Maneno Meier
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 2,467
- 1,697
- Thread starter
-
- #81
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu umenifanya nicheke sana. Asante kwa mchango wako wa kufurahisha. [emoji120]Mbona linafanana na "mitungi ya chang'aa" ya majirani yanayotumia diesel!
Ila kwenye hiyo link hawajaelezea ni model ipi italetwa maana hao Hyundai Rotem Wana design kibao tu.
Kama ni hiyo juu ikipakwa "marangi" ya TRL na akina Kadogosa,itakuwa madude ya kunyamazishia Watoto.
BTW: Nimefarijika kuona hiyo 160Km/h kumbe siyo fix.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji106]Yaani hilo li kichwa la ng'ombe ndio kitaingia kwenye jengo la Tanzanite???
Mkataba haukuingiwa kuleta maboksi badala ya treni za kisasa zinazotumia umeme. Umbo lililopo kwenye picha ni wazi haina uwezo wa kusafiri kwa kasi kwa kutokuwa na mizania ya upana na urefu lakini hata kukata upepo bila ukinzani hatarishi..Acheni kupotosha , hii mikataba ilishaingiwa toka awamu wa tano,
Hii nayo ni hyundai rotem..
Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler!
Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya treni za umeme zenye kuburudisha macho kwa design kama za wenzetu wajerumani.
Mama samia Suluhu Hassan Rais wetu nani kakupa ushauri wa kutua saini ya makubaliano ya kununua treni za aina hiyo? Mimi sitaki kuamini na sikutegema kama aina ya treni ambazo zitatereza kwenye reli yetu zingekuwa na mwonekano huo kwenye hiyo picha ya taarifa tuliyoipata kwenye Website ya hiyo kampuni iliyo shinda zabuni ya Hyndai-Rotem. Mbona inatisha?
Nitashangaa sana kama upande mmoja tumejitahidi kutengeneza Stations nzuri, za kisasa na zenye mwonekano mzuri na wa kupendeza na kupata system yenye technology mpya, alafu leo tunaambiwa kuwa tunapata treni zenye vichwa na mabehewa ya enzi za Hitler? Ama kweli Tanzania tunawatu ambao kweli hawajui kwenda na na wakati. Watu wasiokuwa na test ya biashara. Mnategemea nani mtampata kwenye kwenye hayo ma-wreck yenu?
Mkurugenzi Kadogosa hii sio treni ambazo models zake mtangazaji wako Beni Mwanantala amekuwa akituonyesha kwenye maonyesho uwanja wa sabasaba kurasini.
That's awful! Are you really serious with this mkurugenzi?
Sasa naomba niambie kuna tofauti gani na SGR ya kenya kimwonekano? Inamaana mnatufanya sisi ni masokwe mpaka mnatuletea matakataka kama haya ambayo hakuna mtu anaye yataka?
Waziri wa Ujenzi na uchukuzi hivi ni sahihi kweli sisi watanzania mtusweke kwenye ma-wagon yanayo onekana kama treni za kusafirisha mizigo na wanyama kama haya ambayo hata hayavutii? Mmepewa bure nini? Ama ndiyo tuseme mmedhamiria nini kutuletea? Tuambieni?
Nilipokuwa kwenye jengo lenu la maonyesho ya sabasaba mwaka jana na kujionea mwenyewe models za treni na mabehewa ambayo Mr. Mwanantala alitupa maelezo yake, aisee, nilifarijika sana sana moyoni na niliwaombea baraka nyingi kwa muumba wetu za kuwaongoza vizuri katika shughuli zenu za kuwatumikia Watanzania.
Sikutegemea kabisa kuwa leo ingekuwa siku ya majonzi makubwa kwa kuona au kusikia mashine zitakazo tereza kwenye reli yetu ya kisasa ya SGR kumbe ni madudu ambayo yamepitwa na wakati na yasiyo na mvuto hata lidogo. ES IST SCHRECKLICH!
Hyundai Rotem wins contract to deliver trains to Tanzania - Fuentitech
The 97 cars operate at a top speed of 160km / hr. Credit: HYUNDAI ROTEM COMPANY. South Korean-based company Hyundai Rotem has won a $ 295.65 million (335.4 billion won) contract from the Tanzania Railways Limited (TRC) to deliver eco-friendly rail vehicles. Under the contract, TRC will receive $...fuentitech.com
Kwani wako na design hiyo moja? Wacha upumbavu mwamba!!
Hizo pesa za kununua treni za Kisasa mnazo ?Dah nguvu zimeniishia! Km hayo ma design ya karne ya 19 ndo Kodi zetu zinaenda nunua! Moto wangu hauna amani kabisa! Nilikuwa na matumaini makubwa sana! Kuona vitu vya kisasa Kama kule China, Europe! Mtoa mada nimekata tamaa km wewe!
Ndiyo hicho kitu ambacho tunategemea kuto tokea. Ikiwa hivi, mbona hatari. Mimi nilikwisha jigamba kwa marafiki zangu caucasians kuwa na sisi masokwe tutakuwa na kitu kama chao kikitereza kwenye reli yetu. Kwa mwonekano huu naomba wasijue. Maana watanicheka sana.LKN kwenye hiyo website hamna sehemu wamesema wateleta hiyo ya kwenye picha
May be. Lakini bado roho yangu haitaki kuamini kuwa watanzania watuangushe hivyo.Labda ndizo zinaendana na bei zetu za hali ya mtu
Hiyo KTX juu ipo safi, lakini hizo nyingine za chini hapana aiseNi eco-friendly na ni nzuri
Muonekano wake sio mzuri lakini ziko vizuri
Kampuni ni maarufu na ni kubwa hata [emoji631] wana kitengo huko
Siemens walisemekana wanataka kununua hii kampuni ila ikakanushwa
Train zao wameuza sehemu nyingi duniani ikiwamo Australia, turkey na kwingine
Kama vipi zikija tujifunzie hizo ili tutoe copy na bora zaidi
Hizi ni baadhi za trains zao ila tuwaambie watume hizo za juu au mnasemaje maana maamuzi ni sisi tuliomo humu View attachment 1848745
Hivyo viwili vya picha za chini ndiyo vitu tunavyo vitegemea kuviona na kusafiri navyo.Ingawa katika Hali ya kawaida hii ya kwetu tunayotarajia kununua imekaa vibaya kwa kweli. View attachment 1848552View attachment 1848553View attachment 1848554
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa mbaya sanaEndeleeni kushangilia mnyonga usukani huku mkiletewa makanyaboya kwa bei rahisi
[emoji3][emoji3][emoji3] Vyote vyote. Mwonekano na quality pia.Mkuu wewe unataka muonekana ama ubora na ufanisi wa hiyo mashine?
Tulia vitu vifike hapa na kuanza kazi. Tanzania inajengwa na wenye mamlaka.
Sie tulipe kodi tu.
NDIOKwani wako na design hiyo moja? Wacha upumbavu mwamba!!
Hizi kwa ndani hazionekani vizuri pia kamanza wajerumani.
Tuliahidiwa hivyo kuwa tutapata High speed trains. Hayati Magufuli na Mh Kadogosa wakati ule walikuwa wakiimba hivyo.hela ya ku run high speed train mnayo? au unataka vitu usivyokuwa na uwezo navyo?