Ni bongo tu mtu anaamin kupata cheo kupitia kelele zamitandaon
Toka jana umeanza kumuelezea huyo mtu wako.
Afanye Jambo ambalo litaonekana waz la manufaa kupiga kelele mitandaoni siyo sehemu sahh ya mtu kupata nafas Kama hyo
Taasisi ya urais miaka hii imekuwa ya hovyo sna kila mtu anaweza piga kelele mtandaon kumpigia debe mtu wake badala ya kuonesha ulichonacho vetting ije baadae lakn bongo tunaamin nafas kwanza uwezo utaujulia hukohuko
Muulize
Pascal Mayalla mwaka wa ishirin huu haonekani mbele ya wanaofanya vetting pamoja na uwezo aliouonesha maeneo MBALIMBALI.
Sent from my TECNO F1 using
JamiiForums mobile app