Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Tumteteee tusiache please. Hata akitoa pesa kama itaonekana kuna ufisadi tuseme zilitolewa na awamu ya 5 ..... Apewe mudaHizo zilishanunuliwa na awamu ya 5,mama kafanyiwa delivery tu..sema kweli halina mvuto,likekaa kaa tu kama kontena la Maersk[emoji23][emoji23]