Rais Samia ni chaguo la Mungu na aliandaliwa na Mungu kuongoza Taifa letu

Rais Samia ni chaguo la Mungu na aliandaliwa na Mungu kuongoza Taifa letu

Ndugu zangu watanzania,

Huo ndio ukweli ,ndio uhalisia,ndio jibu kwa wale wote wanaojiuliza ujasiri mkubwa alio nao na alio uonyesha Rais samia katika kuongoza Taifa letu pamoja na mafanikio makubwa aliyoyapata ndani ya muda mfupi.

Ni dhahiri katika ulimwengu wa kiroho Mwenyezi Mungu alikuwa Amemuandaa Rais samia kuja kuongoza Taifa letu na kulivusha katika kila Hatua,ndio maana tunaona hakuna jambo lililomtetemesha Rais wetu na kumpoteza muelekeo na Dira,ndio maana tumeona namna alivyo endelea kuwa imara na kuyakabili matatizo yaliyojitokeza mbele yetu kama Taifa licha ya baadhi ya watu kutaka kuleta Ubaguzi kwa misingi ya Udini ,ukabila ,ukanda na hata jinsia ili kumhamisha kiajenda na kutaka kumdhoofisha kiutendaji.

Ikumbukwe ya kuwa Mungu hutenda miujiza yake kupitia watu,huwasaidia watu kupitia watu,humuinua mtu kupitia watu,huwakomboa watu kupitia watu,huwafuta machozi waja wake kupitia watu,huwapa watu uongozi wake kupitia watu wake aliowateua katika ulimwengu wa kiroho kabla hata ya kuzaliwa kwao na kuonekana machoni pa watu.

Rais Samia Ni mteule na Chaguo la Mungu katika ulimwengu wa kiroho katika kuliongoza Taifa letu Tangia hata kabla ya kuzaliwa kwake, maana yeye hutujuwa sisi tungali bado katika matumbo ya mama zetu.

Ukiwa mteule na uliyeteuliwa kutumika kama chombo cha Mungu kama ilivyokuwa kwa aliyejulikana awali kama Sauli au Musa au Joshua au Esther lazima mkono na uso wa Mungu uwe nawe popote uwapo,lazima Mungu apigane upande wako.

Hata ipite dhoruba za aina mbalimbali lakini mwisho wa siku lazima uibuke mshindi tu,ndio maana Rais samia amekuwa mshindi katika mambo yote,ndio maana hakuna alipokwama na tulipokwama kama Taifa,Hakuna tulipoyumba wala Taifa letu kupasuka ,kwa kuwa Mungu yupo mbele ya Rais Samia na Taifa letu.Mungu anamtumia Rais samia kama chombo chake katika kuwaongoza watanzania, kuwafuta machozi waliao, kuwapa faraja waliokata Tamaa,kuwainua wanyonge na kuwapa nguvu za kiuchumi, kuwashika mkono masikini na kuwapa matumaini yatima, wajane, wazee na watu wasio jiweza.

Hivyo hakuna mtu yeyote au kikundi au chama chochote kitakachofanikiwa kumdhoofisha Rais samia kiutendaji,kila baya litakalotaka kuinuka dhidi ya Rais samia litaishia kufa kibudu kwa kukataliwa na watanzania.

Rais samia ni mmoja lakini anazungumza kwa mamilioni kupitia midomo na vinywa vya wananchi wanaoendelea kumtetea na kumsemea, kwa kuwa ni mpango wa Mungu anayeendelea kumlinda Rais samia katika kutimiza Agano lake katika ulimwengu wa kiroho wa kumfanya Rais Samia Kuongoza Taifa hili na kulivusha Salama.

Atapitia dhoruba lakini atashinda,atakutana na magumu lakini atashinda,atakutana na vikwazo lakini ataibuka na kubakia katika njia sahihi na mshindi, hata yumba wala kuyumbishwa na mwanadamu yoyote,.Amepewa kibali na mwenyezi Mungu na hakuna wa kumzuia wala kumkwamisha. Hakuna kinywa kitakachoinuka wala kitakacho shinda mbele yake wala fimbo itakayo inuka mbele yake na kumfikia.Ni nyota ya matumaini na Taa ya Taifa na nuru ya wanyonge.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa,kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Nakupigia simu, hupokei! Kuna uteuzi umepata baada ya kazi kubwa unayoifanya ya kumpaka mama yetu mafuta kwa mgongo wa chupa.
 
Ndugu zangu watanzania,

Huo ndio ukweli ,ndio uhalisia,ndio jibu kwa wale wote wanaojiuliza ujasiri mkubwa alio nao na alio uonyesha Rais samia katika kuongoza Taifa letu pamoja na mafanikio makubwa aliyoyapata ndani ya muda mfupi.

Ni dhahiri katika ulimwengu wa kiroho Mwenyezi Mungu alikuwa Amemuandaa Rais samia kuja kuongoza Taifa letu na kulivusha katika kila Hatua,ndio maana tunaona hakuna jambo lililomtetemesha Rais wetu na kumpoteza muelekeo na Dira,ndio maana tumeona namna alivyo endelea kuwa imara na kuyakabili matatizo yaliyojitokeza mbele yetu kama Taifa licha ya baadhi ya watu kutaka kuleta Ubaguzi kwa misingi ya Udini ,ukabila ,ukanda na hata jinsia ili kumhamisha kiajenda na kutaka kumdhoofisha kiutendaji.

Ikumbukwe ya kuwa Mungu hutenda miujiza yake kupitia watu,huwasaidia watu kupitia watu,humuinua mtu kupitia watu,huwakomboa watu kupitia watu,huwafuta machozi waja wake kupitia watu,huwapa watu uongozi wake kupitia watu wake aliowateua katika ulimwengu wa kiroho kabla hata ya kuzaliwa kwao na kuonekana machoni pa watu.

Rais Samia Ni mteule na Chaguo la Mungu katika ulimwengu wa kiroho katika kuliongoza Taifa letu Tangia hata kabla ya kuzaliwa kwake, maana yeye hutujuwa sisi tungali bado katika matumbo ya mama zetu.

Ukiwa mteule na uliyeteuliwa kutumika kama chombo cha Mungu kama ilivyokuwa kwa aliyejulikana awali kama Sauli au Musa au Joshua au Esther lazima mkono na uso wa Mungu uwe nawe popote uwapo,lazima Mungu apigane upande wako.

Hata ipite dhoruba za aina mbalimbali lakini mwisho wa siku lazima uibuke mshindi tu,ndio maana Rais samia amekuwa mshindi katika mambo yote,ndio maana hakuna alipokwama na tulipokwama kama Taifa,Hakuna tulipoyumba wala Taifa letu kupasuka ,kwa kuwa Mungu yupo mbele ya Rais Samia na Taifa letu.Mungu anamtumia Rais samia kama chombo chake katika kuwaongoza watanzania, kuwafuta machozi waliao, kuwapa faraja waliokata Tamaa,kuwainua wanyonge na kuwapa nguvu za kiuchumi, kuwashika mkono masikini na kuwapa matumaini yatima, wajane, wazee na watu wasio jiweza.

Hivyo hakuna mtu yeyote au kikundi au chama chochote kitakachofanikiwa kumdhoofisha Rais samia kiutendaji,kila baya litakalotaka kuinuka dhidi ya Rais samia litaishia kufa kibudu kwa kukataliwa na watanzania.

Rais samia ni mmoja lakini anazungumza kwa mamilioni kupitia midomo na vinywa vya wananchi wanaoendelea kumtetea na kumsemea, kwa kuwa ni mpango wa Mungu anayeendelea kumlinda Rais samia katika kutimiza Agano lake katika ulimwengu wa kiroho wa kumfanya Rais Samia Kuongoza Taifa hili na kulivusha Salama.

Atapitia dhoruba lakini atashinda,atakutana na magumu lakini atashinda,atakutana na vikwazo lakini ataibuka na kubakia katika njia sahihi na mshindi, hata yumba wala kuyumbishwa na mwanadamu yoyote,.Amepewa kibali na mwenyezi Mungu na hakuna wa kumzuia wala kumkwamisha. Hakuna kinywa kitakachoinuka wala kitakacho shinda mbele yake wala fimbo itakayo inuka mbele yake na kumfikia.Ni nyota ya matumaini na Taa ya Taifa na nuru ya wanyonge.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa,kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Mdogo wangu tafuta kazi ya kufanya , hii uliyochagua ni kazi ya wendawazimu
 
Ndugu zangu watanzania,

Huo ndio ukweli ,ndio uhalisia,ndio jibu kwa wale wote wanaojiuliza ujasiri mkubwa alio nao na alio uonyesha Rais samia katika kuongoza Taifa letu pamoja na mafanikio makubwa aliyoyapata ndani ya muda mfupi.

Ni dhahiri katika ulimwengu wa kiroho Mwenyezi Mungu alikuwa Amemuandaa Rais samia kuja kuongoza Taifa letu na kulivusha katika kila Hatua,ndio maana tunaona hakuna jambo lililomtetemesha Rais wetu na kumpoteza muelekeo na Dira,ndio maana tumeona namna alivyo endelea kuwa imara na kuyakabili matatizo yaliyojitokeza mbele yetu kama Taifa licha ya baadhi ya watu kutaka kuleta Ubaguzi kwa misingi ya Udini ,ukabila ,ukanda na hata jinsia ili kumhamisha kiajenda na kutaka kumdhoofisha kiutendaji.

Ikumbukwe ya kuwa Mungu hutenda miujiza yake kupitia watu,huwasaidia watu kupitia watu,humuinua mtu kupitia watu,huwakomboa watu kupitia watu,huwafuta machozi waja wake kupitia watu,huwapa watu uongozi wake kupitia watu wake aliowateua katika ulimwengu wa kiroho kabla hata ya kuzaliwa kwao na kuonekana machoni pa watu.

Rais Samia Ni mteule na Chaguo la Mungu katika ulimwengu wa kiroho katika kuliongoza Taifa letu Tangia hata kabla ya kuzaliwa kwake, maana yeye hutujuwa sisi tungali bado katika matumbo ya mama zetu.

Ukiwa mteule na uliyeteuliwa kutumika kama chombo cha Mungu kama ilivyokuwa kwa aliyejulikana awali kama Sauli au Musa au Joshua au Esther lazima mkono na uso wa Mungu uwe nawe popote uwapo,lazima Mungu apigane upande wako.

Hata ipite dhoruba za aina mbalimbali lakini mwisho wa siku lazima uibuke mshindi tu,ndio maana Rais samia amekuwa mshindi katika mambo yote,ndio maana hakuna alipokwama na tulipokwama kama Taifa,Hakuna tulipoyumba wala Taifa letu kupasuka ,kwa kuwa Mungu yupo mbele ya Rais Samia na Taifa letu.Mungu anamtumia Rais samia kama chombo chake katika kuwaongoza watanzania, kuwafuta machozi waliao, kuwapa faraja waliokata Tamaa,kuwainua wanyonge na kuwapa nguvu za kiuchumi, kuwashika mkono masikini na kuwapa matumaini yatima, wajane, wazee na watu wasio jiweza.

Hivyo hakuna mtu yeyote au kikundi au chama chochote kitakachofanikiwa kumdhoofisha Rais samia kiutendaji,kila baya litakalotaka kuinuka dhidi ya Rais samia litaishia kufa kibudu kwa kukataliwa na watanzania.

Rais samia ni mmoja lakini anazungumza kwa mamilioni kupitia midomo na vinywa vya wananchi wanaoendelea kumtetea na kumsemea, kwa kuwa ni mpango wa Mungu anayeendelea kumlinda Rais samia katika kutimiza Agano lake katika ulimwengu wa kiroho wa kumfanya Rais Samia Kuongoza Taifa hili na kulivusha Salama.

Atapitia dhoruba lakini atashinda,atakutana na magumu lakini atashinda,atakutana na vikwazo lakini ataibuka na kubakia katika njia sahihi na mshindi, hata yumba wala kuyumbishwa na mwanadamu yoyote,.Amepewa kibali na mwenyezi Mungu na hakuna wa kumzuia wala kumkwamisha. Hakuna kinywa kitakachoinuka wala kitakacho shinda mbele yake wala fimbo itakayo inuka mbele yake na kumfikia.Ni nyota ya matumaini na Taa ya Taifa na nuru ya wanyonge.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa,kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Chaguo la Mungu wa Makunduchi Mchambawima
 
Ndugu zangu watanzania,

Huo ndio ukweli ,ndio uhalisia,ndio jibu kwa wale wote wanaojiuliza ujasiri mkubwa alio nao na alio uonyesha Rais samia katika kuongoza Taifa letu pamoja na mafanikio makubwa aliyoyapata ndani ya muda mfupi.

Ni dhahiri katika ulimwengu wa kiroho Mwenyezi Mungu alikuwa Amemuandaa Rais samia kuja kuongoza Taifa letu na kulivusha katika kila Hatua,ndio maana tunaona hakuna jambo lililomtetemesha Rais wetu na kumpoteza muelekeo na Dira,ndio maana tumeona namna alivyo endelea kuwa imara na kuyakabili matatizo yaliyojitokeza mbele yetu kama Taifa licha ya baadhi ya watu kutaka kuleta Ubaguzi kwa misingi ya Udini ,ukabila ,ukanda na hata jinsia ili kumhamisha kiajenda na kutaka kumdhoofisha kiutendaji.

Ikumbukwe ya kuwa Mungu hutenda miujiza yake kupitia watu,huwasaidia watu kupitia watu,humuinua mtu kupitia watu,huwakomboa watu kupitia watu,huwafuta machozi waja wake kupitia watu,huwapa watu uongozi wake kupitia watu wake aliowateua katika ulimwengu wa kiroho kabla hata ya kuzaliwa kwao na kuonekana machoni pa watu.

Rais Samia Ni mteule na Chaguo la Mungu katika ulimwengu wa kiroho katika kuliongoza Taifa letu Tangia hata kabla ya kuzaliwa kwake, maana yeye hutujuwa sisi tungali bado katika matumbo ya mama zetu.

Ukiwa mteule na uliyeteuliwa kutumika kama chombo cha Mungu kama ilivyokuwa kwa aliyejulikana awali kama Sauli au Musa au Joshua au Esther lazima mkono na uso wa Mungu uwe nawe popote uwapo,lazima Mungu apigane upande wako.

Hata ipite dhoruba za aina mbalimbali lakini mwisho wa siku lazima uibuke mshindi tu,ndio maana Rais samia amekuwa mshindi katika mambo yote,ndio maana hakuna alipokwama na tulipokwama kama Taifa,Hakuna tulipoyumba wala Taifa letu kupasuka ,kwa kuwa Mungu yupo mbele ya Rais Samia na Taifa letu.Mungu anamtumia Rais samia kama chombo chake katika kuwaongoza watanzania, kuwafuta machozi waliao, kuwapa faraja waliokata Tamaa,kuwainua wanyonge na kuwapa nguvu za kiuchumi, kuwashika mkono masikini na kuwapa matumaini yatima, wajane, wazee na watu wasio jiweza.

Hivyo hakuna mtu yeyote au kikundi au chama chochote kitakachofanikiwa kumdhoofisha Rais samia kiutendaji,kila baya litakalotaka kuinuka dhidi ya Rais samia litaishia kufa kibudu kwa kukataliwa na watanzania.

Rais samia ni mmoja lakini anazungumza kwa mamilioni kupitia midomo na vinywa vya wananchi wanaoendelea kumtetea na kumsemea, kwa kuwa ni mpango wa Mungu anayeendelea kumlinda Rais samia katika kutimiza Agano lake katika ulimwengu wa kiroho wa kumfanya Rais Samia Kuongoza Taifa hili na kulivusha Salama.

Atapitia dhoruba lakini atashinda,atakutana na magumu lakini atashinda,atakutana na vikwazo lakini ataibuka na kubakia katika njia sahihi na mshindi, hata yumba wala kuyumbishwa na mwanadamu yoyote,.Amepewa kibali na mwenyezi Mungu na hakuna wa kumzuia wala kumkwamisha. Hakuna kinywa kitakachoinuka wala kitakacho shinda mbele yake wala fimbo itakayo inuka mbele yake na kumfikia.Ni nyota ya matumaini na Taa ya Taifa na nuru ya wanyonge.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa,kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Mungu hawezi kuandaa mtu wa namna hiyo. Ni mpango wa shetani huu kuirudisha nchi yetu nyuma. Mungu chukua huyu kijana mzalendo Tumbo haraka.
 
Mungu hawezi kuandaa mtu wa namna hiyo. Ni mpango wa shetani huu kuirudisha nchi yetu nyuma. Mungu chukua huyu kijana mzalendo Tumbo haraka.
Maombi yako ya kijinga hayawezi kusikilizwa wala kupokelewa na Mwenyezi Mungu,kwa kuwa Mungu siyo mwanadamu na hana akili za kibinadamu na hawazi kama wewe
 
Wewe mshamba bado tu hujapata uteuzi ?.Endelea kuharisha huo uharo wako wa kila siku .
 
Hivi mpaka leo bado haujapewa tu kitengo? Kweli CCM roho mbaya 😄 Kujitoa kote akili unaishia kuambulia matusi?!
 
Cha msingi hapo ni namba yako ya simu tu.

Mpango wa Mungu hauwezi kuwa kutuuza Dubai.
 
Ndugu zangu watanzania,

Huo ndio ukweli ,ndio uhalisia,ndio jibu kwa wale wote wanaojiuliza ujasiri mkubwa alio nao na alio uonyesha Rais samia katika kuongoza Taifa letu pamoja na mafanikio makubwa aliyoyapata ndani ya muda mfupi.

Ni dhahiri katika ulimwengu wa kiroho Mwenyezi Mungu alikuwa Amemuandaa Rais samia kuja kuongoza Taifa letu na kulivusha katika kila Hatua,ndio maana tunaona hakuna jambo lililomtetemesha Rais wetu na kumpoteza muelekeo na Dira,ndio maana tumeona namna alivyo endelea kuwa imara na kuyakabili matatizo yaliyojitokeza mbele yetu kama Taifa licha ya baadhi ya watu kutaka kuleta Ubaguzi kwa misingi ya Udini ,ukabila ,ukanda na hata jinsia ili kumhamisha kiajenda na kutaka kumdhoofisha kiutendaji.

Ikumbukwe ya kuwa Mungu hutenda miujiza yake kupitia watu,huwasaidia watu kupitia watu,humuinua mtu kupitia watu,huwakomboa watu kupitia watu,huwafuta machozi waja wake kupitia watu,huwapa watu uongozi wake kupitia watu wake aliowateua katika ulimwengu wa kiroho kabla hata ya kuzaliwa kwao na kuonekana machoni pa watu.

Rais Samia Ni mteule na Chaguo la Mungu katika ulimwengu wa kiroho katika kuliongoza Taifa letu Tangia hata kabla ya kuzaliwa kwake, maana yeye hutujuwa sisi tungali bado katika matumbo ya mama zetu.

Ukiwa mteule na uliyeteuliwa kutumika kama chombo cha Mungu kama ilivyokuwa kwa aliyejulikana awali kama Sauli au Musa au Joshua au Esther lazima mkono na uso wa Mungu uwe nawe popote uwapo,lazima Mungu apigane upande wako.

Hata ipite dhoruba za aina mbalimbali lakini mwisho wa siku lazima uibuke mshindi tu,ndio maana Rais samia amekuwa mshindi katika mambo yote,ndio maana hakuna alipokwama na tulipokwama kama Taifa,Hakuna tulipoyumba wala Taifa letu kupasuka ,kwa kuwa Mungu yupo mbele ya Rais Samia na Taifa letu.Mungu anamtumia Rais samia kama chombo chake katika kuwaongoza watanzania, kuwafuta machozi waliao, kuwapa faraja waliokata Tamaa,kuwainua wanyonge na kuwapa nguvu za kiuchumi, kuwashika mkono masikini na kuwapa matumaini yatima, wajane, wazee na watu wasio jiweza.

Hivyo hakuna mtu yeyote au kikundi au chama chochote kitakachofanikiwa kumdhoofisha Rais samia kiutendaji,kila baya litakalotaka kuinuka dhidi ya Rais samia litaishia kufa kibudu kwa kukataliwa na watanzania.

Rais samia ni mmoja lakini anazungumza kwa mamilioni kupitia midomo na vinywa vya wananchi wanaoendelea kumtetea na kumsemea, kwa kuwa ni mpango wa Mungu anayeendelea kumlinda Rais samia katika kutimiza Agano lake katika ulimwengu wa kiroho wa kumfanya Rais Samia Kuongoza Taifa hili na kulivusha Salama.

Atapitia dhoruba lakini atashinda,atakutana na magumu lakini atashinda,atakutana na vikwazo lakini ataibuka na kubakia katika njia sahihi na mshindi, hata yumba wala kuyumbishwa na mwanadamu yoyote,.Amepewa kibali na mwenyezi Mungu na hakuna wa kumzuia wala kumkwamisha. Hakuna kinywa kitakachoinuka wala kitakacho shinda mbele yake wala fimbo itakayo inuka mbele yake na kumfikia.Ni nyota ya matumaini na Taa ya Taifa na nuru ya wanyonge.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa,kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Nyambaff, hilo ni chaguo la kibinadamu.., usitaje Mungu kwa mapungufu ya kibinadamu wewe..., binadamu wako na free will, na Mungu hausiki, ako na njia yake na sio ya kibinadamu.., hii yenu sio Mungu bana, wacha za hovyo. wakristo wa Marekani walidhani Trump ni chaguo la Mungu na atashinda second term na wakamuhakikishia, lakini wapi! kwani Mungu anashindwa? hii inaitwa delusion kaka. Yaani uko deluded na dini.
 
Nyambaff, hilo ni chaguo la kibinadamu.., usitaje Mungu kwa mapungufu ya kibinadamu wewe..., binadamu wako na free will, na Mungu hausiki, ako na njia yake na sio ya kibinadamu.., hii yenu sio Mungu bana, wacha za hovyo. wakristo wa Marekani walidhani Trump ni chaguo la Mungu na atashinda second term na wakamuhakikishia, lakini wapi! kwani Mungu anashindwa? hii inaitwa delusion kaka. Yaani uko deluded na dini.
Usimfananishe Rais samia na watu asio endana nao kabisa kiutendaji na kimaono. Rais samia ni zaidi ya Trumph na uwezo wa Donald Trumph Ni mdogo sana kwa Rais samia. ni sawa na kulinganisha kichuguu na mlima. Rais samia ni kama mlima wakati Trumph ni kama kichuguu.
 
Nimeipenda hii Rais wetu ni chaguo la Mungu, Mungu aliacha kuwachagulia wana wa Israel kiongozi wao miaka mingi iliyopita na nchi nyingi sana za kidemokrasia na kiimla Rais huchaguliwa na wanadamu na sii Mungu. Ila ile dhana kuwa chagua la wengi ndio chagua la Mungu hili linamashiko zaidi. Je marais wa Tanzania ndio chaguo la wengi? hilo wanalijua wenyewe na tume yao ya uchaguzi na Wakurugenzi wa Halmashauri za miji Tanzania.
 
Ndugu zangu watanzania,

Huo ndio ukweli, ndio uhalisia,ndio jibu kwa wale wote wanaojiuliza ujasiri mkubwa alio nao na alio uonyesha Rais samia katika kuongoza Taifa letu pamoja na mafanikio makubwa aliyoyapata ndani ya muda mfupi.

Ni dhahiri katika ulimwengu wa kiroho Mwenyezi Mungu alikuwa Amemuandaa Rais samia kuja kuongoza Taifa letu na kulivusha katika kila Hatua,ndio maana tunaona hakuna jambo lililomtetemesha Rais wetu na kumpoteza muelekeo na Dira,ndio maana tumeona namna alivyo endelea kuwa imara na kuyakabili matatizo yaliyojitokeza mbele yetu kama Taifa licha ya baadhi ya watu kutaka kuleta Ubaguzi kwa misingi ya Udini ,ukabila ,ukanda na hata jinsia ili kumhamisha kiajenda na kutaka kumdhoofisha kiutendaji.

Ikumbukwe ya kuwa Mungu hutenda miujiza yake kupitia watu,huwasaidia watu kupitia watu,humuinua mtu kupitia watu,huwakomboa watu kupitia watu,huwafuta machozi waja wake kupitia watu,huwapa watu uongozi wake kupitia watu wake aliowateua katika ulimwengu wa kiroho kabla hata ya kuzaliwa kwao na kuonekana machoni pa watu.

Rais Samia Ni mteule na Chaguo la Mungu katika ulimwengu wa kiroho katika kuliongoza Taifa letu Tangia hata kabla ya kuzaliwa kwake, maana yeye hutujuwa sisi tungali bado katika matumbo ya mama zetu.

Ukiwa mteule na uliyeteuliwa kutumika kama chombo cha Mungu kama ilivyokuwa kwa aliyejulikana awali kama Sauli au Musa au Joshua au Esther lazima mkono na uso wa Mungu uwe nawe popote uwapo,lazima Mungu apigane upande wako.

Hata ipite dhoruba za aina mbalimbali lakini mwisho wa siku lazima uibuke mshindi tu,ndio maana Rais samia amekuwa mshindi katika mambo yote,ndio maana hakuna alipokwama na tulipokwama kama Taifa,Hakuna tulipoyumba wala Taifa letu kupasuka ,kwa kuwa Mungu yupo mbele ya Rais Samia na Taifa letu.Mungu anamtumia Rais samia kama chombo chake katika kuwaongoza watanzania, kuwafuta machozi waliao, kuwapa faraja waliokata Tamaa,kuwainua wanyonge na kuwapa nguvu za kiuchumi, kuwashika mkono masikini na kuwapa matumaini yatima, wajane, wazee na watu wasio jiweza.

Hivyo hakuna mtu yeyote au kikundi au chama chochote kitakachofanikiwa kumdhoofisha Rais samia kiutendaji,kila baya litakalotaka kuinuka dhidi ya Rais samia litaishia kufa kibudu kwa kukataliwa na watanzania.

Rais samia ni mmoja lakini anazungumza kwa mamilioni kupitia midomo na vinywa vya wananchi wanaoendelea kumtetea na kumsemea, kwa kuwa ni mpango wa Mungu anayeendelea kumlinda Rais samia katika kutimiza Agano lake katika ulimwengu wa kiroho wa kumfanya Rais Samia Kuongoza Taifa hili na kulivusha Salama.

Atapitia dhoruba lakini atashinda,atakutana na magumu lakini atashinda,atakutana na vikwazo lakini ataibuka na kubakia katika njia sahihi na mshindi, hata yumba wala kuyumbishwa na mwanadamu yoyote,.Amepewa kibali na mwenyezi Mungu na hakuna wa kumzuia wala kumkwamisha. Hakuna kinywa kitakachoinuka wala kitakacho shinda mbele yake wala fimbo itakayo inuka mbele yake na kumfikia.Ni nyota ya matumaini na Taa ya Taifa na nuru ya wanyonge.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa,kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Hata shetani ni mungu kwa wale wamuabuduo. CCM Chama Cha Mashetani
 
Back
Top Bottom