Rais Samia ndani ya Dubai EXPO 2020 kutangaza fursa za biashara na uwekezaji Tanzania

Rais Samia ndani ya Dubai EXPO 2020 kutangaza fursa za biashara na uwekezaji Tanzania

Rais ana uzito,analeta attention kwa wawekezaji
Kuna haja ya kuwa na balozi sasa ?

Unafikiri ni wananchi asilimia ngapi wa U.A.E wanamjua huyo mama?

Na attention ipi unayoizungumza ataileta?

Nilitarajia hiyo Expo ingefanyika Tanzania na huyu mama akawa mgeni rasmi ndio ungesema anatengeneza attention sababu asilimia kubwa attention ingekuwa Tanzania.

Hiyo siku watakao kuwa wa ufuatiliaji ni watakaokuwapo kwenye tukio hilo.
 
Na Bwanku M Bwanku.

Kwenye Gazeti la TANZANIA LEO la Leo Ijumaa Februari 25, 2022 kwenye ukurasa wa 3 nimechambua hatua ya Rais Samia kushiriki maonyesho makubwa ya Kimataifa ya Uwekezaji na biashara ya Dubai Expo 2020 huko Dubai.

Kesho Februari 26, 2022 ni Siku ya Tanzania (Tanzania Day) kwenye maonyesho hayo ambapo nchi zote 192 zilizopo hapo pamoja na Wafanyabiashara na Wawekezaji wakubwa watakuwa Wageni wa Tanzania na kuelezwa kila fursa iliyopo Tanzania kwa uwekezaji na biashara.

Rais Samia hiyo kesho Jumamosi ndiye atakuwa Mgeni rasmi kwenye Maonyesho hayo makubwa kabisa na ataeleza kwa undani fursa zilizopo nchini na kuitangazia Dunia kuja nchini kuwekeza.

Pata NAKALA ya Gazeti sasa uone namna maonyesho hayo yalivyo makubwa Duniani kote yakikusanya Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka kila pembe ya Dunia na uone ushiriki wa Rais Samia kutangaza fursa zilizopo nchini utakavyoshusha Uwekezaji mkubwa nchini.

bwanku55@gmail.com

View attachment 2130578

View attachment 2130579

View attachment 2130580
Kitendo cha Rais kwenda Dubai kutangaza utalii, bado inaonyesha ni jinsi gani mfumo wa utawala usivyoweza kuaminika mbele ya Rais. Mabalozi na viongozi wengine wako wapi kutumwa kumwakilisha Rais. Period!
 
Na Bwanku M Bwanku.

Kwenye Gazeti la TANZANIA LEO la Leo Ijumaa Februari 25, 2022 kwenye ukurasa wa 3 nimechambua hatua ya Rais Samia kushiriki maonyesho makubwa ya Kimataifa ya Uwekezaji na biashara ya Dubai Expo 2020 huko Dubai.

Kesho Februari 26, 2022 ni Siku ya Tanzania (Tanzania Day) kwenye maonyesho hayo ambapo nchi zote 192 zilizopo hapo pamoja na Wafanyabiashara na Wawekezaji wakubwa watakuwa Wageni wa Tanzania na kuelezwa kila fursa iliyopo Tanzania kwa uwekezaji na biashara.

Rais Samia hiyo kesho Jumamosi ndiye atakuwa Mgeni rasmi kwenye Maonyesho hayo makubwa kabisa na ataeleza kwa undani fursa zilizopo nchini na kuitangazia Dunia kuja nchini kuwekeza.

Pata NAKALA ya Gazeti sasa uone namna maonyesho hayo yalivyo makubwa Duniani kote yakikusanya Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka kila pembe ya Dunia na uone ushiriki wa Rais Samia kutangaza fursa zilizopo nchini utakavyoshusha Uwekezaji mkubwa nchini.

bwanku55@gmail.com

View attachment 2130578

View attachment 2130579

View attachment 2130580
Halafu dogo nilijua hili sio jina lako halisi
 
Kuna haja ya kuwa na balozi sasa ?

Unafikiri ni wananchi asilimia ngapi wa U.A.E wanamjua huyo mama?

Na attention ipi unayoizungumza ataileta?

Nilitarajia hiyo Expo ingefanyika Tanzania na huyu mama akawa mgeni rasmi ndio ungesema anatengeneza attention sababu asilimia kubwa attention ingekuwa Tanzania.

Hiyo siku watakao kuwa wa ufuatiliaji ni watakaokuwapo kwenye tukio hilo.

Mtaishia hivyo hivyo,Samia sio mjinga wala punguane kama yule mtu wenu.

Rubbish kama nyie tunawapuuza afu tunaendelea na Kazi,nje kula tulivyowatafutia👇

Screenshot_20220225-154226.png


Screenshot_20220225-155107.png


Screenshot_20220225-154431.png


Screenshot_20220225-152918.png


Screenshot_20220225-152727.png


Screenshot_20220225-152250.png
 
Na Bwanku M Bwanku.

Kwenye Gazeti la TANZANIA LEO la Leo Ijumaa Februari 25, 2022 kwenye ukurasa wa 3 nimechambua hatua ya Rais Samia kushiriki maonyesho makubwa ya Kimataifa ya Uwekezaji na biashara ya Dubai Expo 2020 huko Dubai.

Kesho Februari 26, 2022 ni Siku ya Tanzania (Tanzania Day) kwenye maonyesho hayo ambapo nchi zote 192 zilizopo hapo pamoja na Wafanyabiashara na Wawekezaji wakubwa watakuwa Wageni wa Tanzania na kuelezwa kila fursa iliyopo Tanzania kwa uwekezaji na biashara.

Rais Samia hiyo kesho Jumamosi ndiye atakuwa Mgeni rasmi kwenye Maonyesho hayo makubwa kabisa na ataeleza kwa undani fursa zilizopo nchini na kuitangazia Dunia kuja nchini kuwekeza.

Pata NAKALA ya Gazeti sasa uone namna maonyesho hayo yalivyo makubwa Duniani kote yakikusanya Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka kila pembe ya Dunia na uone ushiriki wa Rais Samia kutangaza fursa zilizopo nchini utakavyoshusha Uwekezaji mkubwa nchini.

bwanku55@gmail.com

View attachment 2130578

View attachment 2130579

View attachment 2130580
Mama anakwenda shopping huyo! Hiyo siyo kazi ya raid! Ila Tz kamani hadi huruma! Eh Mungu uturehemu waja wako🙏!
 
✓Fursa ya kuvutia uwekezaji nchini kwa sababu yananakutanisha wafanyabiashara, watoa huduma na wawekezaji kutoka mataifa mengi kwa wakati mmoja

✓Fursa ya kutangaza na kuonesha mazao, bidhaa, utamaduni, sanaa na huduma zinazozalishwa na kutolewa nchini hivyo kufungua na kupata masoko mapya kwani yanakutanisha nchi nyingi na makampuni mengi ya kibiashara kwa wakati mmoja

✓Fursa ya kukuza chapa ya Nchi yetu (Brand) kwa sababu yanakutanisha nchi nyingi na yanafuatiliwa na watu wengi duniani

#CCMImara
#TunaifunguaNchiKimataifa
#TunaifunguaNchiKiuchumi
#KaziIendelee
IMG-20220225-WA0024.jpg
 
Back
Top Bottom