Rais Samia nawe fanya mahojiano na waandishi wa habari kama anavyofanya Rais Mwinyi

Rais Samia nawe fanya mahojiano na waandishi wa habari kama anavyofanya Rais Mwinyi

Rais Samia amekuwa akifanya mahojiano na mwandishi mmoja mmoja lakini hii inakuwa sio nzuri kwa sababu wale waandishi wanauliza masuali yasiyokidhi kiu za wananchi

Namuona Rais Mwinyi anafanya mkutano na waandishi wa habari wengi na wanamuuliza masuali mazuri tu ambayo wananchi wanatamani Rais aulizwe, uwekezaji, kuhusu utendaji serikalini, vitu kupanda bei, kerto za maji na umeme kukatika, uhalifu n.k

Rais Samia angeitisha mkutano kama huo, sio hii ya mwandishi mmoja mmoja.
Bi Mchele hana huo uwezo!! Usituchumie janga!
 
Back
Top Bottom