Rais Samia: Nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?

Katiba ndiyo imeleta maendeleo china, Malaysia, marekani nk!?
 
Katiba haileti ugali mezani pako. Kenya hao wanakaribia mpya na bado kila siku wapo mabarabarani kulia lia manjaa na maisha magumu kila uchwao.
 
Haya maneno ya katiba kwamba ndo itakuletea ugali, mara nyingi huzungumzwa na hao machawa wa ccm wasiojua mbele wala nyuma , sasa naye Rais sijui imekuaje bila kujua nafasi yake katika taifa na kuingia mzima mzima, na mbaya zaidi bora umesema katiba yeye kasema kitabu aiseee hapana
 
Katiba haileti ugali mezani pako. Kenya hao wanakaribia mpya na bado kila siku wapo mabarabarani kulia lia manjaa na maisha magumu kila uchwao.
Wewe na anayesemwa hakuna tofauti. Kenya tatizo sio maisha magumu wala njaa. Wale ukabila ndio unawamaliza. Hayo mengine ni vichochoro tu, labda kama hujui siasa za Kenya.
 
Kenya wana katiba mpya na bado wanalia kila kama panya kila siku barabarani .
 
Unataka kuniambia kuwa mama yako aliyekubeba Tumboni miezi Tisa ni dhaifu? Mama yako angekuwa dhaifu ungeqwzaje kukaa Tumboni kwake miezi tusa? Kwanini unakuwa na mawazo ya kibaguzi na chuki za kijinga zilizopofusha akili na uwezo wako wa kufikiri?
Kuwa dhaifu sio dhambi ni sifa, ni dhaifu kwenye suala la uongozi hususani wa jamii, mwanamke ni kiumbe anayepaswa kupewa favour sawa na mtoto si mtu wa kumtegemea kwenye maamuzi magumu yenye tija
 
Kwa hiyo warioba na mwamakula ndiyo kipimo chako Cha mtu kuongea mantiki!?..we mbona puto tu kichwani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…