipi zikija tujifunzie hizo ili tutoe copy na bora zaidi

Hizi ni baadhi za trains zao ila tuwaambie watume hizo za juu au mnasemaje maana maamuzi ni sisi tuliomo humu View attachment 1848745
Hiyo KTX juu ipo safi, lakini hizo nyingine za chini hapana aise
 
Mkuu wewe unataka muonekana ama ubora na ufanisi wa hiyo mashine?

Tulia vitu vifike hapa na kuanza kazi. Tanzania inajengwa na wenye mamlaka.

Sie tulipe kodi tu.
[emoji3][emoji3][emoji3] Vyote vyote. Mwonekano na quality pia.
 
Back
Top Bottom