Rais Samia: Nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?

Hata Hilo la Elimu Si Kweli kuwa hatujui Katiba,

Kabla ya time ya Warioba kukusanya maoni, zilidurufiwa nakala za Katiba hii na tulipata muda kuusoma ktk makundi mbalimbali.

Kwann hataki tuanzie Rasimu ya Warioba kama msingi wa kuendelea mbele?
 
Tatizo sio katiba mpya bali tatizo wanao force hiyo katiba mpya hawana uelewa na katiba iliyopo sasa hivi. Katiba hii tuliyonayo ni the best na ndiyo inafanya Nchi itawalike. Japokuwa hujagusia kuhusu katiba ya kenya ambayo mnaiita ya "kidemokrasia" imewasaidia nini zaidi ya kufanya Nchi isitawalike kila kitu kinachofanywa na serikali kila raia anapinga mahakamani ndiyo nini?

Lengo la watu wanao force katiba mpya ni kupata nafasi za uongozi kwani hata katiba hii hawajui mazuri yake
 
Kauli ya rais kuiita katiba " ni kitabu tu" inadhihirisha viapo wanavyoapa waingiapo madarakani si ya dhati toka moyoni. Rais anatakiwa kuilinda katiba kama asemavyo wakati wa kiapo.
Watanzania upo ulazima wa kuhakikisha kuwa katiba ijayo inatuwezesha kumfungulia mashitaka rais kwa kukiuka katiba ili katiba iheshimiwe na wananchi wote bila kujali vyeo.
 

View: https://x.com/KipepeComrade/status/1615532090593886208?s=20
 
Onyesha sehemu nilipokubali.
Hii quote haihusiani na hichi ninachoandika...

Umeongea kwa uchungu sana legend...na point tupu...

japo uko ughaibuni... unaonyesha nini maana ya uzalendo halisi.

Kiukweli Tanzania kama kuna janga kubwa lililowahi kutupata...

basi halizidi janga hili la kuwa na raisi wa hovyo! Kabisa tangu Taifa hili kuundwa.
 
Kisha wanatumia pesa ya wizi wa mali za umma kununua Phd fake
 
Wa kulaumiwa ni jenerali Mabeho aliyewagomea wale waliokuwa wanamjua vizuri kuwa ni inept, hawezi kuwa kiongozi mkuu wa nchi. Mafisadi wanampenda kwa sababu wanaendesha wizi wao bila kuguswa. Lake oil
Mkuu how about CCM? How about Magufuli? CCM ndiyo walimpendekeza kama chama. Na Magufuli alishajua uwezo wake hivyo 2020 angeweza kumtema.
 
Huyo ni mumeo!
 
Hujamsikiliza vizuri Mheshimiwa Raisi, unachomoa tu kaneno kamoja kisha unakimbia nacho kama kuku aliuekatwa kichwa.

Haters Kila wakati mnatafuta Cha kuzusha. So pathetic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…