Rais Samia: Nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?

Hata mie sijaelewa nani anatakiwa kufunzwa Katiba kati yetu na wao wanaoiyekeleza Katiba. Kuna mambo hayatakiwi kutamkwa hadharani na mojawapo ni hilo nililisikia jana. Nikisema hivyo wale wajiita chawa wa Mama wataniita CHADEMA. Hii ndiyo namna yao ya kusitisha kufikiri. Tumwombe Mungu.
 
Sijasoma yote coz nimeona bandiko lako ni msukumo wa chuki uliyoifuga ndani ya nafsi yako,

Hivi unajua kua kuna nchi zina maendeleo makubwa na hazina hiyo katiba? Jipe muda tumia simu yako kujua ni nchi gani hazina hata hiyo katiba ila zina maendeleo makubwa sana.
 
Wa kulaumiwa ni jenerali Mabeho aliyewagomea wale waliokuwa wanamjua vizuri kuwa ni inept, hawezi kuwa kiongozi mkuu wa nchi. Mafisadi wanampenda kwa sababu wanaendesha wizi wao bila kuguswa. Lake oil
Wa kulaumiwa ni JPM Mungu amlipe anayostahiki. Mabeyo alihakikisha katiba inafuatwa. Usijis

ahaulishe. Kama 2020 hukuwa umezaliwa, waulize waliokuzidi umri au angalau pitia yaliyoandikwa. Si huwa munajinasibu ni wasomi? Na huu ndo usomi wenyewe?
 
Nchi gani hizo zenye maendeleo makubwa na hazina katiba?
 
Hajui kuwasiliana na hadhira anapoongea, huyo ni level za mkuu wake wa mkoa wa Dar Chalamila
 
Jjiwe alikuwa shetan na muuji,wakristo 80% mna chuki na rais muislam ,wapuuzi kama wewe ni wakupigwa shaba ,huna adabu klkenge wewe
 
Wala sishangai kwa maoni na mawazo yako haya ya kijinga kwa sababu Tangia awali ulionyesha kuwa na chuki binafsi na mh Rais.kwako wewe hata afanye nini huwezi ukaona maana tayari akili yako ilishapofushwa na chuki binafsi kwa mh Rais ,Chuki yako ibachagizwa na ubaguzi kwa misingi ya ukabila na ukanda ,ndio maana sishangai kuona ukiandika hivi .
Kinachonisikitisha ni kuona mtu mzima na jitu zimaa kuwa na akili kama vita bangi ,toto tukukutu lililoshindikana kwa wazazi wake. Huna adabu kabisa na unakuwa kama mtu aliye zibuka akili na kulegea mishipa ya fahamu,.nina wasiwasi ikiwa wewe ni mzima wa akili.naamini una msongo wa mawazo na matatizo ya akili yanayohitaji matibabu ya haraka sana.
 
Umeelewa ninachozungumza hapa mkuu?
Embu rudia kusoma tena tafadhali.
 
Unamhukumu kweny Hamna,hakuna alipoita katiba eti kijitabu au wewe tuu ndo ulisikia
 
Ni remote tuu hiyo, hamna rais hapo.
Jjiwe Aliku
Kabisa,huyo au hao tatizo ni dini ya rais wasasa tuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…