Rais Samia ndani ya Dubai EXPO 2020 kutangaza fursa za biashara na uwekezaji Tanzania

Rais Samia ndani ya Dubai EXPO 2020 kutangaza fursa za biashara na uwekezaji Tanzania

Kwani hao Wazungu mnawasifu walianzaje?Kila kitu kinawezekana tukiamua,kuna Nchi kama Korea,Qba,Urusi,zimetembea kwenye vikwazo Mpaka Sasa wanaishi vizuri,sisi huku tuna kila raslimali lakini bado tunasema uwezi ishi pasipo mzungu, niujinga mtupu,hao mnaowausudu Ndio walioleta makampuni ya AcreCo, accecia wakawa wanachota mali zetu uku tukiwachekea, Watanzania tukiamua kujitegea tunaweza nisuala la utashi tu na uthubutu,Sema viongozi wetu ni empty vichwani,wanaona kila kitu akiwezekani
Kuamua kujitegemea ni suala zuri. Lakini tangu uhuru tunapiga hizi blah blah kila mwaka. Mzungu anapochota mali zetu ni kwamba kapewa upenyo na sisi wazalendo wenyewe.

Huwa sipendi kumlaumu mzungu kwa makosa yetu ya kila siku. Walioiba pesa ya EPA ni waswahili wenzetu wakishirikiana na wafanyabiashara wa kihindi. Waliopa pesa ya GAPCO awamu ya kwanza ni waswahili wenzetu.

Wizi wote unaofanyika serikalini wahusika wakuu ni wajomba na shangazi zetu. Na ni hawa hawa baadhi yao wanakuja humu jukwaani na falsafa za kujitegemea, wanamlaumu SSH wakati wamechangia kuharibu uchumi tangu 1961.
 
Ujinga wako wewe kwanza unayeangalia wageni waje kukuletea viwanda..nimetaja awali hapa hakuna wafanyabiashara kuna wababaishaji na madalali wenye akili km zako, serikali lazima ijue jambo hili na kisha ina wajibu wa kuchukua hatua, wafanyabiashara wazuri wanatengenezwa..angalau pa kuanzia tafuta wazawa wenye bankable projects inayotumia rasilimali zetu waendeleze hata kama wataajiri wageni kufanya usimamizi si sawa na kumpa mgeni amiliki rasilimali na faida apeleke kwao..kwenda kwenye maonyesho kuita wawekezaji ni kupoteza muda na pesa haina matokeo yoyote overtime, sana sana ni kukaribisha wezi na kushamirisha rushwa tu na kununua wanasiasa feki wapiga domo lkn impact sifuri.
Tangu uhuru nchi inaongozwa na wazalendo waliozaliwa hapa hapa Tanzania. Wameshindwa vipi kuja na mawazo kama ya kwako?.

Awamu ya Mkapa ilibinafsisha mashirika mengi ya umma yaliyoanzishwa na wazalendo wenye akili kama hizi hizi za uzawa kwanza.

Tumuache SSH afanye anavyoona naamini anayo nia njema ya kutafuta wawekezaji huko nje.
 
Nitakushangaa sana km uwezo wa akili yako ulitafsiri kauli ya kujitegemea ina maana tusitegemee wazungu..biashara ni nipe nikupe, kukimbilia mzungu aje amiliki madini akuachie pipi na wewe kumiliki madini na umwajiri mzungu na teknolojia afanye kazi umlipe ni vitu viwili tofauti.. falsafa ya JPM kujitegemea ilikuwa na maana ile ya watz wamiliki rasilimali na wanunue ujuzi na teknolojia..!
Kama ilikuwa na lengo hilo ulilosema basi ni vyema na haki. SSH ameshasema kuwa mpango ni ule ule wa awamu ya tano wa win win situation.
 
Kuamua kujitegemea ni suala zuri. Lakini tangu uhuru tunapiga hizi blah blah kila mwaka. Mzungu anapochota mali zetu ni kwamba kapewa upenyo na sisi wazalendo wenyewe.

Huwa sipendi kumlaumu mzungu kwa makosa yetu ya kila siku. Walioiba pesa ya EPA ni waswahili wenzetu wakishirikiana na wafanyabiashara wa kihindi. Waliopa pesa ya GAPCO awamu ya kwanza ni waswahili wenzetu.

Wizi wote unaofanyika serikalini wahusika wakuu ni wajomba na shangazi zetu. Na ni hawa hawa baadhi yao wanakuja humu jukwaani na falsafa za kujitegemea, wanamlaumu SSH wakati wamechangia kuharibu uchumi tangu 1961.
Ndio Maana nimesema kujitegea tunaweza nisuala la utashi tu, tatizo viongozi wetu waliisha jiaminisha kuwa hatuwezi kupasua pasipo mzungu, niujinga mtupu Samia sasahivi anacho fanya ni Kama mchuuzi tu, hawezi pata mwekezaji wa maana Sanasana matapeli aliokuwa amewapata Kikwete.Kujitegemea inawezekana.
 
Ndio Maana nimesema kujitegea tunaweza nisuala la utashi tu, tatizo viongozi wetu waliisha jiaminisha kuwa hatuwezi kupasua pasipo mzungu, niujinga mtupu Samia sasahivi anacho fanya ni Kama mchuuzi tu, hawezi pata mwekezaji wa maana Sanasana matapeli aliokuwa amewapata Kikwete.Kujitegemea inawezekana.
Ugumu wa kujitegemea unapendwa na mzungu na siku zote anatuwekea vizingiti ili kukwaza kujitegemea kwetu. Anajua atubane wapi ili tusipumue.
 
Kama ilikuwa na lengo hilo ulilosema basi ni vyema na haki. SSH ameshasema kuwa mpango ni ule ule wa awamu ya tano wa win win situation.
Mpango siyo ule ule, awamu ya tano haikuwa inafata wawekezaji kwa staili hiyo ya sasa, ukiamua kuwafata kwanza tengeneza au andaa wawekezaji wa ndani..taifa gani halina muda wa kujifunza na kurekebisha mapungufu, kila siku mapambio ya kutafuta wawekezaji, matokeo tunapata wezi tu!
 
Mpango siyo ule ule, awamu ya tano haikuwa inafata wawekezaji kwa staili hiyo ya sasa, ukiamua kuwafata kwanza tengeneza au andaa wawekezaji wa ndani..taifa gani halina muda wa kujifunza na kurekebisha mapungufu, kila siku mapambio ya kutafuta wawekezaji, matokeo tunapata wezi tu!
Una uhakika wawekezaji wa ndani hawapo?. Serikali inaongozwa na watu waliokwenda vyuoni na wakafaulu, ni lile tabaka la juu lililofaulu vyema huko mashuleni.

Wanajua wanachokifanya.
 
Tangu uhuru nchi inaongozwa na wazalendo waliozaliwa hapa hapa Tanzania. Wameshindwa vipi kuja na mawazo kama ya kwako?.

Awamu ya Mkapa ilibinafsisha mashirika mengi ya umma yaliyoanzishwa na wazalendo wenye akili kama hizi hizi za uzawa kwanza.

Tumuache SSH afanye anavyoona naamini anayo nia njema ya kutafuta wawekezaji huko nje.
Tumuache afanye anayoona ndio nini..kwa hiyo mambo ya dowans yarudi tena...nyinyi ndio mnaleta keleke kusifia sifia hata yssiyostahili kusifiwa, duniani hapa kuheshimiwa kunatokana na kujitegemea tu! nje ya hapo ni ujinga na kudharauliwa hata na wasiostahili kukudharau.
 
Una uhakika wawekezaji wa ndani hawapo?. Serikali inaongozwa na watu waliokwenda vyuoni na wakafaulu, ni lile tabaka la juu lililofaulu vyema huko mashuleni.

Wanajua wanachokifanya.
Wapo!
Kupiga kengele kuita wawekezaji hucho ndio wanachojua...toka wameanza wana cha kuonyesha..
Kufaulu chuo siyo warrant ya kujua unachofanya, unaweza kufaulu kwenye makaratasi tu lakini ujinga haujatoka bado!
 
Tumuache afanye anayoona ndio nini..kwa hiyo mambo ya dowans yarudi tena...nyinyi ndio mnaleta keleke kusifia sifia hata yssiyostahili kusifiwa, duniani hapa kuheshimiwa kunatokana na kujitegemea tu! nje ya hapo ni ujinga na kudharauliwa hata na wasiostahili kukudharau.
Kurudi kwa Dowans ni wasiwasi wako mkuu. Hiyo EXPO inakwenda kuwasaidia watanzania wenzetu kama mimi na wewe hatuoni umuhimu wake.

Kama mimi na wewe akili zetu zinaishia kulalamika tu humu jukwaani. Kumbuka muda huu kuna watu wanazitumia hizi hizi fursa ambazo wewe unazipigia kelele na zinawatajirisha.
 
Kurudi kwa Dowans ni wasiwasi wako mkuu. Hiyo EXPO inakwenda kuwasaidia watanzania wenzetu kama mimi na wewe hatuoni umuhimu wake.

Kama mimi na wewe akili zetu zinaishia kulalamika tu humu jukwaani. Kumbuka muda huu kuna watu wanazitumia hizi hizi fursa ambazo wewe unazipigia kelele na zinawatajirisha.
Fursa gani, zitaje...nani anufaike, hakuna lolote! Hatulalamiki, tunawaambia hayo wanayofanya kutumia kodi zetu kusafiri kutafuta wawekezaji hatutaki!
 
Fursa gani, zitaje...nani anufaike, hakuna lolote! Hatulalamiki, tunawaambia hayo wanayofanya kutumia kodi zetu kusafiri kutafuta wawekezaji hatutaki!
Fusa zipo nyingi mkuu. Kuna mafuta kule ukumbuke hilo. Ndio maana nimesema kwa wenye akili kubwa wanajiandaa kufaidika na hii ziara, sisi wenye akili ndogo tuendelee kuanzisha mada JF za malalamiko.
 
Ugumu wa kujitegemea unapendwa na mzungu na siku zote anatuwekea vizingiti ili kukwaza kujitegemea kwetu. Anajua atubane wapi ili tusipum

Fursa gani, zitaje...nani anufaike, hakuna lolote! Hatulalamiki, tunawaambia hayo wanayofanya kutumia kodi zetu kusafiri kutafuta wawekezaji hatutaki!
Huyu Samia anakwenda kuokota wahuni tu barabarani na kutuletea eti ni wawekezaji, Sijui kwanini viongozi wetu hawajifunzi kwa waliowatangulia,madini yetu yote yamesombwa na hao wanaoitwa wawekezaji uchwala, kuanzia Alumas na Zahabu,sijawahi watanzania tulichonufaika nacho kupitia hao wawekezaji, sana sana kuachia wananchi umasikini na magonjwa huku hao wawekezaji wakijenga majumba huko ulaya.Watanzania hatuitaji wawekezaji tunaitaji kiongozi mwenye vision,wa kuondoa mentality ya kujiona hawezi,na kuwaambia wachape kazi kwa bidii,uku serikali ikiweka miundombinu wezeshi na masoko ya bidhaa zao,sio mwekezaji akija anapumnguziwa mikodi huku mwekezaji mzawa anarundikiwa mikodi kibao
 
Fusa zipo nyingi mkuu. Kuna mafuta kule ukumbuke hilo. Ndio maana nimesema kwa wenye akili kubwa wanajiandaa kufaidika na hii ziara, sisi wenye akili ndogo tuendelee kuanzisha mada JF za malalamiko.
Akili kubwa kwenda expo dubai? That's an adolescence outlook!
 
Huyu Samia anakwenda kuokota wahuni tu barabarani na kutuletea eti ni wawekezaji, Sijui kwanini viongozi wetu hawajifunzi kwa waliowatangulia,madini yetu yote yamesombwa na hao wanaoitwa wawekezaji uchwala, kuanzia Alumas na Zahabu,sijawahi watanzania tulichonufaika nacho kupitia hao wawekezaji, sana sana kuachia wananchi umasikini na magonjwa huku hao wawekezaji wakijenga majumba huko ulaya.Watanzania hatuitaji wawekezaji tunaitaji kiongozi mwenye vision,wa kuondoa mentality ya kujiona hawezi,na kuwaambia wachape kazi kwa bidii,uku serikali ikiweka miundombinu wezeshi na masoko ya bidhaa zao,sio mwekezaji akija anapumnguziwa mikodi huku mwekezaji mzawa anarundikiwa mikodi kibao
Hizi zako ni akili zile zile za kichoyo na kibaguzi. Umaskini siku zote ni changamoto ya mtu au watu kuutafuta utajiri kwa udi na uvumba.

Huwezi kuendelea kwa kukwepa changamoto, hili kwanza kabisa ulijue na likukae kichwani mwako. Mchina asingeendelea kama asingetaka kuyatumia maendeleo ya wengine kama changamoto.

Anayelala tu akijifariji kwa utajiri wake wa asili atambue kuwa huo utajiri wake ni umaskini wake wa leo na kesho.

Ni rahisi kupiga kelele humu jukwaani lakini ni ngumu kuendelea kwa kujifungia ndani tu.
 
Hizi zako ni akili zile zile za kichoyo na kibaguzi. Umaskini siku zote ni changamoto ya mtu au watu kuutafuta utajiri kwa udi na uvumba.

Huwezi kuendelea kwa kukwepa changamoto, hili kwanza kabisa ulijue na likukae kichwani mwako. Mchina asingeendelea kama asingetaka kuyatumia maendeleo ya wengine kama changamoto.

Anayelala tu akijifariji kwa utajiri wake wa asili atambue kuwa huo utajiri wake ni umaskini wake wa leo na kesho.

Ni rahisi kupiga kelele humu jukwaani lakini ni ngumu kuendelea kwa kujifungia ndani tu.
Jaribu kuelewa suala si kujifungia ndani, kwanza tengeneza yanayohitajika ndani ili ajenda ya uwekezaji ifanikiwe kabla ya kutoka nje, pili wawekezaji hawatafutwi hivyo, unaweza ishia kupata matapeli tu, au basi vile umewafata wnakulazimisha ufanye wanavyotaka wao ili waitike mwaliko wako, hata km ni kwa gharama ya kuumiza watu wako!
 
Sio EXPO pekee yake, popote pale penye kuibuka fursa za kidunia.
Kwa kweli ningesifu safari za aina ya dubai expo kama Rais angeenda kuonana na wawekezaji ambao wana track record nzuri yenye mafanikio kwenye eneo fulani walilowekeza na hivyo anawashawishi waje Tanzania pia wafanye kama walivyofanya sehemu nyingine..lakini si kwa staili hii ya dubai expo au ile ya ufaransa na ubelgiji..
 
Back
Top Bottom