Rais Samia ni msikivu sana kwa Watanzania ndio maana anaendelea kupendwa na kukubalika kwake na Wananchi

Rais Samia ni msikivu sana kwa Watanzania ndio maana anaendelea kupendwa na kukubalika kwake na Wananchi

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu Zangu huo ndio uhalisia wa mambo Wenyewe, Ukiona Namna Nchi ilivyo Tulia kwa Sasa na namna mh Rais Samia anavyoungwa mkono na Watanzania wa vyama vyote, Tambua ya kuwa ni sababu ya Tabia ya Rais Samia kuwa msikivu na kumsikiliza kila mtu mwenye dukuduku au kero au mawazo mbadala au ushauri na kufanyia kazi mawazo ya watu wote bila kujari yametolewa na Nani.

Duniani kwote nchi huingia katika migogoro ya kisiasa au hata machafuko baada ya viongozi kuweka pamba katika masikio yao na wananchi kutokupata nafasi ya kusikilizwa kilio chao au malalamiko yao, wananchi hukasirika pale wanapohisi kupuuzwa sauti zao, Wananchi hucharuka pale wanapoona hakuna matumaini wa sauti zao kusikika.

Wananchi Hulia mioyoni pale wanapohisi Kuna kundi limepoka sauti zao, wananchi huamka pale wanapoona viongozi wao hasa kiongozi mkuu wa nchi ameziba masikio yake, wananchi hurusha mawe pale wanapoona Rais wao hawajari,hawasikilizi, hawajibu Wala hawapi nafasi ya kuelezea shida zao na Wala hatoi matumaini yoyote, wananchi huuzika pale wanapoona Rais wao siyo msaada kwao Wala Tumaini lao.

Wananchi huwa wanyenyekevu Sana na wenye Subira kwa kiongozi msikivu na mzalendo, hawanaga ugomvi na kiongozi mwenye kuleta matumaini na mwenye kufanya vitu kwa kuwasqhirikishi na kuwaambia ukweli, wananchi hawapendi kuona ni Kama wametengwa au kudharauliwa au kutokuthaminiwa.

Tangia Rais Samia atwae madaraka wananchi wamekuwa wakimpenda na kumheshimu Sana kutokana na kuwa amekuwa msikivu na amekuwa akifanyia kazi malalamiko ya watanzania, Jambo lililo wafanya watanzania kuona wanathaminiwa na kuheshimiwa, hata penye shida au mapito ya kiuchumi bado watanzania wamejenga Imani na kauli zake juu ya hatua zake kuwasaidia wananchi kutokana na kuwa Mh Rais wetu Amekuwa Ni mtu mkweli na muungwana Sana, siyo kiongozi wa ndimi mbili, Ni kiongozi ambaye huzungumza kile anachomaanisha na humaanisha kile anachozungumza.

Ameziba mianya yote ya mtu yoyote kupandikiza chuki kwa wananchi katika kuichukia serikali yao,kwa kuwa amekuwa muwazi Sana katika matumizi ya kila Senti inayopatikana kupitia michango yetu au Kodi au tozo au hata misaada kutoka kwa wadau ndani na nje ya nchi yetu.

Ni kiongozi mzalendo na mwenye upendo na Taifa lake, Hana majivuno Wala kiburi Cha madaraka, Hana kauli za kejeri kwa wananchi wake Wala maneno ya kuwakatisha Tamaa watu, Ni mfariji wa watanzania penye shida.

Ni kiongozi aliyejitolea kuwatumikia watanzania kwa moyo wake wote,Ni kiongozi ambaye anaumizwa na matatizo ya watanzania wanyonge, Ni kiongozi anayetamani kuona kila mtu akiinuka kiuchumi, Nikiongozi ambaye Hataki kuona mtu akiumizwa na mwenye cheo au madaraka, Ni kiongozi aliyejipambanua Kama mtumishi wa watanzania wanyonge, Ni kiongozi anayemtazama kila mtu kwa jicho la usawa bila kujari Hali yake ya kiuchumi, Ni kiongozi anayetamani kuona wote tunapata Milo mitatu kwa siku.

Rais Samia Ametufanya sisi vijana Tuwe na matumaini na kesho yetu , Ni kiongozi aliyemfanya kila mtu awe na uhakika wakuneemeka na kupata kipande cha keki kitakapoingia ndani, Ni kiongozi ambaye amewafanya watanzania wote kwa ujumla kuwa na Tabasamu katika mioyo yao, Ni kiongozi ambaye ameleta Nuru kwetu watanzania,Ni kiongozi ambaye amewafanya watanzania wajione wanayo nafasi ya kutoa mawazo yakasikika na kufanyiwa kazi.

Rais wetu Ni msikivu Sana, Tuendelee kumuunga mkono na Tuendelee kumuombea ili mwenyezi Mungu Amlinde na kumpigania wakati wote na ampatie Afya njema na nguvu za kututumikia watanzania wote kwa usawa, Mimi naona watanzania ipo siku tutasimama kwa pamoja na kwa kauli moja kusema Asante Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kwa kututumikia kwa moyo wa upendo na uzalendo mkubwa Sana pasipo kutuumiza Wala kutugawa.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake ulio tukuka wa kugusa maisha yetu wanyonge.
 
Ndugu Zangu huo ndio uhalisia wa mambo Wenyewe, Ukiona Namna Nchi ilivyo Tulia kwa Sasa na namna mh Rais Samia anavyoungwa mkono na watanzania wa vyama vyote, Tambua ya kuwa Ni sababu ya Tabia ya Rais Samia kuwa msikivu na kumsikiliza kila mtu mwenye dukuduku au kero au mawazo mbadala au ushauri na kufanyia kazi mawazo ya watu wote bila kujari yametolewa na Nani

Duniani kwote nchi huingia katika migogoro ya kisiasa au hata machafuko baada ya viongozi kuweka pamba katika masikio yao na wananchi kutokupata nafasi ya kusikilizwa kilio chao au malalamiko yao, wananchi hukasirika pale wanapohisi kupuuzwa sauti zao, Wananchi hucharuka pale wanapoona hakuna matumaini wa sauti zao kusikika,

wananchi Hulia mioyoni pale wanapohisi Kuna kundi limepoka sauti zao, wananchi huamka pale wanapoona viongozi wao hasa kiongozi mkuu wa nchi ameziba masikio yake, wananchi hurusha mawe pale wanapoona Rais wao hawajari,hawasikilizi, hawajibu Wala hawapi nafasi ya kuelezea shida zao na Wala hatoi matumaini yoyote, wananchi huuzika pale wanapoona Rais wao siyo msaada kwao Wala Tumaini lao

Wananchi huwa wanyenyekevu Sana na wenye Subira kwa kiongozi msikivu na mzalendo, hawanaga ugomvi na kiongozi mwenye kuleta matumaini na mwenye kufanya vitu kwa kuwasqhirikishi na kuwaambia ukweli, wananchi hawapendi kuona ni Kama wametengwa au kudharauliwa au kutokuthaminiwa,

Tangia Rais Samia atwae madaraka wananchi wamekuwa wakimpenda na kumheshimu Sana kutokana na kuwa amekuwa msikivu na amekuwa akifanyia kazi malalamiko ya watanzania, Jambo lililo wafanya watanzania kuona wanathaminiwa na kuheshimiwa, hata penye shida au mapito ya kiuchumi bado watanzania wamejenga Imani na kauli zake juu ya hatua zake kuwasaidia wananchi kutokana na kuwa mh Rais wetu Amekuwa Ni mtu mkweli na muungwana Sana, siyo kiongozi wa ndimi mbili, Ni kiongozi ambaye huzungumza kile anachomaanisha na humaanisha kile anachozungumza

Ameziba mianya yote ya mtu yoyote kupandikiza chuki kwa wananchi katika kuichukia serikali yao,kwa kuwa amekuwa muwazi Sana katika matumizi ya kila Senti inayopatikana kupitia michango yetu au Kodi au tozo au hata misaada kutoka kwa wadau ndani na nje ya nchi yetu

Ni kiongozi mzalendo na mwenye upendo na Taifa lake, Hana majivuno Wala kiburi Cha madaraka, Hana kauli za kejeri kwa wananchi wake Wala maneno ya kuwakatisha Tamaa watu, Ni mfariji wa watanzania penye shida,

Ni kiongozi aliyejitolea kuwatumikia watanzania kwa moyo wake wote,Ni kiongozi ambaye anaumizwa na matatizo ya watanzania wanyonge, Ni kiongozi anayetamani kuona kila mtu akiinuka kiuchumi, Nikiongozi ambaye Hataki kuona mtu akiumizwa na mwenye cheo au madaraka, Ni kiongozi aliyejipambanua Kama mtumishi wa watanzania wanyonge, Ni kiongozi anayemtazama kila mtu kwa jicho la usawa bila kujari Hali yake ya kiuchumi, Ni kiongozi anayetamani kuona wote tunapata Milo mitatu kwa siku

Rais Samia Ametufanya sisi vijana Tuwe na matumaini na kesho yetu , Ni kiongozi aliyemfanya kila mtu awe na uhakika wakuneemeka na kupata kipande Cha keki kitakapoingia ndani, Ni kiongozi ambaye amewafanya watanzania wote kwa ujumla kuwa na Tabasamu katika mioyo yao, Ni kiongozi ambaye ameleta Nuru kwetu watanzania,Ni kiongozi ambaye amewafanya watanzania wajione wanayo nafasi ya kutoa mawazo yakasikika na kufanyiwa kazi

Rais wetu Ni msikivu Sana, Tuendelee kumuunga mkono na Tuendelee kumuombea ili mwenyezi Mungu Amlinde na kumpigania wakati wote na ampatie Afya njema na nguvu za kututumikia watanzania wote kwa usawa, Mimi naona watanzania ipo siku tutasimama kwa pamoja na kwa kauli moja kusema Asante Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kwa kututumikia kwa moyo wa upendo na uzalendo mkubwa Sana pasipo kutuumiza Wala kutugawa

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake ulio tukuka wa kugusa maisha yetu wanyonge
Rubbish
 
Juzi ulikiwa unatetea tozo Leo unaunga mkono kutolewa kwa tozo.
Tozo haziwezi kuondolewa zote Bali zinarekebishwa na kuangalia maeneo ya kutoa au kupunguza, Nchi itajiendesha kwa michango yetu, kwa hiyo hatuwezi kuacha kuchanga kwa ajili ya ujenzi wa nchi yetu maana hatuna mjomba wakutujengea nchi yetu
 
Ndugu Zangu huo ndio uhalisia wa mambo Wenyewe, Ukiona Namna Nchi ilivyo Tulia kwa Sasa na namna mh Rais Samia anavyoungwa mkono na watanzania wa vyama vyote, Tambua ya kuwa Ni sababu ya Tabia ya Rais Samia kuwa msikivu na kumsikiliza kila mtu mwenye dukuduku au kero au mawazo mbadala au ushauri na kufanyia kazi mawazo ya watu wote bila kujari yametolewa na Nani

Duniani kwote nchi huingia katika migogoro ya kisiasa au hata machafuko baada ya viongozi kuweka pamba katika masikio yao na wananchi kutokupata nafasi ya kusikilizwa kilio chao au malalamiko yao, wananchi hukasirika pale wanapohisi kupuuzwa sauti zao, Wananchi hucharuka pale wanapoona hakuna matumaini wa sauti zao kusikika,

wananchi Hulia mioyoni pale wanapohisi Kuna kundi limepoka sauti zao, wananchi huamka pale wanapoona viongozi wao hasa kiongozi mkuu wa nchi ameziba masikio yake, wananchi hurusha mawe pale wanapoona Rais wao hawajari,hawasikilizi, hawajibu Wala hawapi nafasi ya kuelezea shida zao na Wala hatoi matumaini yoyote, wananchi huuzika pale wanapoona Rais wao siyo msaada kwao Wala Tumaini lao

Wananchi huwa wanyenyekevu Sana na wenye Subira kwa kiongozi msikivu na mzalendo, hawanaga ugomvi na kiongozi mwenye kuleta matumaini na mwenye kufanya vitu kwa kuwasqhirikishi na kuwaambia ukweli, wananchi hawapendi kuona ni Kama wametengwa au kudharauliwa au kutokuthaminiwa,

Tangia Rais Samia atwae madaraka wananchi wamekuwa wakimpenda na kumheshimu Sana kutokana na kuwa amekuwa msikivu na amekuwa akifanyia kazi malalamiko ya watanzania, Jambo lililo wafanya watanzania kuona wanathaminiwa na kuheshimiwa, hata penye shida au mapito ya kiuchumi bado watanzania wamejenga Imani na kauli zake juu ya hatua zake kuwasaidia wananchi kutokana na kuwa mh Rais wetu Amekuwa Ni mtu mkweli na muungwana Sana, siyo kiongozi wa ndimi mbili, Ni kiongozi ambaye huzungumza kile anachomaanisha na humaanisha kile anachozungumza

Ameziba mianya yote ya mtu yoyote kupandikiza chuki kwa wananchi katika kuichukia serikali yao,kwa kuwa amekuwa muwazi Sana katika matumizi ya kila Senti inayopatikana kupitia michango yetu au Kodi au tozo au hata misaada kutoka kwa wadau ndani na nje ya nchi yetu

Ni kiongozi mzalendo na mwenye upendo na Taifa lake, Hana majivuno Wala kiburi Cha madaraka, Hana kauli za kejeri kwa wananchi wake Wala maneno ya kuwakatisha Tamaa watu, Ni mfariji wa watanzania penye shida,

Ni kiongozi aliyejitolea kuwatumikia watanzania kwa moyo wake wote,Ni kiongozi ambaye anaumizwa na matatizo ya watanzania wanyonge, Ni kiongozi anayetamani kuona kila mtu akiinuka kiuchumi, Nikiongozi ambaye Hataki kuona mtu akiumizwa na mwenye cheo au madaraka, Ni kiongozi aliyejipambanua Kama mtumishi wa watanzania wanyonge, Ni kiongozi anayemtazama kila mtu kwa jicho la usawa bila kujari Hali yake ya kiuchumi, Ni kiongozi anayetamani kuona wote tunapata Milo mitatu kwa siku

Rais Samia Ametufanya sisi vijana Tuwe na matumaini na kesho yetu , Ni kiongozi aliyemfanya kila mtu awe na uhakika wakuneemeka na kupata kipande Cha keki kitakapoingia ndani, Ni kiongozi ambaye amewafanya watanzania wote kwa ujumla kuwa na Tabasamu katika mioyo yao, Ni kiongozi ambaye ameleta Nuru kwetu watanzania,Ni kiongozi ambaye amewafanya watanzania wajione wanayo nafasi ya kutoa mawazo yakasikika na kufanyiwa kazi

Rais wetu Ni msikivu Sana, Tuendelee kumuunga mkono na Tuendelee kumuombea ili mwenyezi Mungu Amlinde na kumpigania wakati wote na ampatie Afya njema na nguvu za kututumikia watanzania wote kwa usawa, Mimi naona watanzania ipo siku tutasimama kwa pamoja na kwa kauli moja kusema Asante Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kwa kututumikia kwa moyo wa upendo na uzalendo mkubwa Sana pasipo kutuumiza Wala kutugawa

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake ulio tukuka wa kugusa maisha yetu wanyonge
🚮
 
Tozo haziwezi kuondolewa zote Bali zinarekebishwa na kuangalia maeneo ya kutoa au kupunguza, Nchi itajiendesha kwa michango yetu, kwa hiyo hatuwezi kuacha kuchanga kwa ajili ya ujenzi wa nchi yetu maana hatuna mjomba wakutujengea nchi yetu

Unajielewa kweli?. Unasema hakuna mjomba wa kutusaidia wakati Rais wako alisema ataendelea kukopa?. Mama Samiah siku anamnanga Ndugai alidai kwamba ataendelea kukopa, Sasa najiuliza wewe ni Nani kusema hatuna mjomba wakautusaidia.
 
Mama Pasco ipo siku utapiga magoti kumuomba Radhi mh Rais wetu mpendwa na kumhitaji arejee madarakani kututumikia, Ni kwa vile tunaye hapa ndio maana
Unajielewa kweli?. Unasema hakuna mjomba wa kutusaidia wakati Rais wako alisema ataendelea kukopa?. Mama Samiah siku anamnanga Ndugai alidai kwamba ataendelea kukopa, Sasa najiuliza wewe ni Nani kusema hatuna mjomba wakautusaidia.

 
Sasa na namna mh Rais Samia anavyoungwa mkono na watanzania wa vyama vyote, Tambua ya kuwa Ni sababu ya Tabia ya Rais Samia kuwa msikivu na kumsikiliza kila mtu

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake ulio tukuka wa kugusa maisha yetu wanyonge
Naunga mkono hoja
P
 
Unajielewa kweli?. Unasema hakuna mjomba wa kutusaidia wakati Rais wako alisema ataendelea kukopa?. Mama Samiah siku anamnanga Ndugai alidai kwamba ataendelea kukopa, Sasa najiuliza wewe ni Nani kusema hatuna mjomba wakautusaidia.
Kukopa kila nchi inakopa Ila inategemeana unakopa kwenda kufanyia Nini, Hata sisi Tanzania tutaendelea kukopa lakini pale tu tunapotaka kuongeza nguvu katika juhudi zetu huku kazi ya msingi na jukumu kuu la kujenga nchi yetu likibaki mikononi mwetu, Hatutakopa kwa Kila mradi Bali miradi mingine tutajijengea wenyewe kwa mikono yetu wenyewe

Pia mikopo hiyo tutakopa Ile yenye unafuu wa kiriba na isiyo ya kuhatarisha usalama wetu wa Taifa, Hatutaki tukibebeshe mzigo wa madeni kizazi kijacho kwa kukwepa wajibu wetu, lazima wajibu wetu tuutekeleze kikamilifu na kwa uzalendo mkubwa sana pasipo kuweka rehani Rasilimali zetu za Taifa
 
Hao ndio Vijana, ambao baadae siku 2--3 anapewa UDC

Mtu kama huyu, unahisi anaakili timamu?
Nimeshamjibu vizuri Sana hoja ya kuhusu tozo katika post #11 ,pili Nakusamehe hata Kama umetumia lugha ya kuuzi, Mimi Naheshimu mawazo ya kila mtu humu na nimejaliwa kuwa na kifua Cha uvumilivu na kupokea mawazo ya aina zote
 
Ndugu Zangu huo ndio uhalisia wa mambo Wenyewe, Ukiona Namna Nchi ilivyo Tulia kwa Sasa na namna mh Rais Samia anavyoungwa mkono na Watanzania wa vyama vyote, Tambua ya kuwa ni sababu ya Tabia ya Rais Samia kuwa msikivu na kumsikiliza kila mtu mwenye dukuduku au kero au mawazo mbadala au ushauri na kufanyia kazi mawazo ya watu wote bila kujari yametolewa na Nani.

Duniani kwote nchi huingia katika migogoro ya kisiasa au hata machafuko baada ya viongozi kuweka pamba katika masikio yao na wananchi kutokupata nafasi ya kusikilizwa kilio chao au malalamiko yao, wananchi hukasirika pale wanapohisi kupuuzwa sauti zao, Wananchi hucharuka pale wanapoona hakuna matumaini wa sauti zao kusikika.

Wananchi Hulia mioyoni pale wanapohisi Kuna kundi limepoka sauti zao, wananchi huamka pale wanapoona viongozi wao hasa kiongozi mkuu wa nchi ameziba masikio yake, wananchi hurusha mawe pale wanapoona Rais wao hawajari,hawasikilizi, hawajibu Wala hawapi nafasi ya kuelezea shida zao na Wala hatoi matumaini yoyote, wananchi huuzika pale wanapoona Rais wao siyo msaada kwao Wala Tumaini lao.

Wananchi huwa wanyenyekevu Sana na wenye Subira kwa kiongozi msikivu na mzalendo, hawanaga ugomvi na kiongozi mwenye kuleta matumaini na mwenye kufanya vitu kwa kuwasqhirikishi na kuwaambia ukweli, wananchi hawapendi kuona ni Kama wametengwa au kudharauliwa au kutokuthaminiwa.

Tangia Rais Samia atwae madaraka wananchi wamekuwa wakimpenda na kumheshimu Sana kutokana na kuwa amekuwa msikivu na amekuwa akifanyia kazi malalamiko ya watanzania, Jambo lililo wafanya watanzania kuona wanathaminiwa na kuheshimiwa, hata penye shida au mapito ya kiuchumi bado watanzania wamejenga Imani na kauli zake juu ya hatua zake kuwasaidia wananchi kutokana na kuwa Mh Rais wetu Amekuwa Ni mtu mkweli na muungwana Sana, siyo kiongozi wa ndimi mbili, Ni kiongozi ambaye huzungumza kile anachomaanisha na humaanisha kile anachozungumza.

Ameziba mianya yote ya mtu yoyote kupandikiza chuki kwa wananchi katika kuichukia serikali yao,kwa kuwa amekuwa muwazi Sana katika matumizi ya kila Senti inayopatikana kupitia michango yetu au Kodi au tozo au hata misaada kutoka kwa wadau ndani na nje ya nchi yetu.

Ni kiongozi mzalendo na mwenye upendo na Taifa lake, Hana majivuno Wala kiburi Cha madaraka, Hana kauli za kejeri kwa wananchi wake Wala maneno ya kuwakatisha Tamaa watu, Ni mfariji wa watanzania penye shida.

Ni kiongozi aliyejitolea kuwatumikia watanzania kwa moyo wake wote,Ni kiongozi ambaye anaumizwa na matatizo ya watanzania wanyonge, Ni kiongozi anayetamani kuona kila mtu akiinuka kiuchumi, Nikiongozi ambaye Hataki kuona mtu akiumizwa na mwenye cheo au madaraka, Ni kiongozi aliyejipambanua Kama mtumishi wa watanzania wanyonge, Ni kiongozi anayemtazama kila mtu kwa jicho la usawa bila kujari Hali yake ya kiuchumi, Ni kiongozi anayetamani kuona wote tunapata Milo mitatu kwa siku.

Rais Samia Ametufanya sisi vijana Tuwe na matumaini na kesho yetu , Ni kiongozi aliyemfanya kila mtu awe na uhakika wakuneemeka na kupata kipande cha keki kitakapoingia ndani, Ni kiongozi ambaye amewafanya watanzania wote kwa ujumla kuwa na Tabasamu katika mioyo yao, Ni kiongozi ambaye ameleta Nuru kwetu watanzania,Ni kiongozi ambaye amewafanya watanzania wajione wanayo nafasi ya kutoa mawazo yakasikika na kufanyiwa kazi.

Rais wetu Ni msikivu Sana, Tuendelee kumuunga mkono na Tuendelee kumuombea ili mwenyezi Mungu Amlinde na kumpigania wakati wote na ampatie Afya njema na nguvu za kututumikia watanzania wote kwa usawa, Mimi naona watanzania ipo siku tutasimama kwa pamoja na kwa kauli moja kusema Asante Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kwa kututumikia kwa moyo wa upendo na uzalendo mkubwa Sana pasipo kutuumiza Wala kutugawa.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake ulio tukuka wa kugusa maisha yetu wanyonge.
Vipi teuzi za madas..dc na wakurugenzi zumekaribia kutangazwa nini..mana ukiona nyuzi nyingi za machawa ujue teuzi haziko mbali.

Ongeza juhudi chawa.

Usisahau kuweka namba yako ya simu..wale wazee wa vetting waweze ku confirm kama ni wewe.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mbona nyuzi kama hizi unajitoaga akili sana?
nahisi una tamaa, njaa au magonjwa ya akili..
Hivi wewe unawezaje ukasema mwandishi nguli Kama Pascal ananjaa? Mimi Nazani unapaswa kuheshimu michango yake na kujifunza mengi kutoka kwake, wanasema kijana ukiwa mbele za wazee unapaswa kupenda kusikiliza kuliko kuzungumza maana ni katika kusikiliza utapata hekima na busara zao, usimtukane kila mtu anayetofautiana na wewe mawazo, jifunze kuheshimu mawazo ya watu wengine ndio utakuwa bora
 
Back
Top Bottom