Rais Samia: Nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?

Rais Samia: Nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?

Huyu mama amewahi kuwa makamu mwenyekiti wa bunge la katiba. Kama anadhani katiba siyo muhimu, alifata nini huko?

Aliapa kulinda na kutetea katiba, iliyopo kwa mujibu wa sheria, kama katiba siyo muhimu aliapa kuipinda kuitetea ya nini?.

Kwa hiyo anatuona sisi sooote tulioshiriki kutoa maoni ya katiba mpya mwaka 2012/13 hatuna akili?

Hiyu mama katudharau sana, yaana katuonyesha dharau ya kufa mtu.

Anazungumza jambo zito kama katiba kwa hoja dhaifu zisizo na mashiko kabisa. Yaani nimemshusha vibaya sana.

Hafai, hafai hata kulumangia!
Anajua kuliko nyie,hakuna.katiba ya kuingiza machadomo madarakani Kwa sababu za njaa zenu
 
Kwa hiyo Rais Samia alitaka kusema nini?
Hakuna haja ya kuwa na vitabu vitakatifu au katiba?
Hata tukiwa na hivyo vitabu bado hatupaswi kuvifuata?

Kuna vitu mtu mwenye heshima au mamlaka hupaswi kuvisema mbele za watu, maana ukivisema watu watagundua ujinga ulionao.
Kuna mtu alitegemea tofauti na kilichosemwa jana ?
 
Jinsia yake haihusiki. Dini yake haihusiki. Sehemu ya Kijiografia anayotokea nayo haihusiki.

Kinachohusika hapa ni uwezo wake mdogo alionao.

Uwezo mdogo wa kiuongozi. Uwezo mdogo wa kuchanganua mambo. Na uwezo mdogo wa kujenga hoja.

Mara kadhaa sasa nimeona ona humu baadhi ya watu wakisema kwamba Rais Samia kaonyesha na kuthibitisha kuwa wanawake hawafai katika nafasi kiuongozi.

Mimi hilo nalikataa. Mtu mmoja mwenye uwezo mdogo si mwakilishi wa wanawake wote nchini wala duniani, kwa ujumla.

Uwezo wake mdogo alionao ni wa kwake yeye tu, Rais Samia.

Kilichonisukuma kuileta hii mada hapa ni yale maoni yake aliyoyatoa hapo jana.


View: https://youtu.be/O8SVrOeYtck?si=zAtsS1VP_q_B5Hmo

Rais anahoji kuwa kwani katiba ndo inaleta maendeleo?

Hivi huyu Rais hajui kuwa katiba ya nchi ndo framework ya uongozi na utawala ulio bora?

Bila uongozi na utawala ulio bora, kuna maendeleo gani yaliyo ya maana yanayoweza kupatikana?

Huo ni uwezo mdogo sana wa kufikiri ambao siutegemei utoke kwa kiongozi aliye wa juu kabisa nchini.

Au labda yeye anadhani maendeleo yanatoka wapi au yanakujaje?

Jingine la ajabu alilolizungumzia ni suala la elimu. Kwamba eti watu walio wengi hawajui hata katiba ni kitu gani. Hivyo ni lazima kwanza watu wapewe elimu kabla ya kuiandika hiyo katiba mpya.

Nilichoking’amua hapo ni ‘projection’ yake yeye kuhusu katiba.

Kulingana na kauli zake kuhusu katiba, nadhani yeye ndo hajui katiba ni kitu gani na hivyo anadhani hata wengine nao hawajui katiba ni nini!

Kenya waliandika katiba mpya mwaka 2010 [kama sijakosea].

Afrika Kusini waliandika katiba mpya baada ya kuachana na sheria za ubaguzi wa rangi kwenye miaka ya 90.

Marekani waliandika katiba yao miaka zaidi ya 200 iliyopita na ambayo wameifanyia marekebisho mara 27.

Sehemu nyingi tu duniani zimeandika katiba mpya na zingine kuzifanyia marekebisho katiba zilizopo.

Ni wapi ambako waliielimisha jamii kwanza kabla ya kuandika mpya?

Afrika Kusini walifanya elimu gani kwa wananchi kabla ya kuandika katiba yao mpya?

Waliwakalisha watu madarasani na kuanza kuwafundisha somo la katiba?

Katiba iliyopo sasa hivi wakati inaandikwa elimu ya katiba ilitolewa na nani? Lini? Wapi?

Naona sasa suala la kwamba wananchi hawana elimu ya katiba ndo litakuwa ‘narrative’ ya CCM kukwepa kujadili hoja za katiba mpya.

Kwa nilichokisikia jana, ni dhahiri shahiri kwamba anayehitaji elimu ya kujua katiba ni nini, ni Rais Samia.

Samia hafai kuwa Rais. Alichaguliwa kuwa mgombea mwenza kwa sababu zingine na si kwa sababu alikuwa ni mtu mwenye uwezo unaofaa.

Tuna Rais bomu ambaye hafai kuwepo madarakani hata kwa sekunde moja.

Nadiriki kusema kuwa Samia ndo Rais bomu kushinda marais wote tuliowahi kuwa nao Tanzania.

Na wewe taahira Huwa unamtukana sana Rais,ni ushukuru uko kufua nepi za wazee wa Kizungu vinginevyo ungekuwa jela saizi
Screenshot_20230911-133447.jpg
 
Huyu mama amewahi kuwa makamu mwenyekiti wa bunge la katiba. Kama anadhani katiba siyo muhimu, alifata nini huko?. Au alifuata posho tu?

Aliapa kulinda na kutetea katiba, iliyopo kwa mujibu wa sheria, kama katiba siyo muhimu aliapa kuipinda kuitetea ya nini?.

Kwa hiyo anatuona sisi sooote tulioshiriki kutoa maoni ya katiba mpya mwaka 2012/13 hatuna akili?

Hiyu mama katudharau sana, yaana katuonyesha dharau ya kufa mtu.

Anazungumza jambo zito kama katiba kwa hoja dhaifu zisizo na mashiko kabisa. Yaani nimemshusha vibaya sana.

Hafai, hafai hata kulumangia!
Watanzania wanamuelewa sana Rais samia na aliyoyazungumza Rais samia ndiyo msimamo wa mamilioni ya watanzania Ndio maana hakuna ambapo watanzania wamewahi kuandamana au kupiga Makele kusema wanahitaji katiba mpya kwa hali na mali,hakuna mtanzania amewahi kunyanyua mabango akisema anahitaji sana hiyo katiba.mahitaji ya watanzania ni Elimu bora, huduma bora za afya mahospitali, upatikanaji wa maji safi na salama,huduma bora za umeme , miundombinu ,mbolea n.k. mambo ambayo amekuwa Rais samia akiyatekeleza kwa weledi na kasi kubwa sana , ndio maana Watanzania wanaendelea kumuunga mkono mh Rais wakati wote.
 
Jinsia yake haihusiki. Dini yake haihusiki. Sehemu ya Kijiografia anayotokea nayo haihusiki.

Kinachohusika hapa ni uwezo wake mdogo alionao.

Uwezo mdogo wa kiuongozi. Uwezo mdogo wa kuchanganua mambo. Na uwezo mdogo wa kujenga hoja.

Mara kadhaa sasa nimeona ona humu baadhi ya watu wakisema kwamba Rais Samia kaonyesha na kuthibitisha kuwa wanawake hawafai katika nafasi kiuongozi.

Mimi hilo nalikataa. Mtu mmoja mwenye uwezo mdogo si mwakilishi wa wanawake wote nchini wala duniani, kwa ujumla.

Uwezo wake mdogo alionao ni wa kwake yeye tu, Rais Samia.

Kilichonisukuma kuileta hii mada hapa ni yale maoni yake aliyoyatoa hapo jana.


View: https://youtu.be/O8SVrOeYtck?si=zAtsS1VP_q_B5Hmo

Rais anahoji kuwa kwani katiba ndo inaleta maendeleo?

Hivi huyu Rais hajui kuwa katiba ya nchi ndo framework ya uongozi na utawala ulio bora?

Bila uongozi na utawala ulio bora, kuna maendeleo gani yaliyo ya maana yanayoweza kupatikana?

Huo ni uwezo mdogo sana wa kufikiri ambao siutegemei utoke kwa kiongozi aliye wa juu kabisa nchini.

Au labda yeye anadhani maendeleo yanatoka wapi au yanakujaje?

Jingine la ajabu alilolizungumzia ni suala la elimu. Kwamba eti watu walio wengi hawajui hata katiba ni kitu gani. Hivyo ni lazima kwanza watu wapewe elimu kabla ya kuiandika hiyo katiba mpya.

Nilichoking’amua hapo ni ‘projection’ yake yeye kuhusu katiba.

Kulingana na kauli zake kuhusu katiba, nadhani yeye ndo hajui katiba ni kitu gani na hivyo anadhani hata wengine nao hawajui katiba ni nini!

Kenya waliandika katiba mpya mwaka 2010 [kama sijakosea].

Afrika Kusini waliandika katiba mpya baada ya kuachana na sheria za ubaguzi wa rangi kwenye miaka ya 90.

Marekani waliandika katiba yao miaka zaidi ya 200 iliyopita na ambayo wameifanyia marekebisho mara 27.

Sehemu nyingi tu duniani zimeandika katiba mpya na zingine kuzifanyia marekebisho katiba zilizopo.

Ni wapi ambako waliielimisha jamii kwanza kabla ya kuandika mpya?

Afrika Kusini walifanya elimu gani kwa wananchi kabla ya kuandika katiba yao mpya?

Waliwakalisha watu madarasani na kuanza kuwafundisha somo la katiba?

Katiba iliyopo sasa hivi wakati inaandikwa elimu ya katiba ilitolewa na nani? Lini? Wapi?

Naona sasa suala la kwamba wananchi hawana elimu ya katiba ndo litakuwa ‘narrative’ ya CCM kukwepa kujadili hoja za katiba mpya.

Kwa nilichokisikia jana, ni dhahiri shahiri kwamba anayehitaji elimu ya kujua katiba ni nini, ni Rais Samia.

Samia hafai kuwa Rais. Alichaguliwa kuwa mgombea mwenza kwa sababu zingine na si kwa sababu alikuwa ni mtu mwenye uwezo unaofaa.

Tuna Rais bomu ambaye hafai kuwepo madarakani hata kwa sekunde moja.

Nadiriki kusema kuwa Samia ndo Rais bomu kushinda marais wote tuliowahi kuwa nao Tanzania.

CCM ile brain kubwa hua inakaa nyuma kufaidi mema ya nchi. Halafu wale hohehahe ndio wanapewa nafasi za uongozi ili wajione nao ni kitu. Matokeo yake ndio hayo ndugu yangu. Yaani mtu mwenye hadhi ya raia namba moja anabeza umuhimu wa katiba kwenye maendeleo. Ni huzuni kubwa sana. Huyu mtu sasa tukisema uchumi umeshuka au umeoanda anaelewa chochote kweli?
 
Mwanamke ni kiumbe duni tangu kuumbwa kwa ulimwengu kama unabisha nenda kasalishe masjid uone moto
Unataka kuniambia kuwa mama yako aliyekubeba Tumboni miezi Tisa ni dhaifu? Mama yako angekuwa dhaifu ungeqwzaje kukaa Tumboni kwake miezi tusa? Kwanini unakuwa na mawazo ya kibaguzi na chuki za kijinga zilizopofusha akili na uwezo wako wa kufikiri?
 
Kama Rais haamini katika katiba, anakosa uhalali wa urais wake maana kapatikana kwa zao la katiba hiyo hiyo.

Hapa tuu
 
Back
Top Bottom