Rais Samia ni chaguo la Mungu na aliandaliwa na Mungu kuongoza Taifa letu

Nakupigia simu, hupokei! Kuna uteuzi umepata baada ya kazi kubwa unayoifanya ya kumpaka mama yetu mafuta kwa mgongo wa chupa.
 
Mdogo wangu tafuta kazi ya kufanya , hii uliyochagua ni kazi ya wendawazimu
 
Chaguo la Mungu wa Makunduchi Mchambawima
 
Mungu hawezi kuandaa mtu wa namna hiyo. Ni mpango wa shetani huu kuirudisha nchi yetu nyuma. Mungu chukua huyu kijana mzalendo Tumbo haraka.
 
Mungu hawezi kuandaa mtu wa namna hiyo. Ni mpango wa shetani huu kuirudisha nchi yetu nyuma. Mungu chukua huyu kijana mzalendo Tumbo haraka.
Maombi yako ya kijinga hayawezi kusikilizwa wala kupokelewa na Mwenyezi Mungu,kwa kuwa Mungu siyo mwanadamu na hana akili za kibinadamu na hawazi kama wewe
 
Wewe mshamba bado tu hujapata uteuzi ?.Endelea kuharisha huo uharo wako wa kila siku .
 
Hivi mpaka leo bado haujapewa tu kitengo? Kweli CCM roho mbaya 😄 Kujitoa kote akili unaishia kuambulia matusi?!
 
Cha msingi hapo ni namba yako ya simu tu.

Mpango wa Mungu hauwezi kuwa kutuuza Dubai.
 
Nyambaff, hilo ni chaguo la kibinadamu.., usitaje Mungu kwa mapungufu ya kibinadamu wewe..., binadamu wako na free will, na Mungu hausiki, ako na njia yake na sio ya kibinadamu.., hii yenu sio Mungu bana, wacha za hovyo. wakristo wa Marekani walidhani Trump ni chaguo la Mungu na atashinda second term na wakamuhakikishia, lakini wapi! kwani Mungu anashindwa? hii inaitwa delusion kaka. Yaani uko deluded na dini.
 
Usimfananishe Rais samia na watu asio endana nao kabisa kiutendaji na kimaono. Rais samia ni zaidi ya Trumph na uwezo wa Donald Trumph Ni mdogo sana kwa Rais samia. ni sawa na kulinganisha kichuguu na mlima. Rais samia ni kama mlima wakati Trumph ni kama kichuguu.
 
Nimeipenda hii Rais wetu ni chaguo la Mungu, Mungu aliacha kuwachagulia wana wa Israel kiongozi wao miaka mingi iliyopita na nchi nyingi sana za kidemokrasia na kiimla Rais huchaguliwa na wanadamu na sii Mungu. Ila ile dhana kuwa chagua la wengi ndio chagua la Mungu hili linamashiko zaidi. Je marais wa Tanzania ndio chaguo la wengi? hilo wanalijua wenyewe na tume yao ya uchaguzi na Wakurugenzi wa Halmashauri za miji Tanzania.
 
Hata shetani ni mungu kwa wale wamuabuduo. CCM Chama Cha Mashetani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…