Mara mia Kikwete, dah ila yule Jiwe aisee sijui kama sasa hivi tungekuwa wapi kama Mungu asingeingilia kati.Twambie matokeo ya kikwete pale alipofungua nchi mpaka madilisha.
Nchi ilifikia ulaya gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara mia Kikwete, dah ila yule Jiwe aisee sijui kama sasa hivi tungekuwa wapi kama Mungu asingeingilia kati.Twambie matokeo ya kikwete pale alipofungua nchi mpaka madilisha.
Nchi ilifikia ulaya gani?
Kazi zingine kama waziri. Wewe hapo una kazi gani?Rais anaenda kwenye maonesho Waziri wa biashara ana kazi Gani!!
Unataka kutoboa nini mzee wa legacy a.k.a mnyongeDuh tutatoboa kweli kwa staili hii??
Kuna haja ya kuwa na balozi sasa ?Rais ana uzito,analeta attention kwa wawekezaji
Kitendo cha Rais kwenda Dubai kutangaza utalii, bado inaonyesha ni jinsi gani mfumo wa utawala usivyoweza kuaminika mbele ya Rais. Mabalozi na viongozi wengine wako wapi kutumwa kumwakilisha Rais. Period!Na Bwanku M Bwanku.
Kwenye Gazeti la TANZANIA LEO la Leo Ijumaa Februari 25, 2022 kwenye ukurasa wa 3 nimechambua hatua ya Rais Samia kushiriki maonyesho makubwa ya Kimataifa ya Uwekezaji na biashara ya Dubai Expo 2020 huko Dubai.
Kesho Februari 26, 2022 ni Siku ya Tanzania (Tanzania Day) kwenye maonyesho hayo ambapo nchi zote 192 zilizopo hapo pamoja na Wafanyabiashara na Wawekezaji wakubwa watakuwa Wageni wa Tanzania na kuelezwa kila fursa iliyopo Tanzania kwa uwekezaji na biashara.
Rais Samia hiyo kesho Jumamosi ndiye atakuwa Mgeni rasmi kwenye Maonyesho hayo makubwa kabisa na ataeleza kwa undani fursa zilizopo nchini na kuitangazia Dunia kuja nchini kuwekeza.
Pata NAKALA ya Gazeti sasa uone namna maonyesho hayo yalivyo makubwa Duniani kote yakikusanya Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka kila pembe ya Dunia na uone ushiriki wa Rais Samia kutangaza fursa zilizopo nchini utakavyoshusha Uwekezaji mkubwa nchini.
bwanku55@gmail.com
View attachment 2130578
View attachment 2130579
View attachment 2130580
Wanakwenda pamojaRais anaenda kwenye maonesho Waziri wa biashara ana kazi Gani!!
Halafu dogo nilijua hili sio jina lako halisiNa Bwanku M Bwanku.
Kwenye Gazeti la TANZANIA LEO la Leo Ijumaa Februari 25, 2022 kwenye ukurasa wa 3 nimechambua hatua ya Rais Samia kushiriki maonyesho makubwa ya Kimataifa ya Uwekezaji na biashara ya Dubai Expo 2020 huko Dubai.
Kesho Februari 26, 2022 ni Siku ya Tanzania (Tanzania Day) kwenye maonyesho hayo ambapo nchi zote 192 zilizopo hapo pamoja na Wafanyabiashara na Wawekezaji wakubwa watakuwa Wageni wa Tanzania na kuelezwa kila fursa iliyopo Tanzania kwa uwekezaji na biashara.
Rais Samia hiyo kesho Jumamosi ndiye atakuwa Mgeni rasmi kwenye Maonyesho hayo makubwa kabisa na ataeleza kwa undani fursa zilizopo nchini na kuitangazia Dunia kuja nchini kuwekeza.
Pata NAKALA ya Gazeti sasa uone namna maonyesho hayo yalivyo makubwa Duniani kote yakikusanya Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka kila pembe ya Dunia na uone ushiriki wa Rais Samia kutangaza fursa zilizopo nchini utakavyoshusha Uwekezaji mkubwa nchini.
bwanku55@gmail.com
View attachment 2130578
View attachment 2130579
View attachment 2130580
Bila kutumia huwezi kupata.Ukianzisha biashara,ili upate unanunua,halafu unauza ndio unapata faida.Pesa ukiiweka bila kuizalisha,haizalishi,inakwisha,tumia akili.Matumizi mabaya ya fedha za umma
Wapuuzi nyie enzi ya dikteta mlikuwa mnashangilia kuwa anabana matumizi hasafiriBila kutumia huwezi kupata.Ukianzisha biashara,ili upate unanunua,halafu unauza ndio unapata faida.Pesa ukiiweka bila kuizalisha,haizalishi,inakwisha,tumia akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa anawakilishwa na makamo wake na mawaziri,kutokana na Afya yake,tumuache apumzike,amefanya mengi,na matunda tumeyaona.Wapuuzi nyie enzi ya dikteta mlikuwa mnashangilia kuwa anabana matumizi hasafiri
Kuna haja ya kuwa na balozi sasa ?
Unafikiri ni wananchi asilimia ngapi wa U.A.E wanamjua huyo mama?
Na attention ipi unayoizungumza ataileta?
Nilitarajia hiyo Expo ingefanyika Tanzania na huyu mama akawa mgeni rasmi ndio ungesema anatengeneza attention sababu asilimia kubwa attention ingekuwa Tanzania.
Hiyo siku watakao kuwa wa ufuatiliaji ni watakaokuwapo kwenye tukio hilo.
Labda matunda ya maembeAlikuwa anawakilishwa na makamo wake na mawaziri,kutokana na Afya yake,tumuache apumzike,amefanya mengi,na matunda tumeyaona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama anakwenda shopping huyo! Hiyo siyo kazi ya raid! Ila Tz kamani hadi huruma! Eh Mungu uturehemu waja wako🙏!Na Bwanku M Bwanku.
Kwenye Gazeti la TANZANIA LEO la Leo Ijumaa Februari 25, 2022 kwenye ukurasa wa 3 nimechambua hatua ya Rais Samia kushiriki maonyesho makubwa ya Kimataifa ya Uwekezaji na biashara ya Dubai Expo 2020 huko Dubai.
Kesho Februari 26, 2022 ni Siku ya Tanzania (Tanzania Day) kwenye maonyesho hayo ambapo nchi zote 192 zilizopo hapo pamoja na Wafanyabiashara na Wawekezaji wakubwa watakuwa Wageni wa Tanzania na kuelezwa kila fursa iliyopo Tanzania kwa uwekezaji na biashara.
Rais Samia hiyo kesho Jumamosi ndiye atakuwa Mgeni rasmi kwenye Maonyesho hayo makubwa kabisa na ataeleza kwa undani fursa zilizopo nchini na kuitangazia Dunia kuja nchini kuwekeza.
Pata NAKALA ya Gazeti sasa uone namna maonyesho hayo yalivyo makubwa Duniani kote yakikusanya Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka kila pembe ya Dunia na uone ushiriki wa Rais Samia kutangaza fursa zilizopo nchini utakavyoshusha Uwekezaji mkubwa nchini.
bwanku55@gmail.com
View attachment 2130578
View attachment 2130579
View attachment 2130580
Mtu wenu ni yule kichaa mliempa uongozi wa juu..Mtaishia hivyo hivyo,Samia sio mjinga wala punguane kama yule mtu wenu.
Rubbish kama nyie tunawapuuza afu tunaendelea na Kazi,nje kula tulivyowatafutia👇
View attachment 2130799
View attachment 2130800
View attachment 2130801
View attachment 2130802
View attachment 2130803
View attachment 2130804
Uchumi ulikua na kila mtu aliona,ukifika 7%+..yule ngosha akauporomosha mpaka 4 huko,na maisha magumu,biashara zikifa