Rais Samia ni dhaifu kulingana na mambo yanavyokwenda?

Ni kweli aisee mama ni ambitious huoni katujaza matozo ovyoovyo,nchi ina Mito na maziwa lakini tunalia uhaba wa maji na umeme,mfumuko wa bei wa ovyoovyo,ufisadi wa hatari. kwakweli mama ni ambitious aongeze bidii.
 
MAJIZI aliyoyatupilia mbali JPM, mama kayasogeza mezani. Unatarajia nini hapo.
Siku moja mtanikumbuka kwa mazuri, wala si kwa mabaya. By JPM, RIP, dad.
 
Ni muhimu tuache matumizi ya neno kumsaidia Rais, tutumie uwajibikaji na ufuatiliaji wa mamlaka, na kutumia neno Serikali zaidi, Madam Rais aachane na matumizi ya maneno na mazoea ya awamu ilopita. Kila kitu Rais Rais afanye kazi ofisi yake ni taasisi, mafaili hana ya wasaidizi? Kama hawatumi au haitaji baadhi ya taarifa unampa Kwa mlango upi, taasisi zipo ni yeye tu akae kitako asome mafaili na maarifa yake na uelewa wake na afikie maamuzi na mengi hupaswa kuwa consultative na opinionated resolutions na deliberations.

Kila mtu atimize wajibu wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…