Rais Samia ndani ya Dubai EXPO 2020 kutangaza fursa za biashara na uwekezaji Tanzania

Rais Samia ndani ya Dubai EXPO 2020 kutangaza fursa za biashara na uwekezaji Tanzania

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Na Bwanku M Bwanku.

Kwenye Gazeti la TANZANIA LEO la Leo Ijumaa Februari 25, 2022 kwenye ukurasa wa 3 nimechambua hatua ya Rais Samia kushiriki maonyesho makubwa ya Kimataifa ya Uwekezaji na biashara ya Dubai Expo 2020 huko Dubai.

Kesho Februari 26, 2022 ni Siku ya Tanzania (Tanzania Day) kwenye maonyesho hayo ambapo nchi zote 192 zilizopo hapo pamoja na Wafanyabiashara na Wawekezaji wakubwa watakuwa Wageni wa Tanzania na kuelezwa kila fursa iliyopo Tanzania kwa uwekezaji na biashara.

Rais Samia hiyo kesho Jumamosi ndiye atakuwa Mgeni rasmi kwenye Maonyesho hayo makubwa kabisa na ataeleza kwa undani fursa zilizopo nchini na kuitangazia Dunia kuja nchini kuwekeza.

Pata NAKALA ya Gazeti sasa uone namna maonyesho hayo yalivyo makubwa Duniani kote yakikusanya Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka kila pembe ya Dunia na uone ushiriki wa Rais Samia kutangaza fursa zilizopo nchini utakavyoshusha Uwekezaji mkubwa nchini.

bwanku55@gmail.com

IMG-20220225-WA0009.jpg


IMG-20220224-WA0014.jpg


FB_IMG_1645728710829.jpg
 
Huyu Rais Samia anajua kuendesha nchi, Tanzania sio kisiwa ni lazima iende na Dunia ili maendeleo makubwa zaidi yaje nchini. Huo utajiri tunaojisifu nao kama hatujautangaza na kuleta Wafanyabiashara wa kufanya nao kazi itakuwa bure. Heko Rais Samia kwa kuendelea kuifungua nchi zaidi. Kwa mwendo huu wa Mama, soon hii nchi itakuwa mbali sana sana.
 
Hivi hadi jambo jema kama hili ni la kupinga/kuponda?
Watanzania ni wajinga na wabinafsi sana huku wakijificha kwenye koti la Uzalendo.. Hakuna cha uzalendo ila ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya watanzania ni wajinga na wabinafsi..
Hao wanaopinga ni kwa sababu zao binafsi ila kwa hili analolifanya mama juu ya maonyesho ya DubaiExpo 2020 anahitaji pongezi na kupewa moyo. Ni mtu mjinga tu hatoona faida ya anachofanya mama.
Hongera mama, endelea kufungua nchi.
..
.
 
Na Bwanku M Bwanku.

Kwenye Gazeti la TANZANIA LEO la Leo Ijumaa Februari 25, 2022 kwenye ukurasa wa 3 nimechambua hatua ya Rais Samia kushiriki maonyesho makubwa ya Kimataifa ya Uwekezaji na biashara ya Dubai Expo 2020 huko Dubai.

Kesho Februari 26, 2022 ni Siku ya Tanzania (Tanzania Day) kwenye maonyesho hayo ambapo nchi zote 192 zilizopo hapo pamoja na Wafanyabiashara na Wawekezaji wakubwa watakuwa Wageni wa Tanzania na kuelezwa kila fursa iliyopo Tanzania kwa uwekezaji na biashara. Rais Samia hiyo kesho Jumamosi ndiye atakuwa Mgeni rasmi kwenye Maonyesho hayo makubwa kabisa na ataeleza kwa undani fursa zilizopo nchini na kuitangazia Dunia kuja nchini kuwekeza. Pata NAKALA ya Gazeti sasa uone namna maonyesho hayo yalivyo makubwa Duniani kote yakikusanya Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka kila pembe ya Dunia na uone ushiriki wa Rais Samia kutangaza fursa zilizopo nchini utakavyoshusha Uwekezaji mkubwa nchini.

bwanku55@gmail.com

View attachment 2130578

View attachment 2130579

View attachment 2130580
Rais anaenda kwenye maonesho Waziri wa biashara ana kazi Gani!!
 
Hivi hadi jambo jema kama hili ni la kupinga/kuponda?
Watanzania ni wajinga na wabinafsi sana huku wakijificha kwenye koti la Uzalendo.. Hakuna cha uzalendo ila ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya watanzania ni wajinga na wabinafsi..
Hapo umeona Kuna jipya gani?
 
Na Bwanku M Bwanku.

Kwenye Gazeti la TANZANIA LEO la Leo Ijumaa Februari 25, 2022 kwenye ukurasa wa 3 nimechambua hatua ya Rais Samia kushiriki maonyesho makubwa ya Kimataifa ya Uwekezaji na biashara ya Dubai Expo 2020 huko Dubai.

Kesho Februari 26, 2022 ni Siku ya Tanzania (Tanzania Day) kwenye maonyesho hayo ambapo nchi zote 192 zilizopo hapo pamoja na Wafanyabiashara na Wawekezaji wakubwa watakuwa Wageni wa Tanzania na kuelezwa kila fursa iliyopo Tanzania kwa uwekezaji na biashara. Rais Samia hiyo kesho Jumamosi ndiye atakuwa Mgeni rasmi kwenye Maonyesho hayo makubwa kabisa na ataeleza kwa undani fursa zilizopo nchini na kuitangazia Dunia kuja nchini kuwekeza. Pata NAKALA ya Gazeti sasa uone namna maonyesho hayo yalivyo makubwa Duniani kote yakikusanya Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka kila pembe ya Dunia na uone ushiriki wa Rais Samia kutangaza fursa zilizopo nchini utakavyoshusha Uwekezaji mkubwa nchini.

bwanku55@gmail.com

View attachment 2130578

View attachment 2130579

View attachment 2130580
Tena tareh.27 February ni siku maalumu ya Tanzania👇

Screenshot_20220225-091655.png


Screenshot_20220224-161357.png


Screenshot_20220224-152511.png
 
Back
Top Bottom