Ntambirweki again
JF-Expert Member
- Feb 25, 2022
- 213
- 191
Mtu mwenyewe simfahamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utamfahamu BossMtu mwenyewe simfahamu
Ndio yupo mbioni boss, anajaribu kotekote.Sasa kama ndoto anayo kwa
nini asigombee nafasi zinazogombewa kama ubunge au udiwani mpaka asubiri teuzi ambazo nafasi zake chache wenye kuzihitaki wengi?
Hapo ni kipi kilicho haribika boss.Ushamwaribia
ndioSawa
Political Journey:Weka wasifu wake hapa kama unataka apate kunadika vizuri.
Boss nmefukunyua CV yake mahali.Ni mme wako?
Yaani Mama amchague Mtu mwenye Elimu ya mchongo ya Form four zero huko Ccm labda lakini UDC hapana ili sio la watu wajinga haiwezekani mtu Apate zero na afoji vyeti Tena tumpe Udc Mama sio Mjinga
Huyu hapa boss,Mtu mwenyewe simfahamu
Kulitumikia Taifa,au Taifa limtumikie yeye kwa kumlipa mshahara wa U DC?kama ataanza "kulitumikia"Taifa baada ya kupewa U DC,huyo hafai kabisa Bora aseme ukweli,njaa imeuma anaomba ajira ya kuwa nyapala(wakuu wa wilaya sio technocrats,wataalam ni kama manyapala tu)Bora angeomba kazi ya uhandisi,Dakitari,uhasibu,ustawi wa jamii,yeye hapo anataka kuutumia nchi kutatua shida zake za kipato.Kwako mama yetu Samia Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Natumai umzima wa afya njema na unaendelea na shughuli zako za kiofisi.
Mama, ndugu yetu Elia Wilinasi ni kijana safi mwenye weledi na mzalendo anayetamani kukitumikia chama cha mapinduzi katika ngazi za juu na taifa kwa ujumla.
Alichukua fomu ya kugombea ujumbe wa hamshauri kuu ya CCM taifa kama karata yake ya kwanza kulitumikia taifa lake.
Safari hii anasubiria mkeka wa ukuu wa wilaya kwa hamu, bado anatamani kulitumikia taifa katika ngazi ya ukuu wa wilaya.
Ahsante sana.
Kazi iendelee
Kulitumikia Taifa,au Taifa limtumikie yeye kwa kumlipa mshahara wa U DC?kama ataanza "kulitumikia"Taifa baada ya kupewa U DC,huyo hafai kabisa Bora aseme ukweli,njaa imeuma anaomba ajira ya kuwa nyapala(wakuu wa wilaya sio technocrats,wataalam ni kama manyapala tu)Bora angeomba kazi ya uhandisi,Dakitari,uhasibu,ustawi wa jamii,yeye hapo anataka kuutumia nchi kutatua shida zake za kipato.
Diamond,Bakheresa,na wajasiriamali wengine hao ndio wanalitumikia Taifa,sio huyo anayesubiri apewe ajira
Boss mimi nadhani kwenye siasa pia ni sehemu ambayo anaweza kupata uzoefu zaidi kwasababu ndio kitu anachokipenda. PhD atasomaga baadaye saivi anatafuta kwenye siasa zaidi boss. Swala la kwamba anatafuta ajira hapana boss, nimekua nikimwona mara nyingi interest zake ni siasa tu tangu zamani.Huyu anatafuta ajira tu,sio kulitumikia Taifa,vijsna kuweni wazi!!acheni janja janja!!utalitumikiaje Taifa kwa Elimu na uzoefu mdogo kiasi hicho?Bado wewe hujawa expert kwenye eneo la mafuta na gesi!!ungeniambia unaomba nafasi ya kusomeshwa PHD Ili ubobee kwenye mafuta na gesi Ili uje usaidie nchi kwenye tafiti na exploration,hapo ningeelewa,sasa u DC Tena!!hapo ni kwenda kula bata na totoz tu hakuna kitu
Anatafuta kulitumikia taifa boss.Kulitumikia Taifa,au Taifa limtumikie yeye kwa kumlipa mshahara wa U DC?kama ataanza "kulitumikia"Taifa baada ya kupewa U DC,huyo hafai kabisa Bora aseme ukweli,njaa imeuma anaomba ajira ya kuwa nyapala(wakuu wa wilaya sio technocrats,wataalam ni kama manyapala tu)Bora angeomba kazi ya uhandisi,Dakitari,uhasibu,ustawi wa jamii,yeye hapo anataka kuutumia nchi kutatua shida zake za kipato.
Diamond,Bakheresa,na wajasiriamali wengine hao ndio wanalitumikia Taifa,sio huyo anayesubiri apewe ajira
Boss hizi za uhandisi, udakitari, uhasibu au ustawi wa jamii sio kwamba atakua anajificha sana. Sasa atapataje kuonekana wakati yeye lengo lake ni kuwa mwanasiasa.Kulitumikia Taifa,au Taifa limtumikie yeye kwa kumlipa mshahara wa U DC?kama ataanza "kulitumikia"Taifa baada ya kupewa U DC,huyo hafai kabisa Bora aseme ukweli,njaa imeuma anaomba ajira ya kuwa nyapala(wakuu wa wilaya sio technocrats,wataalam ni kama manyapala tu)Bora angeomba kazi ya uhandisi,Dakitari,uhasibu,ustawi wa jamii,yeye hapo anataka kuutumia nchi kutatua shida zake za kipato.
Diamond,Bakheresa,na wajasiriamali wengine hao ndio wanalitumikia Taifa,sio huyo anayesubiri apewe ajira
Watu wajinga hamjawahi kuishaKwako mama yetu Samia Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Natumai umzima wa afya njema na unaendelea na shughuli zako za kiofisi.
Mama, ndugu yetu Elia Wilinasi ni kijana safi mwenye weledi na mzalendo anayetamani kukitumikia chama cha mapinduzi katika ngazi za juu na taifa kwa ujumla.
Alichukua fomu ya kugombea ujumbe wa hamshauri kuu ya CCM taifa kama karata yake ya kwanza kulitumikia taifa lake.
Safari hii anasubiria mkeka wa ukuu wa wilaya kwa hamu, bado anatamani kulitumikia taifa katika ngazi ya ukuu wa wilaya.
Ahsante sana.
Kazi iendelee
Sasa boss ujinga ni upi hapo.Watu wajinga hamjawahi kuisha
Boss tumwombee tu anaweza kupata. Tusikae kimya.Unajipigia promo sana na hautakuja kupata.
Wewe jamaa bana, yaani unarudia kuquote komenti ili uzi ukae juu ukumbukwe.Boss tumwombee tu anaweza kupata. Tusikae kimya.