Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna ufahamu kwani umeachiwa akili kiduchu ya kusifia, kwendea chooni na kuvukia barabara tu.Labda yameharibika kichwani kwako.
Vyote vinahitaji pesa kuvuna.ndio maana Rais wetu mpendwa anazunguka Ulimwenguni kwote kutafuta pesa.Nishati bora kama Gesi na Makaa ya mawe pamoja na umeme vyote vipo hapa Tanzania.
Hapana, wale ni wamasai. Yeye anaongelea wanawake.Wanawake wa Ngorongoro pia?
Kwani hufahamu nishati hizo zinahitaji pesa? Au unafikiri zinafukuliwa tu kama mchanga wa ufukweni.Sote tunajua anazunguka kwa ajili ya masilahi yao wenyewe binafsi na watu wake wa karibu sio sisi watanzania! Anatafuta fedha ya nini wakati nishati mbadala ya gesi asilia ipo hapa hapa nchini kwa wingi?
Rais Samia aache kabisa kuhadaa watanzania. Rasilimali zote tunazo anakwenda kutembea kibakuli na kutuingiza katika madeni yatakayo gharimu vizazi vijavyo.
Bi mkubwa amefeli kabisa. 2025 arudi zake Kizimkazi akalee na kucheza na wajukuu zake.
Ndiyo maana hata kwenye maandiko matakatifu tumeambiwa tuishi nao kwa akili( tahadhari)Never trust a woman!
Hivi huu msemo una ukweli, au ni uzushi tu!!
Kuishi katika ndoto ya kuwa Air HostessMadhara ya kula sana miguu ya kuku
Kwani hufahamu nishati hizo zinahitaji pesa? Au unafikiri zinafukuliwa tu kama mchanga wa ufukweni.
Kwani hufahamu nishati hizo zinahitaji pesa? Au unafikiri zinafukuliwa tu kama mchanga wa ufukweni
Kwenye Sinema ya CommandoNever trust a woman!
Hivi huu msemo una ukweli, au ni uzushi tu!!
Umesamehewa dhambi zako bure kabisaWewe hata hiyo akili yenyewe huna kabisa wewe ni kibwengo tu, sawa sawa mdogo wangu?
Anatumia pesa za umma hovyo tofauti na kwao ZanzibarSote tunajua anazunguka kwa ajili ya masilahi yao wenyewe binafsi na watu wake wa karibu sio sisi watanzania! Anatafuta fedha ya nini wakati nishati mbadala ya gesi asilia ipo hapa hapa nchini kwa wingi?
Rais Samia aache kabisa kuhadaa watanzania. Rasilimali zote tunazo anakwenda kutembea kibakuli na kutuingiza katika madeni yatakayo gharimu vizazi vijavyo.
Bi mkubwa amefeli kabisa. 2025 arudi zake Kizimkazi akalee na kucheza na wajukuu zake.