Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
Hapa tumepigwa kwa kweli
Mitano Tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa tumepigwa kwa kweli
Huyu nilijua atashindwa baada ya kuona amejizugushia mafisadi kama washauri wake wakuu. Fikiria Mwigulu kuwa waziri wa fedha, riz 1, Makamba, Rostam nk
Kiukweli huyu Mama kama atataka alinde heshima take in bora ajiuzulu ili apishe wenye uwezo wa kuongoza.Nchi imevurugika na haieleweki inaelekea wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kapime ache ujingaMaharage kuuzwa kilo elfu 4 kunahusiana vipi na camera za mtangulizi wake?
Mchele kuuzwa kilo elfu 3 kunahusiana vipi na camera za mtangulizi wake?
Tozo zinahusiana vipi na camera?
Kukamatwa dhahabu ya Tz kilo 61 huko India nako Kuna uhusiano na camera ?
Gharama za kuvuta umeme kutoka elfu 27 Hadi Malaki kadhaa nayo ni mazoea ya camera live hadi kanisani?
Gharama kubwa za Mbolea vipi inahusiana na camera?
Mliposema mwendazake amevuruga soko la korosho,leo mbona mambo ni magumu kuliko zamani?
Kukatika katika umeme mlikuja na excuses za wafanyakazi hawakufanya service mashine miaka 6 walikuwa wanamwogopa anko magu,vipi baada ya service mliyofanya umeme umeacha kukatika?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mwigulu, mtoe hapoHuyu nilijua atashindwa baada ya kuona amejizugushia mafisadi kama washauri wake wakuu. Fikiria Mwigulu kuwa waziri wa fedha, riz 1, Makamba, Rostam nk
Ongeza yule kama jangiliMwigulu, mtoe hapo
Kama Camera za mnato zinaleta maji na umeme ni bora atembee nazo tu.mnapata shida sababu mlizoea rais kutembea na camera za mnato na video live mpaka makanisani, poleni sana.
Nchi hii mtu asiwe na uwezo tu anaitwa mwizi, magu kaacha doa kubwa sana kwa taifa hili aliefanikiwa anaonekana fisadi.....Huyu nilijua atashindwa baada ya kuona amejizugushia mafisadi kama washauri wake wakuu. Fikiria Mwigulu kuwa waziri wa fedha, riz 1, Makamba, Rostam nk
Maswali yako majibu yake ni mepesi sanaa, kama hata wewe huna majibu tuna safari ndefu sana kama nchi.Maharage kuuzwa kilo elfu 4 kunahusiana vipi na camera za mtangulizi wake?
Mchele kuuzwa kilo elfu 3 kunahusiana vipi na camera za mtangulizi wake?
Tozo zinahusiana vipi na camera?
Kukamatwa dhahabu ya Tz kilo 61 huko India nako Kuna uhusiano na camera ?
Gharama za kuvuta umeme kutoka elfu 27 Hadi Malaki kadhaa nayo ni mazoea ya camera live hadi kanisani?
Gharama kubwa za Mbolea vipi inahusiana na camera?
Mliposema mwendazake amevuruga soko la korosho,leo mbona mambo ni magumu kuliko zamani?
Kukatika katika umeme mlikuja na excuses za wafanyakazi hawakufanya service mashine miaka 6 walikuwa wanamwogopa anko magu,vipi baada ya service mliyofanya umeme umeacha kukatika?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kama akina makonda na wenzie magu hakua na jeuri ya kuwagusaKuna watu kwenye serikali aliyoiunda ambao hawezi kuwawajibisha hilo ndio tatizo la kwanza kubwa.
Sasa hao watu wanaharibu na bado wanaendelea kubaki.
Rais kama ana uchungu na nchi atawaondoa.
Ila kama hana wataendelea kubaki.
Uchaguzi ni wake.
Endelea kulamba asali mkuu,mnapata shida sababu mlizoea rais kutembea na camera za mnato na video live mpaka makanisani, poleni sana.
Weny akili kama wewe wako wachache sana ..hongera kulitambua hiloNchi hii mtu asiwe na uwezo tu anaitwa mwizi, magu kaacha doa kubwa sana kwa taifa hili aliefanikiwa anaonekana fisadi.....
Mbowe angekua ccm nae angeitwa fisadi vile yupo cdm,
Yaani maskini mtaani akifanikiwa anaitwa mchawi, akiwa kazini anaonekana fisadi, tuna safari ndefu sana....
Hiki kirusi kinatutafuna sana kama taifa, kuna watu watapunguza bidii ya kazi kwa kuhisi hadi aibe au aloge ndio atajirikeWeny akili kama wewe wako wachache sana ..hongera kulitambua hilo
Leo wakili akitetea chadema anaitwa msomi hata awe na certificate.
Acha uongo kijana, huu usemi wa freedom of speech siyo wa Museveni, ana quote wahenga.Kelele za mlango haziwezi kumtisha mwenye nyumba kuingia.
Museven huwa anasema Kuna freedom of speech ila freedom after speech itaitegemea umeongea Nini..
Rais anatakiwa kuanza na ku deal na Watu dizaini ya huyu wanaotumia Uhuru vibaya.
Jibu swali, ni dhaifu au sio dhaifu kulingana na mambo yanakwenda?. Waimba mapambio wenzako wapo hoi bin taabani kwa migao huku umeme kule maji.mnapata shida sababu mlizoea rais kutembea na camera za mnato na video live mpaka makanisani, poleni sana.