Rais Samia ndani ya Dubai EXPO 2020 kutangaza fursa za biashara na uwekezaji Tanzania

Rais Samia ndani ya Dubai EXPO 2020 kutangaza fursa za biashara na uwekezaji Tanzania

Imani potofu zile zile za kuona unaibiwa. JPM aliwapata wa aina yako, wanaodhani siku zote mwafrika anaibiwa. Yeye hachangii uchumi wa dunia ila likija suala la kuibiwa ni wa kwanza!.

Wawekezaji wanatafutwa mpaka na kina Trump na Biden sembuse Samia. Masoko huenda yakibadilika, matakwa ya biashara huenda yakibadilika, dunia haibaki kuwa ni ile ile ya miaka kumi au ishirini nyuma.
Mwenzake Kikwete alizurura hivi,eti anatafuta wawekezaji mbona hatukuwai kuona Mambo yakibadilika? Sanasana tuliona wachina na wakina dowans wakisaini mikataba ya mangungo, Kama si Magufuri kusimama imara na kukataa Nchi ingelifilisika tu.auwezi kuendelea kwakutegemea ela ya mwenzako, mwekezaji ni mfanyabishara,akuna Mfanyabishara asiyetaka faida,ningelimwona wa Samia wa maana Kama angewezesha wazawa Kwanza, wazawa Ndio wajenga nchi.
 
Mwenzake Kikwete alizurura hivi,eti anatafuta wawekezaji mbona hatukuwai kuona Mambo yakibadilika? Sanasana tuliona wachina na wakina dowans wakisaini mikataba ya mangungo, Kama si Magufuri kusimama imara na kukataa Nchi ingelifilisika tu.auwezi kuendelea kwakutegemea ela ya mwenzako, mwekezaji ni mfanyabishara,akuna Mfanyabishara asiyetaka faida,ningelimwona wa Samia wa maana Kama angewezesha wazawa Kwanza, wazawa Ndio wajenga nchi.
Ukweli mchungu ni kuwa no serious investor anapatikana kwa staili hii.

Wala hao matajiri wakubwa duniani hakuna anayekuja Afrika kuwekeza.

Wanaokuja huku ni madalali
 
Mwenzake Kikwete alizurura hivi,eti anatafuta wawekezaji mbona hatukuwai kuona Mambo yakibadilika? Sanasana tuliona wachina na wakina dowans wakisaini mikataba ya mangungo, Kama si Magufuri kusimama imara na kukataa Nchi ingelifilisika tu.auwezi kuendelea kwakutegemea ela ya mwenzako, mwekezaji ni mfanyabishara,akuna Mfanyabishara asiyetaka faida,ningelimwona wa Samia wa maana Kama angewezesha wazawa Kwanza, wazawa Ndio wajenga nchi.
Wazawa wanachojua ni kulalamika tu. Siku zote ni waharibifu wanapopewa fursa ya kimaendeleo. JK safari za nje ndio zilileta MOI na huduma zote. Ndio zilizoleta mwendo kasi.

Mtanzania hana akili ya kibiashara, hana ubunifu siku zote anafikiria kummaliza mwenzake. Wenye maono wanaelewa SSH kafuata nini Dubai.
 
Kukicha yuko safari.. huku nchi haina umeme, kila siku mgao. Watu wanashinda na kulala bila umeme kila siku. Huku kaachia nchi washkaji zake.
 
Kama kawaida, kaenda kukopa, hela zije ziliwe na wajanja.
 
From Kikwete anasafiri sana..
JPM unatakiwa kusafiri...
Samia anasafiri sana kwa faida..

Huyu Rais Samia anajua kuendesha nchi, Tanzania sio kisiwa ni lazima iende na Dunia ili maendeleo makubwa zaidi yaje nchini. Huo utajiri tunaojisifu nao kama hatujautangaza na kuleta Wafanyabiashara wa kufanya nao kazi itakuwa bure. Heko Rais Samia kwa kuendelea kuifungua nchi zaidi. Kwa mwendo huu wa Mama, soon hii nchi itakuwa mbali sana sana.
 
Huyu Rais Samia anajua kuendesha nchi, Tanzania sio kisiwa ni lazima iende na Dunia ili maendeleo makubwa zaidi yaje nchini. Huo utajiri tunaojisifu nao kama hatujautangaza na kuleta Wafanyabiashara wa kufanya nao kazi itakuwa bure. Heko Rais Samia kwa kuendelea kuifungua nchi zaidi. Kwa mwendo huu wa Mama, soon hii nchi itakuwa mbali sana sana.
Tuliongozwa na mtu katili sana 2015-2021
 
Wazawa wanachojua ni kulalamika tu. Siku zote ni waharibifu wanapopewa fursa ya kimaendeleo. JK safari za nje ndio zilileta MOI na huduma zote. Ndio zilizoleta mwendo kasi.

Mtanzania hana akili ya kibiashara, hana ubunifu siku zote anafikiria kummaliza mwenzake. Wenye maono wanaelewa SSH kafuata nini Dubai.
Hana akili kivipi? angalia Mwekezaji wa nje Mambo anayofanyiwa akija kuwekeza, kwanza anapewa miaka 5 yakuangalia biashara yake,halipi chochote hiyo Miaka ikiisha biashara haijachanganua anaongezewa 5tena, sasa nenda kwa mzawa biashara haujaanza TRA tiyari wameisha kukukadilia,uwezi anza biashara pasipo malipo ya hiyo biashara,mzawa ana mda wa uangalizi, alafu eti ushindane na mgeni, Watanzania Sio wavivu Kama unavyosema, mbona akina Mo,Backressa na wengi wanafanya vizuri tu hata kimataifa?nenda kwenye madini makampuni ya wazawa na wazawa wameingiza pato kubwa selikalini kuliko hayo makampuni ya wazungu mnaowakimbilia,Nchi inajengwa na wazawa tu mwekezaji ni mfanyabishara tu,anakuja kuchuma,hayo Mambo ya kufirisi miladi ni usimamizi na uongozi mbaya,watu wanapeana vyeo kwa kijuana, mfno angalia Tanesco tumekaa Miaka 5 matatizo ya umeme tulikuwa tumeisha sahau na makusanyo yakiwa yameongezeka.Kaingia utawala mwingine kafukuza menejiment yote kuanzia Waziri hadi wakurugenzi wa bodi, Watu waliokuwa wakifanya vizuri miaka 5 kaweka wapya angalia ambao hawana hata utahalamu wa Mambo ya umeme,wamewekwa wataalamu wa biashara eti wandeshe shirika kama tanesco inayoitaji kuendeshwa kitaaramu,
Wazawa wanachojua ni kulalamika tu. Siku zote ni waharibifu wanapopewa fursa ya kimaendeleo. JK safari za nje ndio zilileta MOI na huduma zote. Ndio zilizoleta mwendo kasi.

Mtanzania hana akili ya kibiashara, hana ubunifu siku zote anafikiria kummaliza mwenzake. Wenye maono wanaelewa SSH kafuata nini Dubai.
Moi hipi Mpaka Kikwete anaondoka madarakani Muhimbili wagonjwa walikuwa wanakosa hadi vitanda,wajawazito ndio usiseme,rushwa ilikuwa imekidhiri Mama alikuwa hawezi jifungua mpaka atoe rushwa kwa nesi au Dakota,Samia atapata wawekezaji Kama aliopata Kikwete akina AgreeCo na IPIL makampuni ya kinyonyaji tu, Sasahivi naona ameisha anza biashara ya kuuza mbuga.Subiri muone, Watu mgejifunza tu Kikwete alibinafishisha Shirika la Reli lilifika wapi,kama Sio kuokolewa na wazawa?
 
Unapokuwa na mabalozi wenye weledi huna haja ya kwenda kwenye shuhuri kama hizi unless wewe ndio GUEST OF HONOUR!! Unapoteua mabalozi kwa upendeleo bila kufuata weledi matokeo yake ndio hayo inabidi viongozi wafanye kazi za kibalozi hivyo kuwa mzigo kwa nchi!! Msiteue watu kufuatana na undugu wenu mtaiua nchi ; you better be MERITOCRATIC in order to develop your country.
Vyeo vyote ni vya shukrani kwa makada mkuu
 
Hana akili kivipi? angalia Mwekezaji wa nje Mambo anayofanyiwa akija kuwekeza, kwanza anapewa miaka 5 yakuangalia biashara yake,halipi chochote hiyo Miaka ikiisha biashara haijachanganua anaongezewa 5tena, sasa nenda kwa mzawa biashara haujaanza TRA tiyari wameisha kukukadilia,uwezi anza biashara pasipo malipo ya hiyo biashara,mzawa ana mda wa uangalizi, alafu eti ushindane na mgeni, Watanzania Sio wavivu Kama unavyosema, mbona akina Mo,Backressa na wengi wanafanya vizuri tu hata kimataifa?nenda kwenye madini makampuni ya wazawa na wazawa wameingiza pato kubwa selikalini kuliko hayo makampuni ya wazungu mnaowakimbilia,Nchi inajengwa na wazawa tu mwekezaji ni mfanyabishara tu,anakuja kuchuma,hayo Mambo ya kufirisi miladi ni usimamizi na uongozi mbaya,watu wanapeana vyeo kwa kijuana, mfno angalia Tanesco tumekaa Miaka 5 matatizo ya umeme tulikuwa tumeisha sahau na makusanyo yakiwa yameongezeka.Kaingia utawala mwingine kafukuza menejiment yote kuanzia Waziri hadi wakurugenzi wa bodi, Watu waliokuwa wakifanya vizuri miaka 5 kaweka wapya angalia ambao hawana hata utahalamu wa Mambo ya umeme,wamewekwa wataalamu wa biashara eti wandeshe shirika kama tanesco inayoitaji kuendeshwa kitaaramu,

Moi hipi Mpaka Kikwete anaondoka madarakani Muhimbili wagonjwa walikuwa wanakosa hadi vitanda,wajawazito ndio usiseme,rushwa ilikuwa imekidhiri Mama alikuwa hawezi jifungua mpaka atoe rushwa kwa nesi au Dakota,Samia atapata wawekezaji Kama aliopata Kikwete akina AgreeCo na IPIL makampuni ya kinyonyaji tu, Sasahivi naona ameisha anza biashara ya kuuza mbuga.Subiri muone, Watu mgejifunza tu Kikwete alibinafishisha Shirika la Reli lilifika wapi,kama Sio kuokolewa na wazawa?
Shirika la reli alibinafsisha Mkapa akaleta wahindi. Wawekezaji wa ndani wanapungukiwa na maarifa ya biashara (know how). Wanapungukiwa na anidhamu ya uwekezaji inayowezesha biashara za wenzetu kudumu miaka na miaka.

Mo, Bakhresa na wengine wachache ni matunda ya kujituma na nidhamu ya biashara. Wengi wao huishia njiani. Faida ya wawekezaji ni uingizaji wa tekonolojia mpya inayokuwa ni changamoto kwa biashara za kizalendo.

Huingiza ushindani wa kiwango cha kimataifa, husisimua ukuaji wa ufanyaji wa biashara. Mzalendo ni kweli siku zote yupo hapa na atafia hapa, lakini kwa muda mchache anaokuwa katika ushindani na mgeni, ule ufanisi wake unaongezeka tofauti na ambavyo angekuwa ni yeye na wazalendo wenzake.

JK kafanya mengi sana, ni kwa vile tu tunajikita katika kukosoa kuliko kuangalia mema ya uongozi wa awamu fulani.
 
Wazawa wanachojua ni kulalamika tu. Siku zote ni waharibifu wanapopewa fursa ya kimaendeleo. JK safari za nje ndio zilileta MOI na huduma zote. Ndio zilizoleta mwendo kasi.

Mtanzania hana akili ya kibiashara, hana ubunifu siku zote anafikiria kummaliza mwenzake. Wenye maono wanaelewa SSH kafuata nini Dubai.
Una akili sawa sawa wewe? Kitu gani kimewekezwa hapo MOI..kwa hiyo hata ukijengewa choo cha kulipia na mgeni wewe unahesabu ni uwekezaji? Hakuna biashara ya uwekezaji inaweza kufanikiwa km wazawa si sehemu ya uwekezaji, hao unaowafata waje kipimo chao ni utayari wa wazawa kushiriki uwekezaji km upo..hapo ndio pa kuanzia, hakuna wafanyabiashara Tanzania tuna wababaishaji tu na madalali..kazi ya kuandaa na kujenga wafanyabiashara waaminifu, wenye elimu ya kufanya biashara nk ni kazi ya serikali km kweli inafahamu umuhimu wa rasilimali tulizo nazo..ni kupoteza muda na kudharauliwa kwenda kuita watu nje waje kuwekeza bila kuandaa kwanza watu..ni mtizamo wa kimaskini kabisa! Miaka 60 ya uhuru ni umri wa mtu mzima, watu wanashangaa mtu mzima wa umri huo matendo yake ni km ya mtoto wa miaka 5!
 
Una akili sawa sawa wewe? Kitu gani kimewekezwa hapo MOI..kwa hiyo hata ukijengewa choo cha kulipia na mgeni wewe unahesabu ni uwekezaji? Hakuna biashara ya uwekezaji inaweza kufanikiwa km wazawa si sehemu ya uwekezaji, hao unaowafata waje kipimo chao ni utayari wa wazawa kushiriki uwekezaji km upo..hapo ndio pa kuanzia, hakuna wafanyabiashara Tanzania tuna wababaishaji tu na madalali..kazi ya kuandaa na kujenga wafanyabiashara waaminifu, wenye elimu ya kufanya biashara nk ni kazi ya serikali km kweli inafahamu umuhimu wa rasilimali tulizo nazo..ni kupoteza muda na kudharauliwa kwenda kuita watu nje waje kuwekeza bila kuandaa kwanza watu..ni mtizamo wa kimaskini kabisa! Miaka 60 ya uhuru ni umri wa mtu mzima, watu wanashangaa mtu mzima wa umri huo matendo yake ni km ya mtoto wa miaka 5!
Unamlaumu nani sasa?. MOI wamejenga wageni, kama tulikuwa tunao uwezo si tungejenga sisi wenyewe?.

Umeshajiuliza ni kwanini makampuni ya makandarasi ya kizalendo huwa yanakosa kazi na hivyo kukosa pesa nyingi za miradi?.

Nadhani unakumbuka kilio cha JPM alipowaambia watu wa madawa kwamba pesa za SADC zinatupita kwani hatuna viwanda vya kizalendo ambavyo vingeweza kupata fedha maalum ya bajeti ya madawa.

Kuwa na miaka 60 ya uhuru na akili ya mtoto wa miaka mitano kunachangiwa na mengi ukiwemo kwa kiasi kikubwa ujinga wetu wenyewe na uwezo mkubwa wa kukomoana badala ya kusaidiana.
 
Shirika la reli alibinafsisha Mkapa akaleta wahindi. Wawekezaji wa ndani wanapungukiwa na maarifa ya biashara (know how). Wanapungukiwa na anidhamu ya uwekezaji inayowezesha biashara za wenzetu kudumu miaka na miaka.

Mo, Bakhresa na wengine wachache ni matunda ya kujituma na nidhamu ya biashara. Wengi wao huishia njiani. Faida ya wawekezaji ni uingizaji wa tekonolojia mpya inayokuwa ni changamoto kwa biashara za kizalendo.

Huingiza ushindani wa kiwango cha kimataifa, husisimua ukuaji wa ufanyaji wa biashara. Mzalendo ni kweli siku zote yupo hapa na atafia hapa, lakini kwa muda mchache anaokuwa katika ushindani na mgeni, ule ufanisi wake unaongezeka tofauti na ambavyo angekuwa ni yeye na wazalendo wenzake.

JK kafanya mengi sana, ni kwa vile tu tunajikita katika kukosoa kuliko kuangalia mema
Kipi kilichopewa mwekezaji kikaendelea,viwanda vyote walipewa wawekezaji vyote viko hoi pamoja na kupinafishisha labda tbl tu, Tanzania tunakosa viongozi wa kusimamia tu,kila mmoja akipewa cheo anataka ashinde ulaya akipiga picha na viongozi wa uko utafikiri ndio waliomchagua,tazama Makamba alivyopata uwaziri wa nishati, ziara ya kwanza kwa Warabu na ulaya utafikiri sisi tunaitaji kuona sura za Warabu na Wazungu.Nchi hii haiwezi kuendelea kwakutegemea wawekezaji,hata hao wazungu waliita watu wenye mitaji kuwekeza baada ya kuwezesha watu wao kielimu na kuwapa mitaji,pale walipoona watu wao wameshindwa ndipo wakaita wenye mitaji mikubwa wakawekeza, Sio Kama huku hata jambo analoliweza mzawa wanampa mwekezaji.upuuzi mtupu
ya uongozi wa awamu fulani.a
 
Kipi kilichopewa mwekezaji kikaendelea,viwanda vyote walipewa wawekezaji vyote viko hoi pamoja na kupinafishisha labda tbl tu, Tanzania tunakosa viongozi wa kusimamia tu,kila mmoja akipewa cheo anataka ashinde ulaya akipiga picha na viongozi wa uko utafikiri ndio waliomchagua,tazama Makamba alivyopata uwaziri wa nishati, ziara ya kwanza kwa Warabu na ulaya utafikiri sisi tunaitaji kuona sura za Warabu na Wazungu.Nchi hii haiwezi kuendelea kwakutegemea wawekezaji,hata hao wazungu waliita watu wenye mitaji kuwekeza baada ya kuwezesha watu wao kielimu na kuwapa mitaji,pale walipoona watu wao wameshindwa ndipo wakaita wenye mitaji mikubwa wakawekeza, Sio Kama huku hata jambo analoliweza mzawa wanampa mwekezaji.upuuzi mtupu
Hakuna anayetuzuia kupata elimu, na siku zote tunatumia pesa nyingi kuitafuta hiyo elimu nchi za nje. Kujidanganya kwamba unaweza ukajitegemea kwa kutegemea mapato ya ndani ni kosa alilolifanya hayati JPM.

Wazo kuwa zuri haimaanishi kuwa utekelezaji wake na wenyewe utakuwa mzuri. Kujitegemea kwa kumkwepa mzungu na mtu wa nje nikujiongopea.

Wazungu ni kama maji, usipoyaoga basi utayanywa.
 
Hivi hadi jambo jema kama hili ni la kupinga/kuponda?
Watanzania ni wajinga na wabinafsi sana huku wakijificha kwenye koti la Uzalendo.. Hakuna cha uzalendo ila ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya watanzania ni wajinga na wabinafsi..
Hao wanaopinga ni kwa sababu zao binafsi ila kwa hili analolifanya mama juu ya maonyesho ya DubaiExpo 2020 anahitaji pongezi na kupewa moyo. Ni mtu mjinga tu hatoona faida ya anachofanya mama.
Hongera mama, endelea kufungua nchi.
..
.
Wengine vichwani mwao kumejaa fikra za hayati JPM, ni watu wapo very loyal kwa falsafa zake kiasi hawaoni kuwa ipo haja ya kwenda na dunia ya sasa inavyokwenda.
 
Hakuna anayetuzuia kupata elimu, na siku zote tunatumia pesa nyingi kuitafuta hiyo elimu nchi za nje. Kujidanganya kwamba unaweza ukajitegemea kwa kutegemea mapato ya ndani ni kosa alilolifanya hayati JPM.

Wazo kuwa zuri haimaanishi kuwa utekelezaji wake na wenyewe utakuwa mzuri. Kujitegemea kwa kumkwepa mzungu na mtu wa nje nikujiongopea.

Wazungu ni kama maji, usipoyaoga basi utayanywa.
Kwani hao Wazungu mnawasifu walianzaje?Kila kitu kinawezekana tukiamua,kuna Nchi kama Korea,Qba,Urusi,zimetembea kwenye vikwazo Mpaka Sasa wanaishi vizuri,sisi huku tuna kila raslimali lakini bado tunasema uwezi ishi pasipo mzungu, niujinga mtupu,hao mnaowausudu Ndio walioleta makampuni ya AcreCo, accecia wakawa wanachota mali zetu uku tukiwachekea, Watanzania tukiamua kujitegea tunaweza nisuala la utashi tu na uthubutu,Sema viongozi wetu ni empty vichwani,wanaona kila kitu akiwezekani
 
Unamlaumu nani sasa?. MOI wamejenga wageni, kama tulikuwa tunao uwezo si tungejenga sisi wenyewe?.

Umeshajiuliza ni kwanini makampuni ya makandarasi ya kizalendo huwa yanakosa kazi na hivyo kukosa pesa nyingi za miradi?.

Nadhani unakumbuka kilio cha JPM alipowaambia watu wa madawa kwamba pesa za SADC zinatupita kwani hatuna viwanda vya kizalendo ambavyo vingeweza kupata fedha maalum ya bajeti ya madawa.

Kuwa na miaka 60 ya uhuru na akili ya mtoto wa miaka mitano kunachangiwa na mengi ukiwemo kwa kiasi kikubwa ujinga wetu wenyewe na uwezo mkubwa wa kukomoana badala ya kusaidiana.
Ujinga wako wewe kwanza unayeangalia wageni waje kukuletea viwanda..nimetaja awali hapa hakuna wafanyabiashara kuna wababaishaji na madalali wenye akili km zako, serikali lazima ijue jambo hili na kisha ina wajibu wa kuchukua hatua, wafanyabiashara wazuri wanatengenezwa..angalau pa kuanzia tafuta wazawa wenye bankable projects inayotumia rasilimali zetu waendeleze hata kama wataajiri wageni kufanya usimamizi si sawa na kumpa mgeni amiliki rasilimali na faida apeleke kwao..kwenda kwenye maonyesho kuita wawekezaji ni kupoteza muda na pesa haina matokeo yoyote overtime, sana sana ni kukaribisha wezi na kushamirisha rushwa tu na kununua wanasiasa feki wapiga domo lkn impact sifuri.
 
Hakuna anayetuzuia kupata elimu, na siku zote tunatumia pesa nyingi kuitafuta hiyo elimu nchi za nje. Kujidanganya kwamba unaweza ukajitegemea kwa kutegemea mapato ya ndani ni kosa alilolifanya hayati JPM.

Wazo kuwa zuri haimaanishi kuwa utekelezaji wake na wenyewe utakuwa mzuri. Kujitegemea kwa kumkwepa mzungu na mtu wa nje nikujiongopea.

Wazungu ni kama maji, usipoyaoga basi utayanywa.
Nitakushangaa sana km uwezo wa akili yako ulitafsiri kauli ya kujitegemea ina maana tusitegemee wazungu..biashara ni nipe nikupe, kukimbilia mzungu aje amiliki madini akuachie pipi na wewe kumiliki madini na umwajiri mzungu na teknolojia afanye kazi umlipe ni vitu viwili tofauti.. falsafa ya JPM kujitegemea ilikuwa na maana ile ya watz wamiliki rasilimali na wanunue ujuzi na teknolojia..!
 
Back
Top Bottom