Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 3,384
- 4,428
Ungejikita na hiyo Taaluma yako na ku-expand ungepunguza unemployment kwa vijana wa Tanzania; you seem to have talent; lakini cha ajabu mindset yako imeelekeza kutafuta ujiko ili na wewe umrithi Zuhura!Naunga mkono hoja,
P
Bro wapi ni jishangazi limepoteana huko linaleta genyeAfu mtu mzima kujitoa akili haifai.Punguza unafki unazeeka bro
Karibu sana mitaa hii Kipindi cha TV, Kutoa Elimu ya Katiba, Sheria na Haki, Kuanza Jumapili Hii Kupita Channel TenUngejikita na hiyo Taaluma yako na ku-expand ungepunguza unemployment kwa vijana wa Tanzania; you seem to have talent; lakini cha ajabu mindset yako imeelekeza kutafuta ujiko ili na wewe umrithi Zuhura!
Hili la mimi kutafuta uteuzi, sio tuu nimelisema mara kibao, nimeliandikia mpaka makala! karibu mitaa hii Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!mindset yako imeelekeza kutafuta ujiko ili na wewe umrithi Zuhura!
Ph.D za honoraria causa, sio academic recognition in implacable recognition na sio fake!, ila recipient hapaswi kubadili title kuitwa Dr., ila kwa vile JK aliitwa na hatukusema, Mzee Mengi pia aliitwa, na hatukusema, mwacheni Mama na yeye aitwe na tusiseme... Ila tumeshauri Kuongezeka Ph.D za Heshima: Kuna haja TCU watoe ufafanuzi wa matumizi ya title ya Dr. kwa Ph.D za heshima na Ph.D za ukweli?Huyu mama mpumzisheni, msimchoshe na hizo academic recognitions zenu fake.
Huyu bibi mwambieni ukweli! Hatoshi nafasi anayoiomba.Wadau hamjamboni nyote?
Wapo watakaokubali na watakaopinga hoja hii ila ukweli halisi Rais Samia anastahili kabisa kupewa hadhi ya kuwa Profesa wa Demokrasia na Utawala Bora Afrika
Unapozungumzia Viongozi walioleta mabadiliko makubwa ya kisiasa kwenye nchi zao duniani nina hakika jina la Kiongozi wetu Rais Dkt Samia Suluhu Hassan litakuwa la kwanza
Rais Samia ameleta maridhiano makubwa ya Kitaifa na sasa Wapinzani kila kona ya nchi yetu wapo huru, wakifanya maandamano & mikutano ya hadhara kwa uhuru mkubwa bila kubughuziwa.
Rais Samia amefanya makubwa na ambayo hayakutarajiwa na wengi na hivyo tuna kila sababu ya kumpongeza na kumpa heshima anayostahili.
Hongera sana Rais Samia kwani wewe ndiye Profesa wa Demokrasia na Utawala Bora Afrika
View attachment 2934350
KaziIendelee
Pascal, you can do it, real. Naangalia news zako nyingi sana, ila tu kinachonisikitisha huo uchawa wako! Ofcorse siyo lazima uwe critical kwa rulers ndiyo uwe "political correct" kwangu, lakini at least put a challenge. Wewe ni kusifia tua, hata Mwendazake ulimsifia kwa sababu ati havai "mask" wakati wa COVID, na Covid ikamchukua. Uchawa gani kuo? Stand for the right/truth.Hili la mimi kutafuta uteuzi, sio tuu nimelisema mara kibao, nimeliandikia mpaka makala! karibu mitaa hii Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
P
Tuzidi kumuombea Rais Wetu tufike nchi ya Ahadi Gap la wenye nacho ma wasio nacho bado ni kubwa sanaππΎππΎππΎWadau hamjamboni nyote?
Wapo watakaokubali na watakaopinga hoja hii ila ukweli halisi Rais Samia anastahili kabisa kupewa hadhi ya kuwa Profesa wa Demokrasia na Utawala Bora Afrika
Unapozungumzia Viongozi walioleta mabadiliko makubwa ya kisiasa kwenye nchi zao duniani nina hakika jina la Kiongozi wetu Rais Dkt Samia Suluhu Hassan litakuwa la kwanza
Rais Samia ameleta maridhiano makubwa ya Kitaifa na sasa Wapinzani kila kona ya nchi yetu wapo huru, wakifanya maandamano & mikutano ya hadhara kwa uhuru mkubwa bila kubughuziwa.
Rais Samia amefanya makubwa na ambayo hayakutarajiwa na wengi na hivyo tuna kila sababu ya kumpongeza na kumpa heshima anayostahili.
Hongera sana Rais Samia kwani wewe ndiye Profesa wa Demokrasia na Utawala Bora Afrika
View attachment 2934350
KaziIendelee
Thanks, I take up the challengePascal, you can do it, real. Naangalia news zako nyingi sana, ila tu kinachonisikitisha huo uchawa wako! Ofcorse siyo lazima uwe critical kwa rulers ndiyo uwe "political correct" kwangu, lakini at least put a challenge. Wewe ni kusifia tua, hata Mwendazake ulimsifia kwa sababu ati havai "mask" wakati wa COVID, na Covid ikamchukua. Uchawa gani kuo? Stand for the right/truth.
Nchi bado ipo wazi kwa waandishi wenye talent kama wewe, siyo uchawa tu, virgin and vast opportunities to develop; professionally. Usiishie kuwa You-tuber wa uchawa, nenda beond that!!!
Unakataa kuwa wewe siyo chawa au msaka tonge, lakini maandishi yako mengi yanaonyesha hivyo, hasa ukiwa unaongea kwa comparison kati ya serikali (kwenye maslahi yako) na opposition. Badirika brother
Tuone Uhuru na haki kwenye chaguzi zijazo 2024/2025 hapo Rais atakuwa amefaulu mtihani wa Demokrasia unayompigia chapuoWadau hamjamboni nyote?
Wapo watakaokubali na watakaopinga hoja hii ila ukweli halisi Rais Samia anastahili kabisa kupewa hadhi ya kuwa Profesa wa Demokrasia na Utawala Bora Afrika
Unapozungumzia Viongozi walioleta mabadiliko makubwa ya kisiasa kwenye nchi zao duniani nina hakika jina la Kiongozi wetu Rais Dkt Samia Suluhu Hassan litakuwa la kwanza
Rais Samia ameleta maridhiano makubwa ya Kitaifa na sasa Wapinzani kila kona ya nchi yetu wapo huru, wakifanya maandamano & mikutano ya hadhara kwa uhuru mkubwa bila kubughuziwa.
Rais Samia amefanya makubwa na ambayo hayakutarajiwa na wengi na hivyo tuna kila sababu ya kumpongeza na kumpa heshima anayostahili.
Hongera sana Rais Samia kwani wewe ndiye Profesa wa Demokrasia na Utawala Bora Afrika
View attachment 2934350
KaziIendelee
Huwezi dharau katiba ukawa mwana democrasia kaka.hayo ni maoni na mtazamo wako huru ambao ni haki yako, siwezi kukuita nyumbu wala hujielewe. huo ndio uelewa na ufahamu wako ulipoishia kulingana na uonavyo mambo yanavyokwenda enjoy it, sio akija mtu tofauti na mtazamo wako unamzodoa sijui kwa kumuita nini, hiyo ni useless kabisa π
and for your information katiba is just a document iliyosheheni makaratasi tu yenye maandishi ambayo tunaweza change anytime, na ile iliyobadilishwa tukaifungia maandazi kama makaratasi mengine tu π
hayo mengine sijui bunge, mahakama na ugaidi, Demokrasia na report ya CAG unaburuzwa na kufuata mkumbo tu na hakuna utakachobadili π
nchi hii mihimili yote ya dollar iko huru kufanya wajibu, kazi na majukumu yake kulingana na kanuni, taratibu, sheria na katiba ya nchi. Na kazi zote zinafanyika kwa uwazi, bidii na weledi makubwa sana...
mpka sasa mambo yanafanyika vizuri sana chini ya Dr Samia Suluhu Hassan, na kama hujaridhika, hiyo ni hulka ya binadamu si kitu mbaya, ni kawaaida....
muhimu zaid huna haja ya kujitambulisha na kujionyesha jinsi ulivyo kwa matusi ambayo hayana maana wala kusaidia chochote..mmefundishwa jambo la hovyo sana aise π
hayupo wa kudharau katiba, wala huwezi kumsigizia yeyote ati anadharau katiba ya wananchi, na wala hakuna wa kubabaika na mihemko yako, maoni na mtazamo wako juu ya hiyo katiba, ati inadharailiwa mahali fulani kwa tafsiri yako yoyote ile, hiyo ni haki yako tu na uhuru wako tu....Huwezi dharau katiba ukawa mwana democrasia kaka.
Amka kichwa kitakuuma buree pascal mayala anakushangaa bila shaka
Hukumbuki mama yako akisema katiba ni karatasi tuu.hayupo wa kudharau katiba, wala huwezi kumsigizia yeyote ati anadharau katiba ya wananchi, na wala hakuna wa kubabaika na mihemko yako, maoni na mtazamo wako juu ya hiyo katiba, ati inadharailiwa mahali fulani kwa tafsiri yako yoyote ile, hiyo ni haki yako tu na uhuru wako tu....
muhimu tu,
kama nilivyokushauri awali kwamba wether ni mtoto, kijana, au mzee, huna sababu kujitambulisha na kujionyesha kwenye platfomu hii kwamba wewe ni mtukanaji hodari kwa wenye mawazo na maoni tofauti na yako.....
kua free tu, wala huna sababu ya kuhitaji huruma ya mtu mwingine ilia akuungue mkono bali uwe na hoja za maana na kuungwa mkono na wengine.....
hakuna mwenye hekima na busara zake anaweza kukuunga mkono wakati unasukumwa na mihemko kuchangia hoja
kama katiba sio karatasi ni nini basi, hebu elezea labda ni kitu kingine mwenzetu unakijua... ....Hukumbuki mama yako akisema katiba ni karatasi tuu.
Je huyu ndio prof wa democrasia.
Unajua hakuna haja ya kujifanya hatujui kinachoendelea nankufumbia macho kila kitu na kusifia hata asivyo stahili.
Hata jirekebisha,lile lilikua tusi kubwa sana kwa watanzanzania kama ulikua hujui.
Katiba hiyo hiyo ndio ilimuweka madarakani baada ya mtangulizi wake kufariki.
ni Aibu.
Kama upeo wenyewe ndio huu mtu mzima unaunga upumbavu kuwa katiba ni karatasi yanini nirumbane na mpumbavu mimi.Kwa heri ndugu.kama katiba sio karatasi ni nini basi, hebu elezea labda ni kitu kingine mwenzetu unakijua... ....
au ni maji?
we unababaika na tafsiri zako mwenyewe kuhusi hiyo katiba.....
wala huwezi mfumba wala kumfumbua macho yeyote kwa chochote...
mambo yanafanyika kwa uwazi mchana kweupe, wenye uelewa na ufahanu wa kutosha wameridhika na wala hawababaiki na tafsiri za wenye ghadhabu zinazosukumwa na uelewa wa tofauti juu ya katiba....
hakuna tusi popote, wala hakuna haja ya matusi kwasababu hayabadili wala kusaidia chochote, popote..
Hivi vijana mnafikili kujipendekeza kila siku ili kutafuta teuzi. Ngoja niwashauri hizo nafasi za teuzi zipo ngapi na vijana mpo wangapi?? Wilaya 184 tuu. Vijana zaidi ya 45% ya waTanzania wote 67M. Badala mje na mikakati itakayiwasaidia katika kesho yenu. Maana vijana mpo leo, kesho na hata kesho kutwa mtakuwepo. Sisi wazee tulikuwepo jana na leo kesho hayupo!! Cha ajabu mnazidi kulamba sore za viatu vya wazee.Wadau hamjamboni nyote?
Wapo watakaokubali na watakaopinga hoja hii ila ukweli halisi Rais Samia anastahili kabisa kupewa hadhi ya kuwa Profesa wa Demokrasia na Utawala Bora Afrika
Unapozungumzia Viongozi walioleta mabadiliko makubwa ya kisiasa kwenye nchi zao duniani nina hakika jina la Kiongozi wetu Rais Dkt Samia Suluhu Hassan litakuwa la kwanza
Rais Samia ameleta maridhiano makubwa ya Kitaifa na sasa Wapinzani kila kona ya nchi yetu wapo huru, wakifanya maandamano & mikutano ya hadhara kwa uhuru mkubwa bila kubughuziwa.
Rais Samia amefanya makubwa na ambayo hayakutarajiwa na wengi na hivyo tuna kila sababu ya kumpongeza na kumpa heshima anayostahili.
Hongera sana Rais Samia kwani wewe ndiye Profesa wa Demokrasia na Utawala Bora Afrika
View attachment 2934350
KaziIendelee
Bora wangekua wanasifia ukweli ni unafki mtupu.Hivi vijana mnafikili kujipendekeza kila siku ili kutafuta teuzi. Ngoja niwashauri hizo nafasi za teuzi zipo ngapi na vijana mpo wangapi?? Wilaya 184 tuu. Vijana zaidi ya 45% ya waTanzania wote 67M. Badala mje na mikakati itakayiwasaidia katika kesho yenu. Maana vijana mpo leo, kesho na hata kesho kutwa mtakuwepo. Sisi wazee tulikuwepo jana na leo kesho hayupo!! Cha ajabu mnazidi kulamba sore za viatu vya wazee.
baki na mihemko yako kundini mwako kwa amaniKama upeo wenyewe ndio huu mtu mzima unaunga upumbavu kuwa katiba ni karatasi yanini nirumbane na mpumbavu mimi.Kwa heri ndugu.