Rais Samia: Nazunguka Ulimwengu Mzima Kutafuta Fedha Kuwawezesha wanawake Wa Afrika Wapate Nishati Bora ya Kupikia

Rais Samia: Nazunguka Ulimwengu Mzima Kutafuta Fedha Kuwawezesha wanawake Wa Afrika Wapate Nishati Bora ya Kupikia

Sote tunajua anazunguka kwa ajili ya masilahi yao wenyewe binafsi na watu wake wa karibu sio sisi watanzania! Anatafuta fedha ya nini wakati nishati mbadala ya gesi asilia ipo hapa hapa nchini kwa wingi?

Rais Samia aache kabisa kuhadaa watanzania. Rasilimali zote tunazo anakwenda kutembea kibakuli na kutuingiza katika madeni yatakayo gharimu vizazi vijavyo.

Bi mkubwa amefeli kabisa. 2025 arudi zake Kizimkazi akalee na kucheza na wajukuu zake.
 
Nishati bora kama Gesi na Makaa ya mawe pamoja na umeme vyote vipo hapa Tanzania.
 
Sote tunajua anazunguka kwa ajili ya masilahi yao wenyewe binafsi na watu wake wa karibu sio sisi watanzania! Anatafuta fedha ya nini wakati nishati mbadala ya gesi asilia ipo hapa hapa nchini kwa wingi?

Rais Samia aache kabisa kuhadaa watanzania. Rasilimali zote tunazo anakwenda kutembea kibakuli na kutuingiza katika madeni yatakayo gharimu vizazi vijavyo.

Bi mkubwa amefeli kabisa. 2025 arudi zake Kizimkazi akalee na kucheza na wajukuu zake.
Kwani hufahamu nishati hizo zinahitaji pesa? Au unafikiri zinafukuliwa tu kama mchanga wa ufukweni.
 
Kwani hufahamu nishati hizo zinahitaji pesa? Au unafikiri zinafukuliwa tu kama mchanga wa ufukweni.

Kwani hufahamu nishati hizo zinahitaji pesa? Au unafikiri zinafukuliwa tu kama mchanga wa ufukweni

Kwenye uwekezaji wa gesi ni kweli pesa inahitajika ila kwa rasilimali tulizokuwa nazo tunahitaji Maarifa na teknolojia zaidi pamoja na kuweka kipaumbele kuwepo kwa sera bora zitakazo zitakazochochea, kuhamasisha na kurahisisha upatikanaji wa nishati ya gesi kwa gharama nafuu.
 
Sawa lakini asijisahau kwamba ipo siku tutakuwa na mitungi Mingi kuliko vyakula
Aboreshe na kipato cha mtz
 
Never trust a woman!
Hivi huu msemo una ukweli, au ni uzushi tu!!
Kwenye Sinema ya Commando

Sharon alimwambia Swaznegger wakati huo Sharon alikuwa Mateka na anaelekezwa kila kitu cha kufanya na Baba Damas

Kitambo sana hiyo 😂😂😂😂
 
Sote tunajua anazunguka kwa ajili ya masilahi yao wenyewe binafsi na watu wake wa karibu sio sisi watanzania! Anatafuta fedha ya nini wakati nishati mbadala ya gesi asilia ipo hapa hapa nchini kwa wingi?

Rais Samia aache kabisa kuhadaa watanzania. Rasilimali zote tunazo anakwenda kutembea kibakuli na kutuingiza katika madeni yatakayo gharimu vizazi vijavyo.

Bi mkubwa amefeli kabisa. 2025 arudi zake Kizimkazi akalee na kucheza na wajukuu zake.
Anatumia pesa za umma hovyo tofauti na kwao Zanzibar
 
Back
Top Bottom